Benard Membe kuwa Kachero mbobezi ni ishara ya udhaifu mkubwa idara ya usalama wa Taifa

Benard Membe kuwa Kachero mbobezi ni ishara ya udhaifu mkubwa idara ya usalama wa Taifa

Naongelea viongozi wa juu wa Usalama wa Taifa ambao vyeo vyao wala sio siri kwani huteuliiwa na Raisi ni lini ulishawasikia wakisema kwa midomo yao kuwa Membe ni kachero mkubwa mbobezi?
Kuna umuhimu gani wao kusema hadharani? Wanaambiana wenyewe kwa wenyewe.
 
Ninyi vijana mna matatizo makubwa.
Mnahadithia aya mambo kutokana na uelewa finyu wa stori za ujasusi kwenye novels.
Ujasusi au Intelligence kitu ingine kabisa.

Mimi si mnazi wa Membe, aliyepewa caption na vyombo vya habari, eti "kachero mbobezi"!
Mtu atakuwaje kachero mbobezi kwanza yuko public.
Pili, hawezi kwenda any serious operations za kijasusi kwa vile hana cover, anajulikana.
Tatu yumo kwenye siasa, hivyo hata kumwita kachero mbombezi haileti maana yoyote.

Pengine Membe made the mistake kuikubali hiyo caption ya kuwa kachero mbobezi, kumpa invincibility ambayo hana.

Lakini pamoja na hayo tutakuwa tunamwonea sana Membe kuwa ndiye alianzisha utengano na makundi ndani ya CCM na Taifa.
Hilo mimi napinga na ni kumwonea, he was just a player like the rest.
Tuwe wakweli kwa nafsi zetu, mtandao wa 2005 ulitengeneza deep divisions ndani ya CCM.
Tusisahau kuwa Membe alikuwa part ya mtandao by afilition , na alibaki kuwa hivyo.

Enter Magufuli.
Huyu bwana isingekuwa ile phobia yake ya kutaka kuwa an absolute power,uuaji wa wanaompinga na generally kutoambilika , kulimtengenezea maadui both real na imagined.
Mwalimu aliitengeneza Idara ambayo si tu ilikuwa proffessional, lakini ilikuwa na uzalendo usio na mashaka.
Ni katika Awamu ya Tano mambo yameharibika, sijui ndani ya zidara kuna idara ngapi.

Sasa Magufuli made his greatest error in judgement, kufikiri anaweza ku exterminate kundi la mtandao!
The rest is history.

Membe mlaumuni kwa tabia zake tu, ambazo ni nzuri, lakini si kwa kuwa ati kachero mbobezi, because he was not.
88% 👍👍
 
Ujinga wa kihalaiki unalisumbia taifa. Ungetaja kwanza walau hata GPA yako tuilingqnishe na membe
GPA yangu haiingilian we mende , tuna viongozi wangap vipanga wa darasani Ila kwenye uongozi ni zero ..... Usajiri wa Member ulikuwa wrong move , uzuri hata wao wamelijua japo Kwa kuchelewa
 
Masalia ya Mwendazake mnahangaika usiku kucha kuchafua watu.Mbona hujiulizi kwa nini Tanzania hakujawahi kuwa na vita vya kikabila au kikanda(Civil wars).Hayati Magufuri alitaka kuleta hayo machafuko lakini akakutana kisiki Kachero Mbobezi Membe ambaye alikuwa na uchungu na Tanzania na raia wake mpaka Magufuri kafa kwa presha.Mnapenda sana vita lakini hamtafanikiwa hata siku moja Tanzania itaendelea kuwa salama kwani Kachero Mbobezi Kamilius Membe ameacha mizizi iliyokomaa.
Mmmh wew ni maziwa mgando kbs hujui chochote
 
GPA yangu haiingilian we mende , tuna viongozi wangap vipanga wa darasani Ila kwenye uongozi ni zero ..... Usajiri wa Member ulikuwa wrong move , uzuri hata wao wamelijua japo Kwa kuchelewa
Una GPA ya ngapi membe alikuwa na 4.1 tena ya UDSM tena PS & PA siyo mwalimu Nyerere kivukoni. wewe una ngapi mbona simple
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Watu gani wameshangilia kifo Cha Membe . Kwa ubaya upi alioufanya?. Mnatunga mambo halafu mnajifanya kushabikia ujinga.
 
Eti jasusi mbobezi alafu akaenda kuishia kufugwa na zitto ACT
 
GPA yangu haiingilian we mende , tuna viongozi wangap vipanga wa darasani Ila kwenye uongozi ni zero ..... Usajiri wa Member ulikuwa wrong move , uzuri hata wao wamelijua japo Kwa kuchelewa
Wewe endelea kubwabwaja. Unajiona una akili Sana kuliko waliomteua?. Wewe endelea tu.
 
Kuna ki9ngozi mmoja alimtambulisha Membe kama mwana mikakati mahiri wakati muda wote alifeli kuanzia siasa za ubunge mpaka urais alioutamani uje kwa ndoto za alinacha
 
Maneno mengiiii.... contents haba....[emoji1787][emoji1787]

DUNIANI kote mabobezi hao wapo....na WENGINE wanajulikana....kwanini iwe ajabu kwa hayati Membe?!!!!

Unataka kujifunza mambo kwa kutanguliza kwanza "mbango" ?!!!!!

Hebu kuwa mfuatiliaji wa mambo basi [emoji1787][emoji1787]
 
Mwenye enzi Mungu amrehemu na kumpunguzia adhabu na amlaze mahali pema peponi. Huyu mwamba alikua mtumishi wa haki, alisimamia ukweli na kuukataa ujinga kwa gharama kubwa sana.

Ametufunza mengi kwa muda mfupi ikiwa ni pamoja na kujiheshimisha kupitia mahakama na kutoa adhabu kali kwa vikaragosi vilivyokua vinatumika kwenye utawala dhalimu.

Membe mmoja ni sawa sawa na ma-professor wa jalalani 100, tuendelee kumuenzi mtumishi huyu mwenye uweledi. Hakika, bwana amempenda zaidi. Apumzike kwa amani
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Sijawahi kuwa mfuasi wa huyu jamaa hata siku moja
 
Bongo hata vichaa wa mtaani ni usalama nini Cha ajabu?
 
Usalama wa taifa Duuh afrika panavituko labda alitumwa akavuruge ACT
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Sasa inakuwaje Diwani Athumani na Kipilimba, Othman Rashid, Apson Mwang'onda wanajurikana?

Ukiweza kujibu swali hili ndio utajuwa misukule ya Chato yote haina akili.

Nilitegemea mumshangae mungu wenu wa Chato baada ya kumuexpose undercover Profesa Osoro.
 
Back
Top Bottom