Benard Morrison Acha Kabisa...

Huyo tatizo lake ni Wizi ndio maaana akakosa timu, mshapewa tahadhali siku akisepa na Basi la Club na hicho kijengo chenu akawapiga hati akavuta Mpunga msilalamike shauri yenu. Subir aaanze na nyinyi kwanza
Tatizo liko wapi? Mbona kuna hata viongozi wa Bodi za klabu hapa kwetu wana kesi za wizi mahkamani, itakuwa mchezaji?
 
Lugola kamwaribia magazeti yote yalikuwa yanamwandika yeye wiki nzima sasa y lugola imehamisha mada
 
Naomba ulete sababu za kutimuliwa Kaizer chiefs mkuu.

Nasikia alikuwa lord eyes kule South Africa yaani anautalaam pia ya kuondoka na side mirror 🤣
Orando pirates ..uneducated (fool)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…