mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,301
- 733
Tatizo liko wapi? Mbona kuna hata viongozi wa Bodi za klabu hapa kwetu wana kesi za wizi mahkamani, itakuwa mchezaji?Huyo tatizo lake ni Wizi ndio maaana akakosa timu, mshapewa tahadhali siku akisepa na Basi la Club na hicho kijengo chenu akawapiga hati akavuta Mpunga msilalamike shauri yenu. Subir aaanze na nyinyi kwanza