rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Leo tunafukua makaburi mtayatafuna maneno yenuSimba mbona mnahamaki ? Yule ni mchezaji hatari sio kama wale veterani wenu wanaotumia boster maana kwenu kumsajili kijana ni shida mpaka uwe veterani kama Wawa Nyoni Manula Kagere Boko Kapombe Kahata Kanda nk
Bado mnatoroka au yeye ndiye anawatorokaI wish Istokee migomo na changamoto kama misimu kadhaa tuliyo pitia,Morrison hakika ni Mchezaji anaye kushawishi utoroke hata kazini ili usikose burudani yake. Yanga tulimis sana wing a Machachari kana yeye tangu aondoke Saimon Msuva27, pia uwepo was Haruna Nionzima pale kati unaifanya Tim icheze kwa chemistry hatar.
Jumapili ilikuwajeView attachment 1336200
Shiboub + Chama + Ajib + Dilunga + Kagere = Morrison.
NOTE : Kagere awe na hirizi.
Waambie wapitie uzi waoSawa Wananchi mwisho wa siku msije mrushia chupa ,wakati matokeo hayasomi vizuri.
Jumapili ilikuwaje uliangalia mpiraMkuu,usimfanishe Chama na vitu vya kijinga.Mtu hata timu yake ya Taifa hayupo utamfananishaje na mwamba wa Lusaka,a.k.a fundi Cleotas
Dume lenu limeishia wapi halafu usiwe unajifanya shabiki wa simba kumbe utopoloDah! ni hatari huyu kiumbe,Yanga tumelamba dume
Jifunze kuwa na subiri acha mahaba ya kitotoKwa mara ya kwanza huyu mtu amenifanya nimkubali kwa 98%...ni fundi ....fundi..kweri kweri....kila apatapo mpira wewe subiria furaha kwa kile atakachofanya!....najiuliza huyu amekuja Yanga kweli au anatafuta Njia ya kupita tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumapili ilikuwaje uliangalia mpira
Kuna jambo langu itabidi uniangalizie.. mana sio kwa ramli hiiiπ€£ kama ulijua vile!Naombea isiwe nguvu ya soda tu mwisho wa siku tukakosa pa kujificha.
π€£π€£π€£π€£Kuna jambo langu itabidi uniangalizie.. mana sio kwa ramli hiiiπ€£ kama ulijua vile!
ππWatakukumbuka usemi wako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hivi anawashambulia kutokea wapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Naombea isiwe nguvu ya soda tu mwisho wa siku tukakosa pa kujificha.
Soka letu hili na namna mausajili yanafanyika inakuwa kama kutia mkono kizani.Uliona mbali sana Mtani.
We naaae!! πDume lenu limeishia wapi halafu usiwe unajifanya shabiki wa simba kumbe utopolo
hakuwa timu wamemtoa mtaani tu[emoji23][emoji23]Soka letu hili na namna mausajili yanafanyika inakuwa kama kutia mkono kizani.
Mana kipindi huyu jamaa anatua kwetu sidhani kama hata alikuwa na timu zaidi ya historia tu kwamba aliwahi cheza sijui Orlando Pirets (kama sijakosea) [emoji41][emoji41]
Aaah!! Ila naamini viongozi wa Yanga pamoja na hao jiiesiemu kuna walichojifunza.
Soka letu hili na namna mausajili yanafanyika inakuwa kama kutia mkono kizani.
Mana kipindi huyu jamaa anatua kwetu sidhani kama hata alikuwa na timu zaidi ya historia tu kwamba aliwahi cheza sijui Orlando Pirets (kama sijakosea) ππ
Hahahaaa. Walahi vile umefanya nimecheka. LolAlikuwa pia na historia ya wizi wa magari, na mlisema potelea mbali.