Nice oneMWANAKIJIJI....what i object ni watu kutaka RE-WRITE history kwa sababu mtu kafa mfano: Nyerere alikuwa akituambia kuwa lazima tuwe wazalendo lakini alipoumwa huo uzalendo ulimshinda na akafi ST THOMAS HOSPITAL LONDON badala ya Muhimbili....
Mfano mzuri ni filamu ya "War Bus" kama mnaikumbuka ambapo askari mmoja alijifanya yeye mjanja na kuwaacha wenzake na kumfuata mwanamke wa kivietcong ambapo hadi akawaweka askari wenzake kwenye lile basi hatarini. Alikuwa ni yule jamaa mlevi mlevi hivi. Hata hivyo siku ambapo lilirushwa bomu wakati wanakimbia toka kambini ili kulilipua lile basi ni yeye aliyetoka alikokuwa na kujirusha juu ya bomu lile la mkono ambalo lilimlipua na kunusuru lile basi. Wale maafisa wenzake pamoja na chuki na hasira ya mwenzao kuwasiliti lile tendo moja la kutoa gharama ya maisha yake kwa ajili ya wenzake lilikuwa ni tendo la kishujaa!
Benazir Bhutto alikuwa na makosa? absolutely! Alikuwa na madai mazito dhiti yake? No question Did she died a hero today (a martry of sort)? You betcha!
'She has been martyred,' said party official Rehman Malik. Ms Bhutto, 54, died in hospital after reportedly being shot in the head. Police said a suicide bomber fired shots at Ms Bhutto as she was leaving the rally in a park before blowing himself up.
'The man first fired at Bhutto's vehicle. She ducked and then he blew himself up,' said police officer Mohammad Shahid.
On Thursday, Bhutto had told of the risks she faced."I put my life in danger and came here because I feel this country is in danger. People are worried. We will bring the country out of this crisis," Bhutto told the Rawalpindi rally. India, Pakistan's giant neighbour and rival, said Bhutto's assassination was a terrible blow to the democratic process.
Bhutto became the first democratically elected female prime minister in the Muslim world in 1988 at the age of 35. She was deposed in 1990, re-elected in 1993, and ousted again in 1996 amid charges of corruption and mismanagement.
She said the charges were politically motivated.
Bhutto's husband, Asif Ali Zardari, arrived in Islamabad from Dubai to collect his wife's body and take it for burial in Larkana, the Bhutto ancestral home where her father is buried. Both of her brothers died in mysterious circumstances.
na kwenye jamii ya Kiislamu, anabakia kuwa mwanamke wa Kiislamu ambaye amewahi kufikia ngazi ya juu kabisa katika utawala wa serikali ya nchi yake.
Key issues in Pakistan:
1. Nuclear power
2. Al Qaeda and muslim fundamentalists
3. Power control within the region with the Western countries.
well bila kusahau kuwa in almost all Western countries except for New Zealand, women did not gain the right to vote until the twentieth century.
SWITZERLAND: DID NOT PERMIT women to vote in national elections until 1971 decades after Muslim women in Afghanistan, Iran, Iraq and Pakistan had been casting ballots.
UNITED STATES, the largest and most influential Western nation, has never had a female president. In contrast, two of the most populous Muslim countries,
BENAZIR BHUTTO headed two governments in Pakistan
KHALEDA ZIA (X2) & HASINA WAZED served consecutively in Bangladesh as Prime ministers.
MEGAWATI MSUKARNOPUTRI was also the Indonesias President
TANSU CILLER was also Turkeys prime minister so in my opinion Muslim world has been far ahead than the so called western liberal democracies in terms of Women empowerment[/SIZE]
Game, I salute you for puting together information above!!
Great!
SteveD.
GT
Majibu ya nini?
well bila kusahau kuwa in almost all Western countries except for New Zealand, women did not gain the right to vote until the twentieth century.
SWITZERLAND: DID NOT PERMIT women to vote in national elections until 1971– decades after Muslim women in Afghanistan, Iran, Iraq and Pakistan had been casting ballots.
UNITED STATES, the largest and most influential Western nation, has never had a female president. In contrast, two of the most populous Muslim countries,
BENAZIR BHUTTO headed two governments in Pakistan
KHALEDA ZIA (X2) & HASINA WAZED served consecutively in Bangladesh as Prime ministers.
MEGAWATI MSUKARNOPUTRI was also the Indonesias President
TANSU CILLER was also Turkeys prime minister so in my opinion Muslim world has been far ahead than the so called western liberal democracies in terms of Women empowerment[/SIZE]
zile issues 3 ulizozi raise
Kwa mwelekeo wa western Governments hayo ndio mambo makuu ambayo mimi nimeyaona yanawakera sikuuliza swali nimeweka opinion yangu.
Vipi hupendi my opinion?
GT,
Ni kweli hata Afrika ni Liberia tu ndo tuna head of state mwanamke! Mongela Tz ndo tayari amechemsha!!!!!!!!!!!!!!
May be wanawake mda bado -tunalazimisha tu mambo!