Benchika, kocha mwenye maamuzi magumu sana

Ni kweli sisi simba watu kadhaa kadhaa ni makolokolo, ila nyie pale jangwani wenye akili kichwani wanajulikana kabisa.
Si bora sisi wako wawili tu wenye akili, lakini hapo umbumbumbuni wote ni Mbumbumbu pro max [emoji125][emoji23]
 
Ulitaka shabiki afanyaje? Wasionyeshe matumaini, wasiridhike na mabadiliko ya timu, Wasiende uwanjani mpaka timu ishinde kombe.

UJINGA mwingine upo madimbwini tu.
Umbumbumbu ni kipaji kinachopatikana kwa Makolokolo pekee duniani [emoji119][emoji2]
 
Mashabiki bwana? Leo sifa zote zitamwagwa!

Ajichanganye tu afungwe na bingwa la nchi ndipo moto utakapowaka 🤣🤣
Sometime piga kimnya tu kama wewe siyo mshabiki maandazi.
 
Hivi ni vitu vya kawaida ...kwenye Objective Football"! Utasemaje haijawahi kutokea Kwa muda mrefu..Simba iliwahi fanyahivo kule South Afrika na vigogo wa South !
 
Muda ni lesson hatari sana kwa jambo lolote lile, tuendelee kusubiri muda (Mwalimu) tujue ni mihemuko tokana na ushindi wa mechi ya Makolokolo SC vs Wydad Casablanca au ni kweli sifa anazopewa Kocha mpya.
UUnateseka kutokea pande zipi?
 
Kazi za boko zilikuwa 2. Kulinda timu kwenye mipira inayopigwa cross kwenye box la Simba na kuwaondolea mabeki wa kati wa Wydad uhuru wa kupokea mipira na kusogea mbele.
 
Achana na ushindi itazame timu inavyocheza.
Mkuu, hii Game Wydad alikuwa anaondoka na goli zisizopungua 5, ni vile tu upepo haukuwa upande wao, ofkoz Simba ina mabadiliko ila sio makubwa sana.
 
Reactions: Tsh
Hongera kwake Benchika na benchi lake kwani sio makocha wengi wanaweza kujilipua kama alivyofanya yeye leo na kubwa zaidi imemlipa.

Siku hizi mpira umekuwa mchezo wa kasi sana na matumizi makubwa ya nguvu, Ndio maana Benchika aliamua kuingiza vijana wengi mwishoni kwani angewaacha mafaza zile goli zingerudi. Na huu mtego ndio Robetino alikuwa anashindwa kuufyatua mix kocha wake wa viungo. Simba walikuwa wanacheza vizuri dakika 65/70 baada ya hapo wanapoteana kutokana na pumzi na stamina ndogo halafu ikifika wakati huo Robetino alikuwa anatoa wazee halafu anaingiza wazee wengine kushika bomba matokeo yake timu ilikuwa inashindwa kuhimili vishindo.

Na mbaya zaidi yeye na benchi lake walikuwa wamekariri baadhi ya wachezaji halafu muoga wa kujaribu wachezaji wengine zaidi ya wale waliowakariri. Na bora aliondoka maana angeendelea kuwepo Simba ingewaacha hao wakina Duchu, Mwenda, na wengineo halafu ingesajili tena wachezaji wenye uwezo kama hao kwa kifupi kabisa Robetino na benchi lake walikuwa wanaenda kuwapoteza mazima hao vijana.
 
Muda ni lesson hatari sana kwa jambo lolote lile, tuendelee kusubiri muda (Mwalimu) tujue ni mihemuko tokana na ushindi wa mechi ya Makolokolo SC vs Wydad Casablanca au ni kweli sifa anazopewa Kocha mpya.
Ni kama roho inauma hivi....hebu kunywa maji mengi upunguze na UTI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…