Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kwa hizo goli nyingi why bado mnashikilia mkia kwa ligi ya mabingwa?hapohapo kwa Mkapa tena kwa goli nyingi!
Ulipaswa kujisikia aibu kushikilia bango la mkiani kwa timu iliyokupiga goli nyingi.Kwa hizo goli nyingi why bado mnashikilia mkia kwa ligi ya mabingwa?
Hao mlio wapiga goli nyingi hawapo mkiani, saaa nyie mabingwa mnakaa mkiani nini kimewazuia kuhama mkiani?
Siku zote Makocha wao Makolokolo huanza hivi hivi na tunakataza Makolokolo wasijiaminishe wana Kocha bora lakini mweee... Tangu 2019 Yanga SC imefukuzisha Makocha watano wa Manyaunyau SC ila Yanga SC haijafukuzisha hata Kocha mmoja [emoji1787].Ha ha ha we subiri watakuja kumkataa huyu.
Kwa hiyo hamjui kama mpo mkiani πUlipaswa kujisikia aibu kushikilia bango la mkiani
Chura.Umbumbumbu ni kipaji kinachopatikana kwa Makolokolo pekee duniani [emoji119][emoji2]
Kuna wanasimba wapumbavu sana wameshaanza kulalamika.Shenzi kabisaKocha mzur sana ila ntashangaa analalamikiwa.
Anatembelea na kutekeleza falsafa ya Robertihno kwamba, "Objective (tamka 'OBJEKTIVE') is to win the game".Huyu kocha leo nimemvulia kofia, kumchezesha Duchu ambaye tangu asajiliwe hakucheza mchezo wowote halafu leo unamuingiza akashikilie bomba ilikuwa jambo la hatari sana.
Kumuingiza kiungo Abdallah Hamis ambaye naye hakuwahi kucheza hata siku moja ilikuwa ngumu kumeza, kupaki basi kuanzia dakika ya 60 ni uamuzi mgumu ambao ulitufanya wengi tushike bomba.
Kujaza mabeki saba nyuma haijawahi kutokea kwa muda mrefu sana, maamuzi magumu ya Benchika ambaye anafanana kwa sura na Bongo Zozo.