Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,894
Weka bendera ya Palestina.Looh..Aisaee kama ndo hivyo nami naona niweke BENDERA la Babu yangu enzi hizo !! Kama kweli Utaifa unahusika!!
Unazungumziaje juu ya imani yao isiyomtambua wala kumwamini yesu kama masihi?-Period..kama ni mkristo haya maneno utayakuta kwenye Biblia hata mtu ungewaita eti wanadharau wanajisikia,mara ni wabaguzi haisaidii nani sio mbaguzi??nani hajisikii?? nani hana dharau??tuanzie hapo.Wala tusiwasingizie hapa kwetu vipi hakuna hayo??mara'' aaah hawa tutafanya makosa makosa yote lakini si kuwapa ikulu''hiyo ni nini??''hawa ni hizbu zanzibar ni ya weusi''hayo mambo mwanadamu kaumbiwa lakini ayashinde.Lile ni taifa teule lilivushwa bahari ya shamu kwa muujiza wa kutisha na Mungu,kuna taifa lilishawahi kufanyiwa hivyo hapa duniani???kwanza hilo neno Israel tu wamepewa si na mwanadamu bali ni Mungu mwenyewe aliwapa kwa nini wasijisikie fahari??
Nikiweka kwenye bar kitatokea nini?Huna haja ya kijiuliza sn, historia ya Taifa la Israel ndio pekee inajulikana toka kuumbwa kwa dunia hii,, wakati historia ya Tanzania imeanzia hapo juzi wakt wa Mjerumani,,
Pia kwenye Biblia imeandikwa kila Ailaanie Israel nae Atalaaniwa na kila Aibarikie Israel naye pia Atabarikiwa , hivyo watu kutundikwa kwa bendera za Israel watu wanatafuta Baraka ndio maana unaziona kwa watu waliobarikiwa zikiwa ndani ya Magari,,
Bendera hizi huzikuti kwenye Bar, Casino, au kwenye Guest house bali unazikuta kwenye uwepo wa Mungu pale watu wanapohitaji ukaribu wa Mungu uwe nao wawapo safarini nk.
Ila kupanga foleni kwenda miji ya watu kufanya Hijah ni sawa kwa nini isiwe pale Makete ndio patakatifu,kwanini Quraan haikushwusha kwa lugha ya kisambaa na mbona hakushushiwa Tuntufye Mwakajila mshangae mungu wako kwa haya kwanza kwa nini kapendelea upande mmoja au weusi ni laana,tunalazimishana tukufuru bila sababu wakati mnajua haya maandiko yana upana wake inafika kipindi inabidi dawa ya chizi kua chizi.Na hapo ni ndipo ninaposhindwa kumshangaa mungu wenu anayewapanga watu kwa magroup.. Kwamba huyu in first class mja na huyu ni second class mja.. Tena huwapanga hivyo wala so kwa uchamungu wao ! Bali ni kutokana na kuzaliwa by chance katika taifa hilo tu ! What a miracle ![emoji57]
Ok sisi wakristo ile bendera inatukumbusha kipind ya daud na inaitwa star of David .na daud ndo chanzo cha masihi Yesu.wao waamin wasiamin ila sisi tunaaminMbona hao waisraeli hawabebi bendera za Tanzania. Na haya mambo yanafanyka kwenye nchi za kiafrika maana Marekani PAMOJA NA ushosti wote na Israeli huwezi ona raia wake wakitembea na hizo bendera never ni sisi tu wafuata mkumbo bila kuelewa.
Halafu kuna kitu nakishangaa kwa hawa wakristo wanaobeba hizi bendera maana sio wote. Wanasena wanamuamini YESU Kristo but wanapeperusha bendera za watu wasiomuamini YESU kristo
powa ndg!!Weka bendera ya Palestina.
Sasa wasikie wana Israeli wanasemaje juu ya Yashua (Jesus)ISAYA 62:10 , “Tokeni nje! Tokeni nje! Mkaandae barabara ili watu wangu wapate kurudi! Jengeni barabara, ondoeni vikwazo, na
MPEPERUSHE BENDERA YA ISRAELI . ”
Ishu sio market,ishu ni motive inayosukuma watu kufanya hivyo hakuna mtu anaelazimisha watu wafanye hayo wanayofanya,mpaka inaonekana tishioZa saudi Arabia tunatundika mbona Sana..... ila Nadhani za Israel zina market zaidi....
Hata kama wanatuita hivyo hao ni binadamu,vipi Mungu anatuitaje sisi.Waafrika wengine ni kama ng'ombe tu.
Waisraeli wanamuita mtu mweusi NYANI halafu Nyani hao hao wanashangilia Waisraeli.
Dah....
Utumwa wa akili mbaya sana
Halafu TRUMP akisema kuwa sisi hatuna akili ya kujitawala inabidi wakoloni warudi, tunamuona adui yetu.
Miafrika ni jipu sugu.
Ina maana hujui Israel maana yake ni nini?
Mbona hao waisraeli hawabebi bendera za Tanzania. Na haya mambo yanafanyka kwenye nchi za kiafrika maana Marekani PAMOJA NA ushosti wote na Israeli huwezi ona raia wake wakitembea na hizo bendera never ni sisi tu wafuata mkumbo bila kuelewa.
Halafu kuna kitu nakishangaa kwa hawa wakristo wanaobeba hizi bendera maana sio wote. Wanasena wanamuamini YESU Kristo but wanapeperusha bendera za watu wasiomuamini YESU kristo
Haijalishikun
nadhani ni kasumba tu kwa baadhi ya wafuasi wa yesu kudhani bendera ya kizayuni ya israeli inawakilisha israel ya ndani ya biblia takatifu. israel ya leo ni nchi ya mazayuni wabaguzi wakubwa. ni nchi sawa na apartheid south africa.
sio wafuasi wa Yesu tu. kwani hata wafuasi wa Muhamadi wanajua ukweli ila hawataki kuukubali,mbona hata qoran imekiri kuwa waisraeli ndio "waliokabidhiwa kitabu" unajua maana ya sentensi hiyo?kun
nadhani ni kasumba tu kwa baadhi ya wafuasi wa yesu kudhani bendera ya kizayuni ya israeli inawakilisha israel ya ndani ya biblia takatifu. israel ya leo ni nchi ya mazayuni wabaguzi wakubwa. ni nchi sawa na apartheid south africa.
Nakubaliana na wewe kwamba kuna watu kama wewe ambao mnaikubali tabia yake ya ubabe wake huko mashariki ya Kati.Lakini pia ukubali kwamba kuna watu wanaiona Israel kama "taifa teule" na hapa kuna utata kwani ni zaidi ya Itikadi za kisiasa bali tunakwenda hadi kwenye Itikadi za kidini.
Kuna watu wanaodhani kwamba Waisrael ni wakristo (kwa maana ya asilimia) lakini waisrael kwa asili hawaamini kama Yesu ni Masihi Mpakwa mafuta wa Bwana Mungu Yehova. Ndiyo maana wakati kuna baadhi ya Wakristo wanakwenda Hija Israel waisrael wenyewe wanawashangaa na kuwaona kama ni watalii wa kawaida wanaokwenda kutalii maeneo ya Kihistoria yasiyo na mashiko ya Kiimani.
Kama ambavyo kuna mtizamo hasi kwamba Wapalestina wote ni waislam, wakati wapalestina wapo na wakristo na wao pia wanaporomoshewa mabomu na waisrael kama wanavyopromoshewa wenzao waislam kwenye nchi yao!!