Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?


Mlaleo hizo ni stori zako tu za kujitungia, hata Ibrahim humjui, mara nani kabaka mara huyu kazaa nje, mara vile ! ....... bora unyamaze tuu maana maandiko yako hayana puche ya 'authority' yeyote na zaidi yamejaa chuki na stori za kuokoteza. Waislaam hatufuati maoni na mawazo ya mtu bali 'andiko' (Kiatabu)
80% ya Mitume wa Waislaam ni Wayahudi na Muislaam wa Kwanza ni Nabii Adam AS.
Naweka hizi nondo kwa faida pia ya wapita njia !
 
 

Attachments

  • Allah SWT.png
    83.2 KB · Views: 46
Story unasema nimeokoteza? wakati naongea vitu halisi na kweli tupu wewe kataa kwa ushahidi nilivyovisema mimi?

Kama wewe unasema waislam wanafuata yaliyoandikwa kwenye vitabu na maagizo ya Manabii mbona hakuna mnavyofuata? zaidi ya kitabu kimojawapo mnachokiita koran maana waandishi walikuwa wawili mudi akakichagua kitabu kimoja ndicho mnachotumia sasa hivi... so kama mnafuata maandishi ya kitabu basi aliyeandika ni binadamu hivyo Uislam unafuata pia mawazo ya mtu ambaye ni muandishi...

Nadhani neno Nabii unatakiwa ulielewe nabii ni nani na anakazi gani Adam hakuwahi kuwa na Cheo kama hicho cha Unabii sifa kuu ya nabii ni kutabili sasa Adam hakuwa na kazi hiyo na labda kazi yake kuwapa majina wanyama... dini yenu ikiwaambia hata upuuzi mnaamini
 
Kwani wamarekani wanatembea na Bendera za Tanzania? Mbona hapa zimejaa za Marekani kila mahali na hadi watu wazitumia kama leso na hakuna anaehoji?

Tatizo ni mwamko wa watu kuanza kupenda za Waisrael tu? Acha weeeeewe!!!
Nimewahi shuhudia wamarekani kibao makanisani wamebeba bendera za Israeli,
Kiimani lina maana yke na si ushabiki tu
 
Kuna siala la kiimani hapa,ile ni ardhi takatifu,
Niliwahi dadisi nkafunuliwa kifungu kinasema atakae ilaani Israeli nitamlaani,na atakae ibariki nitambariki,hvo hili ni suala la imani na km unavojua mkuu mambo ya imani ni magumu sana,na ukiyachunguza ni km kauounguani lkn ndo uhalisia na kweli yenyewe,
Hata bendera ya saudia inaheshima kubwa kwa waislamu na huiweka kwe magari yao maana kwao ni ñchi takatifu kiasi mtu yupo radhi ajiue akiwa huko kwa imani tu ataiona pepo.
 
hizi ndo comment za kishamba zinazoharibu mada, ko hata mwanao akikuuliza "baba kwa nin magari mengi siku hz yanabendera ya israeli, utasema kwa sababu ni taifa teule!!?" afu ndo mnasema walimu wanafelisha watoto wenu!
Jibu si lazima liwe uliko nalo kichwani mwako ww,mi nnaona n km umejaa Shari kichwani mwako,maana alokujibu hajatoa maneno ya kashfa wewe unamuita mshamba,nadhani ww ndo umedhihirisha ushamba wa mawazo maana hapakuwa na haja ya kutoa kashfa.mbele ya watu wanaoamini,neno taifa teule ama taifa takatifu ni jambo kubwa sana sana,yamkini haujui hili sababu wewe si muamini,acha wanao amini wakueleze sababu zao,na la zaidi Jambo lolote la kiimani mbele ya asiye wa imani hiyo huonekana upuuzi
 
Hivi ndio umequote maelezo yanauliza Allah ni nani na kilichoandikwa humo ni zaidi ya uozo... nimekuwekea maneno mengi ujifunze huyo Allah ni nani na uelewe kuwa unaabudu sanamu lakini huelewi Allah ni Mood God na ametokana na mungu mwingine aitwaye Hubal kwanini hamjifunzi kusoma mshindwe hata kuona pia? ule mwezi juu ya misikiti ndio utambulisho wa Allah Mungu Mwezi... yey mwenyewe kaumbwa....
 

'Lakini Shetani alimtia wasi wasi, akamwambia: Ewe Adam ! nikujulishe mti wa kuishi milele na ufalme usio koma ?
Basi wakaula wote wawili (Adam na Hawa), na uchi wo ukawadhihirikia na wakaanza kujibandika majani ya Bustani. Na Adam akamuasi Mola wake Mlezi na akapotea njia.

Kisha Mola wake Mlezi akamteuwa (Adam), naye akamkubalia toba yake, naye akamwongoa

(Mwenyezi Mungu) Akasema:Ondokeni humu nyote (Paradiso) hali ya kuwa ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Na ukikufikia uongofu kutoka kwangu basi atakaye ufuata uongofu wangu hatapotea wala hatataabika.
Qur'an:20:120-123.

'Hakika (verily !) Mwenyezi Mungu alimteuwa Adam na Nuhu na ukoo wa Ibrahim (Ismael na Is'haq) na ukoo wa Imran (Yesu na mama yake Maryam) juu ya walimwengu wote.
Qur'an: 3:33

'Na bila shaka tulimtuma Nuhu na Ibrahim na tukaweka katika dhuria zao Unabii na Kitabu
...........na tukamfuatisha Yesu mwana wa Maryam, na tukampa Injil
Qur'an: 57:26-27.

Mlaleo nakushanga sana, huna 'authority' ya kutoka sehemu yeyote (yaani huna nukuu yeyote) lakini bado unadai unaoandika vitu halisi na kweli. Sehemu zote mimi nimekupa nuku ya Qur'an !
Kwa mujibu wa mafundisho na Qur'an Tukufu, Adam AS ni Nabii (Q:3:33)
 
Kuran haiwezi kueleza vizuri zaidi ya biblia kuhusu historia ya manabii na mitume na hata adamu na Eva maana kuran ilikuja miaka Mia tano nguma ya biblia,mnafundishwa habari za copy,edit and p
 
Kuran haiwezi kueleza vizuri zaidi ya biblia kuhusu historia ya manabii na mitume na hata adamu na Eva maana kuran ilikuja miaka Mia tano nguma ya biblia,mnafundishwa habari za copy,edit and p
Biblia ni Kitabu cha Nabii gani ? ...... maana Yesu alikuwa na Injil, copy and paste ni hilo dude linaitwa Biblia ambalo mwenyewe hajulikani !
 
Biblia ni Kitabu cha Nabii gani ? ...... maana Yesu alikuwa na Injil, copy and paste ni hilo dude linaitwa Biblia ambalo mwenyewe hajulikani !
Tafuta maana ya neno BIBLIA kwanza ndo uulize,na baada ya kujua BIBLIA ni nn hautauliza hivo tena
 
Koran si kitabu cha Evidance historia yake ni mbaya sana maana siku mudi alipokikubali kutoka kwa muandishi akapandwa na mashetani akiwa pangoni mkewe Khadija alithibitisha mumewe kupandwa na MASHETANI... so koran haina cha kukutetea wewe kwani ni kitabu cha kutungwa na kimecopy copy vitu vingi vikiwemo vya wayahudi na christian so bora utafute evidance kwingine.... Koran na Bible si vitabu vya kutolea evidance..

Pia Kumbuka Unapozungumzia Mungu ujue ni Mungu wa Wayahudi na sio Allah kwani Allah alishakili kwenye maandiko yenu ya koran kuwa yeye si Mungu...
 
Itakuwa umesikia wehu wakiongea ndo nawe unacopy, ila kwa walio timamu wakisoma quran wanaisha kusilimishwa ni kitabu kamili na pekee kisicho na kosa hata 1
 
Itakuwa umesikia wehu wakiongea ndo nawe unacopy, ila kwa walio timamu wakisoma quran wanaisha kusilimishwa ni kitabu kamili na pekee kisicho na kosa hata 1
Hao walio Timamu wanasoma hiyo Koran kwa Lugha ya Kiarabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…