Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?

Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?

aisha_8_vs_muhammad_54_excellent_example_33-21.jpg
Allah - Madhalim and lier.png

Mwisho wa Wabishi.png
Mlaleo
 
Sign zake ndio MWEZI? so tuelewe Allah ndie Mwezi si ndio... Anaonekana usiku tu na siku nyingine asipomuona jua anakosa mng'aro.... dah nyie endeleeni kuabudu hivyo....

Sasa hayo mapango ndio anakaa humo? Hebu fuatilia asili ya kabila la quresh ndipo utajua Allah ni nani.... na sio blah blah zako za kudenided Allah Sign siku ukisikia Mungu Mwezi ujue ndie
 
Taifa teule wakati wana ubaguzi usiokuwa na mfano khaaa....peleka rangi yako nyeusi kule hapo ndiyo utaona watu walivyo na roho mbaya
 
Sign zake ndio MWEZI? so tuelewe Allah ndie Mwezi si ndio... Anaonekana usiku tu na siku nyingine asipomuona jua anakosa mng'aro.... dah nyie endeleeni kuabudu hivyo....

Sasa hayo mapango ndio anakaa humo? Hebu fuatilia asili ya kabila la quresh ndipo utajua Allah ni nani.... na sio blah blah zako za kudenided Allah Sign siku ukisikia Mungu Mwezi ujue ndie


'Mtaje katika Kitabu (Qur'an) Ibrahim. hakika yeye alikuwa mkweli, Nabii.

(Ibrahim) Alipomwambia baba yake; Ewe baba yangu ! Kwanini unaabudu visivyo sikia ? na visivyo ona ? na visivyo kufaa chochote ?

Ewe baba yangu ! Kwa yakini imenifikia elimu isiyokufikia wewe. Basi nifuate mimi, nami nitakuongoza kwenye njia iliyo sawa.
Qur'an:41-50


'Hakika mimi (Ibrahim) nimeuelekeza uso wangu sawa sawa kwa aliye ziumba mbingu na ardhi (ikiwemo nyota na mwezi) wala mimi sio miongoni mwa washirikina (waabudu masanamu na vitu)
Qur'an: 6:79

Na Mola alimwambia (Ibrahim): Silimu (kuwa Muislaam), Nyenyekea ! akajibu: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu woote.

Na Ibrahimu akawausia wanawe (Ismael na Is-haq), na pia Yakobo: Enyi Wanangu ! Hakika wanagu Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii, basi msife ila nanyi mmekuwa Waislaam, wanyenyekevu.
Qur'an:2:130-133.

Mlaleo
Sala-Ibada Jeshi kwa haki.jpg
 
Sign zake ndio MWEZI? so tuelewe Allah ndie Mwezi si ndio... Anaonekana usiku tu na siku nyingine asipomuona jua anakosa mng'aro.... dah nyie endeleeni kuabudu hivyo....

Sasa hayo mapango ndio anakaa humo? Hebu fuatilia asili ya kabila la quresh ndipo utajua Allah ni nani.... na sio blah blah zako za kudenided Allah Sign siku ukisikia Mungu Mwezi ujue ndie
Hapo ni Misri na humo ndani ya mapango kulikuwa na miungu ya masanamu ! Uwe unaangalia angalau History channel. Hao watu waliyochonga hayo mapango wako wapi ! Hata mchakato wake unausikia ?
 
'Mtaje katika Kitabu (Qur'an) Ibrahim. hakika yeye alikuwa mkweli, Nabii.

(Ibrahim) Alipomwambia baba yake; Ewe baba yangu ! Kwanini unaabudu visivyo sikia ? na visivyo ona ? na visivyo kufaa chochote ?

Ewe baba yangu ! Kwa yakini imenifikia elimu isiyokufikia wewe. Basi nifuate mimi, nami nitakuongoza kwenye njia iliyo sawa.
Qur'an:41-50


'Hakika mimi (Ibrahim) nimeuelekeza uso wangu sawa sawa kwa aliye ziumba mbingu na ardhi (ikiwemo nyota na mwezi) wala mimi sio miongoni mwa washirikina (waabudu masanamu na vitu)
Qur'an: 6:79

Na Mola alimwambia (Ibrahim): Silimu (kuwa Muislaam), Nyenyekea ! akajibu: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu woote.

Na Ibrahimu akawausia wanawe (Ismael na Is-haq), na pia Yakobo: Enyi Wanangu ! Hakika wanagu Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii, basi msife ila nanyi mmekuwa Waislaam, wanyenyekevu.
Qur'an:2:130-133.

Mlaleo
View attachment 342911
Hao wamebinuka.. lakini ikija vita wanachezea kichapo everynow and then...
Worthless prayer...
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Bandiwe
Hapo jamaa waliobong'oa wamemsujudia nani mbele yao maana Allah yupo Kaaba... kwenye Nyumba yake... Inachekesha kusika leo kuwa Ibrahim naye aliambiwa asilimu awe Muislam wakati Uislam ulianza miaka zaidi ya Elfu baada ya kifo cha Ibrahim.... ni sawa na kuhifadhi juu kwenye nyumba ya ghorofa 40 ambalo halijajengwa and then unachekelea..... Uislam ni Dini iliyotungwa na Mudi tena baada ya kupokea vitabu viwili vya koran kwa waandishi maarufu waarabu akakichagua kimoja akakiita kitakatifu baada ya kukisoma na kukipenda kile kingine akakiacha... na ushahidi upo... Sasa Ibrahim na uislam wapi na wapi zaidi ya kuwa yeye ni chanzo cha damu ya waarabu wengi...sababu ni watoto wa nje ya Ndoa, yeye uzao wake ni Wayahudi
 
Mkuu Maswali yako yapo low sana... Unapozungumzia jina Israel basi unazungumzia Yakobo au Waislam huita Yakub... so Watoto na wazawa wa Yakobo ndio waliitwa Watoto wa Israel ambaye ni Yakobo... so ndio Maana Historia imewazungumzia tokea miaka hiyo 3500 iliyopita hadi leo hii vizazi vyake vipo so hawana Jina lingine zaidi ya hilo la Waisrael damu ni nzito kuliko maji... kama mawazo yako yanaweza kataa hili basi wewe ni mtu mwenye uwezo wa kukataa kila kitu utakachoambiwa hakika... Hawa Jamaa waliweza tunza record zao tokea vizazi vyao.... ila hamna Shida ya wewe kukataa au kukubali au kushangaa.. ila waweza pay a visit maeneo ya middle east kujionea Mambo...

Ukifuatilia sana before miaka 3500 iliyopita yasemekana Wayahudi walitokea Huko Perian na Uturuki na Uturuki ndio yasemekana Safina ilipotamia milimani juu Kwahiyo the first civilization after gharika ilikuwa ni katika nchi ya Uturuki
Baba, umepata kumsikia Socrates na wenzie?
Acha uwongo. civilization ianzie kwa wahni wa ottoman empire? hapana mzee. na ugiriki kulikuwa na nini?
Kajipange upya....

Elewa kwanza swali. Israeli iliyotajwa kwenye bible, ndio hiihii ya sasa? Bado upo shallow sana kwenye biblia yako....jua kisa kikaendeleaje, na ikaishiaje. usiishie kwenye introduction pekee....ukazama deep alafu ukajikuta jiniasi
 
'Mtaje katika Kitabu (Qur'an) Ibrahim. hakika yeye alikuwa mkweli, Nabii.

(Ibrahim) Alipomwambia baba yake; Ewe baba yangu ! Kwanini unaabudu visivyo sikia ? na visivyo ona ? na visivyo kufaa chochote ?

Ewe baba yangu ! Kwa yakini imenifikia elimu isiyokufikia wewe. Basi nifuate mimi, nami nitakuongoza kwenye njia iliyo sawa.
Qur'an:41-50


'Hakika mimi (Ibrahim) nimeuelekeza uso wangu sawa sawa kwa aliye ziumba mbingu na ardhi (ikiwemo nyota na mwezi) wala mimi sio miongoni mwa washirikina (waabudu masanamu na vitu)
Qur'an: 6:79

Na Mola alimwambia (Ibrahim): Silimu (kuwa Muislaam), Nyenyekea ! akajibu: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu woote.

Na Ibrahimu akawausia wanawe (Ismael na Is-haq), na pia Yakobo: Enyi Wanangu ! Hakika wanagu Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii, basi msife ila nanyi mmekuwa Waislaam, wanyenyekevu.
Qur'an:2:130-133.

Mlaleo
View attachment 342911
ka hiyo vingine vinapaswa kuabudiwa pasiipo haki?
 
Kama ilivyo kwa wachungaji Wa leo
Ni ujinga na upumbavu tu! Wengi husema ni taifa teule la Mungu. Kiuhalisia Israel ya leo siyo ile ikiyotajwa kwenye Biblia. Hawa Waisrael wa leo ni mazayuni washenzi tu hawana hata punje ya uteule.
 
Bandiwe
Hapo jamaa waliobong'oa wamemsujudia nani mbele yao maana Allah yupo Kaaba... kwenye Nyumba yake... Inachekesha kusika leo kuwa Ibrahim naye aliambiwa asilimu awe Muislam wakati Uislam ulianza miaka zaidi ya Elfu baada ya kifo cha Ibrahim.... ni sawa na kuhifadhi juu kwenye nyumba ya ghorofa 40 ambalo halijajengwa and then unachekelea..... Uislam ni Dini iliyotungwa na Mudi tena baada ya kupokea vitabu viwili vya koran kwa waandishi maarufu waarabu akakichagua kimoja akakiita kitakatifu baada ya kukisoma na kukipenda kile kingine akakiacha... na ushahidi upo... Sasa Ibrahim na uislam wapi na wapi zaidi ya kuwa yeye ni chanzo cha damu ya waarabu wengi...sababu ni watoto wa nje ya Ndoa, yeye uzao wake ni Wayahudi

'Ambao wanao mfuata huyo Mtume (Muhammad), Nabii asiye soma wala kuandika, ( na hao wanao mpinga) wanaye mkuta ameandikwa katika Tourat na Injil...........

'................basi muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake asiye jua kusoma na kuandika, ambaye anamuamini Mwenyezi Mungu na maneno yake.
Qur'an: 7:157-158

'Ibrahimu hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislaam, wala hakuwa katika washirikina (waabudu masanamu)

Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuate yeye na Nabii huyu (Muhammad) na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa waumini.

Qur'an: 3:67-68.

Mlaleo huko 'Sunday School' walikudanganya.
Jibu haya maswali: Kabla ya Yesu(Ukiristo), waumini walikuwa ni Dini gani ? ......
Ibrahim au Abrahamu ni Nabii ? ....kama jibu ndio, ...je Nabii anaweza kuwa mzinifu mpaka azae watoto wa nje ?
Ibrahim alikuwa na wake wangapi ?
 
Japo mada imejibiwa ila Daa!!, haya mambo makubwa sana haya!!
 
'Ambao wanao mfuata huyo Mtume (Muhammad), Nabii asiye soma wala kuandika, ( na hao wanao mpinga) wanaye mkuta ameandikwa katika Tourat na Injil...........

'................basi muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake asiye jua kusoma na kuandika, ambaye anamuamini Mwenyezi Mungu na maneno yake.
Qur'an: 7:157-158

'Ibrahimu hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislaam, wala hakuwa katika washirikina (waabudu masanamu)

Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuate yeye na Nabii huyu (Muhammad) na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa waumini.

Qur'an: 3:67-68.

Mlaleo huko 'Sunday School' walikudanganya.
Jibu haya maswali: Kabla ya Yesu(Ukiristo), waumini walikuwa ni Dini gani ? ......
Ibrahim au Abrahamu ni Nabii ? ....kama jibu ndio, ...je Nabii anaweza kuwa mzinifu mpaka azae watoto wa nje ?
Ibrahim alikuwa na wake wangapi ?
The Issue ya kutoelewa haswa inasababishwa na uislam wako hilo ni Moja.... Nikuweke sawa pili sijafundishwa kusoma wala kuamini Sunday School...

Ibrahim hakuwa Yahudi bali ila ndio Asili ya Wayahudi... Nadhani nimekujibu hapo... so huwezi kuwa Myahudi kama hujapitia kwa Ibrahim. na Uyahudi ni Tribe ambalo limetokana na Mtoto wa Yakobo aliyeitwa Yuda Yakobo alikuwa na Watoto Kumi na Mbili na Kila Mtoto familia yake iliwakilisha Kabila Hivyo Yakobo Aliitwa Israel na Watoto wake wote waliitwa wana wa Israel even Unayemuita Nabii Mussa anatokea katika Ukoo wa Levi. so Miaka Hiyo hakukuwa na Kitu Kinachoitwa Ukristo wala Uislam... kulikuwa na Miungu Mingi Sana ikiwemo ya Sanamu Uchawi n.k

So Kina Ibrahim as per Bible Story walikuwa hawaabudu Sanamu iwe ile ya Mwezi kama juu ya Misikiti wala Misalaba n.k bali walikuwa na Record zao za kupractice Mungu wa Babu zao kina Enoch n.k remember Adam alishamwagwa Mungu wake alimpotezea nadhani alikata mawasiliano na mjalana wake... so yameandikwa kuwa Aliweza walisiana na Enoch and enoch alifanya mengi sana katika kuweka record za kupractice Mungu wake.... asiyeonekana wala kuongea na Binadamu wake kama mnavyojiaminisha so ni mambo ya kufikirika tu... kama wewe usiye na ushahidi au waislam wote duniani hawana ushahidi hakika.

Ukisema watu waliomfuata Ibrahim ni Mudi hapo Uko Wrong Ibrahim alipita miaka mingi sana ndipo Mudi akazaliwa na ni watu wawili tofauti kabisa katika kushabihiana... ukiweka moja baada ya Jingine...

Ibrahim Hakubaka.... Mudi Alibaka kitoto Aisha
Ibrahim Alizaa na Mwanamke mmoja wa Nje ya Ndoa - Mudi kibao tu yaani akiwepo Mke wa Jemadari wake aliyekuwa akimtuma vitani yeye anabaki akila uroda
Ibrahim hakuua - Mudi Aliua na hila Zake watu wanakufa hadi leo kwa ajili yake
Ibrahim aliishi Miaka mingi - Mudi aliishi miaka michache
Ibrahim hakuwa Mroho wa Nyama - Mudi Alikuwa na Uchu wa Nyama na ndio Sababu halisi ya Kifo Chake uroho wa Nyama akawekewa Sumu na yeye kwa urafi akaifakamia na kundei tena Nyama aliwekewa na Mke Myahudi...
Ibrahim alitaka alithiwe Mudi hakutaka mtu achukue cheo chake
Ibrahim alikuwa akitoa Mibaraka - Mudi hakuweza
Ibrahim aliongea na Malaika - Mudi aliongea na Shetwain na alipandwa nao Mkewe Khadija Alikili
Mudu labda afananishwe na kibwetele lakini sio Ibrahim....Mwenye heshima babu wa Mababu..

Navyoongea ni kweli tupu na ushahidi upo kwenye kitabu chenu...

Na Muongozo wa Kuabudu tokea kipindi cha akina Adam Enoch Ibrahim Yakob Bado upo Israel ambapo Kabila lililokaza sana ni kabila la Yuda ambao ndio wewe umezoea kusema Wayahudi... wanafuata vile vile jinsi ya kuabudu even YESU (Yashua ) alivyokuwa naye akiabudu wakati wa uhai wake... na alipokuwa ndipo wale walioshindwa kuendeleza namna ya kuabudu walianzisha Dini zao Ukristo na Uislam

Arabuni Kabila lililoitwa Qurash lilikuwa likiabudu Sanamu lenye mfano wa Umbo la Mwezi kipande na huyo Sanamu aliitwa A double L h na alikuwa na mabinti zake watatu kina El-Lati , El-uzza na Manat huyu Mungu wao Mudi alikuja akampandisha Cheo kuwa ndie Mungu Master Muhahahaahah na nyie Mkaamini ila alitumia ubabe ukikataa unauliwa so watu walilazimishwa na Nyumba yake huyo Allah ipo Mecca Inaitwa Kaaba

Asili ya uislam ni Mungu Mwezi na ALAMA HIYO Ipo kwenye Misikiti yote ya WAISLAM kamuulize Shehe wako nini maana ya hiyo alama kama hajakutoa mkuku... STUKA... OH Umekwisha potea

Kuwa Mjenzi Huru..

There is no God watu wamejitungia tu...
 
Baba, umepata kumsikia Socrates na wenzie?
Acha uwongo. civilization ianzie kwa wahni wa ottoman empire? hapana mzee. na ugiriki kulikuwa na nini?
Kajipange upya....

Elewa kwanza swali. Israeli iliyotajwa kwenye bible, ndio hiihii ya sasa? Bado upo shallow sana kwenye biblia yako....jua kisa kikaendeleaje, na ikaishiaje. usiishie kwenye introduction pekee....ukazama deep alafu ukajikuta jiniasi
Baba, umepata kumsikia Socrates na wenzie?
Acha uwongo. civilization ianzie kwa wahni wa ottoman empire? hapana mzee. na ugiriki kulikuwa na nini?
Kajipange upya....

Elewa kwanza swali. Israeli iliyotajwa kwenye bible, ndio hiihii ya sasa? Bado upo shallow sana kwenye biblia yako....jua kisa kikaendeleaje, na ikaishiaje. usiishie kwenye introduction pekee....ukazama deep alafu ukajikuta jiniasi
Unaleta mambo ya Socrate mtu aliyeponda kuzungumzia watu...

Sayansi ya sasa hivi ya vina saba ndio imegundua vizazi vya wayahudi vimetoa persian huko na Uturuki... utaki acha...wewe baki za sayansi yako ile ya koran kuwa Jua huwa linazama kwenye Matope jioni
 
Back
Top Bottom