Acha uwongo,,kwa mwaka wanapata msaada wa kijeshi dola bilioni 5 toka marekaniBado hujaijua Israel mpaka sasa, hilo ni taifa pekee duniani lenye uwezo wa kujitegemea kwa kila kitu na limezungukwa na majirani maadui, bendera ni ishara ya upendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uwongo,,kwa mwaka wanapata msaada wa kijeshi dola bilioni 5 toka marekaniBado hujaijua Israel mpaka sasa, hilo ni taifa pekee duniani lenye uwezo wa kujitegemea kwa kila kitu na limezungukwa na majirani maadui, bendera ni ishara ya upendo
Nadhani wa AFRIKA TUNA ULEMAVU WA AKILI.....kila kukicha Waisrael wanandamana kuwaondoa watu weusi nchini mwao tena wengine mpaka wanawapiga....lakini huku AFRIKA KWA KULEWA IMANI ZA KISHENZI TUNALIITA TAIFA TEULE LA MUNGU.....ni MUNGU YUPI ALIYEWATEUA NA KUWAAGIZA KUWABAGUA BINAADAMU WENZAO......???
Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu walionao waafrika....
Weusi wanabaguliwa everywhere nitajie mahali ambapo mtu mweusi ana amani nijisaidie haja kubwa hapa jamvini.Nadhani wa AFRIKA TUNA ULEMAVU WA AKILI.....kila kukicha Waisrael wanandamana kuwaondoa watu weusi nchini mwao tena wengine mpaka wanawapiga....lakini huku AFRIKA KWA KULEWA IMANI ZA KISHENZI TUNALIITA TAIFA TEULE LA MUNGU.....ni MUNGU YUPI ALIYEWATEUA NA KUWAAGIZA KUWABAGUA BINAADAMU WENZAO......???
Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu walionao waafrika....
Kaombe na wewe hizo dola bilioni 5Acha uwongo,,kwa mwaka wanapata msaada wa kijeshi dola bilioni 5 toka marekani
Mbona kuna nchi nyingi zinazoeabagua Waafrika?Nadhani wa AFRIKA TUNA ULEMAVU WA AKILI.....kila kukicha Waisrael wanandamana kuwaondoa watu weusi nchini mwao tena wengine mpaka wanawapiga....lakini huku AFRIKA KWA KULEWA IMANI ZA KISHENZI TUNALIITA TAIFA TEULE LA MUNGU.....ni MUNGU YUPI ALIYEWATEUA NA KUWAAGIZA KUWABAGUA BINAADAMU WENZAO......???
Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu walionao waafrika....
Na hiyo ni moja wapo....Mbona kuna nchi nyingi zinazoeabagua Waafrika?
Kwa hiyo mkuu kubaguliwa kwa weusi kila mahali hapa duniani ndio inatoa uhalali wa sisi kuacha kuthamini vya kwetu...na kukumbatia vitu vya wenzetu wanaotubagua......ina maana hao wa israel hawana hata nchi moja ya kiafrika inayowavutia hadi kufikia hatua ya kuweka bendela zake kwenye magari yao....???Weusi wanabaguliwa everywhere nitajie mahali ambapo mtu mweusi ana amani nijisaidie haja kubwa hapa jamvini.
Nyani kuvaa nguo sio leseni ya kukaa mezani na mwanadamu.
Waafrika ni watoto nakuomba usiulize maswali mengi utoto wako unakufanya ushindwe kudadavua mambo. Donald Trump anasema there is no shortcut to maturity mwombee ashinde aje atusaidie kukua.Kwa hiyo mkuu kubaguliwa kwa weusi kila mahali hapa duniani ndio inatoa uhalali wa sisi kuacha kuthamini vya kwetu...na kukumbatia vitu vya wenzetu wanaotubagua......ina maana hao wa israel hawana hata nchi moja ya kiafrika inayowavutia hadi kufikia hatua ya kuweka bendela zake kwenye magari yao....???
Waswahili wanasema asiye jua maana haambiwi maana itoshe tu kujua kuwa sababu za kuweka hizo bendera kwenye magari ni zaidi sana ya za kisiasa na wapo wanao jua undani wa Israel na wataendelea kuipenda na kadri siku zinavyo kwenda watazidi kuongezeka na wapo wasio ipenda ni haki yao,Mungu libariki na kulilinda Taifa lako Israel.Ina maana hujui Israel maana yake ni nini?
It wasn't by chance