Bendera ya Mozambique (Msumbuji), Je ni Wakati wa kutoa hii AK 47

Bendera ya Mozambique (Msumbuji), Je ni Wakati wa kutoa hii AK 47

Hapana haujakosea hio ni bendera ya nchi na hio ni AK 47 ikiwa na Jembe..., Ndio naelewa kwamba kuna kipindi walikuwa wanapigania Mapinduzi / Uhuru hio AK ilikuwa na kazi mahususi je wakati haujafika kubadilisha hio AK na kuweka angalau kalamu iendane na hicho kitabu ?

Clothes Make the Pirate.... Hii kama hujui uneweza kudhani ni bendera ya wauza ngada....
Afrika mapambano bado yanaendelea kuufikia ukombozi halisi kwahiyo bado haijapoteza maana hiyo AK 47, na hata tutakapofikia kuwa na ukombozi wa 100% bado itabaki kuwa kumbukumbu ya alama iliyotuvusha kuifikia Nirvana.
 
Ya kwenu isio kuwa na hio ak 47 inasaidia nini nchi?
Unajua maana ya Bendera ? Bendera ya nchi ni symbol ya kuonyesha kwa ufupi at a glance nchi.., kwahio kila kilichopo kina maana na kwa Msumbuji AK inaonyesha defense na kipindi wanadesign huenda ilikuwa ni kipindi cha mapambano..., Kwahio Bendera haisadii nchi bali ni symbol ya nchi....
  • Kijani kwa ajili ya mashamba, kilimo na misitu.
  • Buluu kwa ajili ya bahari, maziwa n.k.
  • Nyeusi ni rangi ya Waafrika.
  • Njano inakumbusha juu ya utajiri wa madini. Njano ya namna hiyo inaelezwa mara nyingine kuwa ni dhahabu...
Kwahio kujibu swali lako inasaidia mtu kupata uelewa haraka kwa kuangalia (mfano akiona hakuna nyekundu anajua hatukumwaga damu)
 
Afrika mapambano bado yanaendelea kuufikia ukombozi halisi kwahiyo bado haijapoteza maana hiyo AK 47, na hata tutakapofikia kuwa na ukombozi wa 100% bado itabaki kuwa kumbukumbu ya alama iliyotuvusha kuifikia Nirvana.
Kwahio ni Russian AK 47 ndio itakuwa imetufikisha pa kufika na sio ujemedari wa wananchi ?
 
Imeathiri vipi uchumi au amani ya hilo Taifa?
CCM mmezoea habari zenu za kuunda kamati ya kubadili jina la katiba wakati Maudhui ni yale yale.
Ukiongelea Amani kwa Msumbuji nadhani tafuta mwenyewe data (ingawa kukosekana Amani sio sababu ya bendera ni more of a mentality, na huenda ni mentality hio hio ndio inaona fahari ya kuwa na mtutu kama symbol ya defense) kuhusu Uchumi Bendera has got nothing to do with Uchumi..., It's just a Symbol
 
Hapana haujakosea hio ni bendera ya nchi na hio ni AK 47 ikiwa na Jembe..., Ndio naelewa kwamba kuna kipindi walikuwa wanapigania Mapinduzi / Uhuru hio AK ilikuwa na kazi mahususi je wakati haujafika kubadilisha hio AK na kuweka angalau kalamu iendane na hicho kitabu ?

Clothes Make the Pirate.... Hii kama hujui uneweza kudhani ni bendera ya wauza ngada....
Vyote na jembe la mkono limepitwa na wakati.
 
Vyote na jembe la mkono limepitwa na wakati.
Bora Jembe la Mkono linaelezea Uhalisia ambao ni kwamba majority ya wananchi kama ilivyo Tanzania pia ni Peasants (wala huwezi kuwaita farmers); kwahio labda ushauri kwa Afrika kwa ujumla tutupe Mitutu (ya kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa kununua kutoka mataifa ya mbali hence kuwapa biashara) na tuwekeze kwenye ma Combined Harvester ili angalau katika maadui wa kweli watatu (Ujinga, Umasikini na Maradhi) tuweze kupambana nao..., Na hao kwamwe hawaondolewi kwa Mtutu...; Ukizingatia Mtutu huo ni wa Brother killing the Other Brother....
 
Kwahio ni Russian AK 47 ndio itakuwa imetufikisha pa kufika na sio ujemedari wa wananchi ?
End justify means, by the way, Mrengo wa siasa ya Mozambique uliegemea upande wa Mashariki zama za Siasa za ujamaa kutoka iliyokuwa USSR (ambapo ndipo ilipozaliwa Russia) na washirika wake.
Na undani wa nchi nyingi za Africa ujamaa ndiyo siasa yao halisi ila nchi za magharibi zinaenda kudanga tu, kwahiyo bado haiwezi kubadili maana wala kuathiri kwa uwepo wa hiyo AK47, it can also serve as a symbol of acknowledgement.
 
End justify means, by the way, Mrengo wa siasa ya Mozambique uliegemea upande wa Mashariki zama za Siasa za ujamaa kutoka iliyokuwa USSR (ambapo ndipo ilipozaliwa Russia) na washirika wake.
By the way do you know hata UK walikuwa Socialists with Mixed Economy baada ya vita vya Dunia ? Ingawa Ujamaa huo kwa dunia nzima ulikuwa kwenye vitabu tu na sio realistically kama vile ambayo Ubepari unapatikana kwenye vitabu tu na hakuna nchi ambayo ni Capitalists 100 percent kilichopo ni how much the economy is planned

Na notion ya kwamba Russia nido washirika wetu wakati wewe ni sovereign huitaji kuonyesha huo Ushirika kwenye Bendera unless ushirika huo upo reciprocated (na wao wanaonyesha kwenye bendera yao)
Na undani wa nchi nyingi za Africa ujamaa ndiyo siasa yao halisi ila nchi za magharibi zinaenda kudanga tu, kwahiyo bado haiwezi kubadili maana wala kuathiri kwa uwepo wa hiyo AK47, it can also serve as a symbol of acknowledgement.
Kuonyesha acknowledgement kwenye your country symbols shows dependency..., and I can Argue you can not be well defended kama hata katika hio defense yako ni dependent..., What happens huyo unayemtegemea siku akiwa adui ?

Ingawa mimi naliona hili kwa mapana na sio kwa nchi bali wa Continent as a whole We need Unification na kuwa kitu kimoja..., Na I can Argue AK 47 has been a Weapon of Mass Desctrution as far as African are concerned (A brother killing the other brother) the really enemies ndio wanatuuzia hizo mambo....
 
Maisha ya mwafrika ni mapambano.
Shida mara nyingi anapambana na kivuli chake na zile chache zilizobakia ni brother killing the other brother... Karne hii anyway siongelei kipindi cha Colonialism bali kipindi hiki cha Neo Colonialisms na Mental Slavely
 
By the way do you know hata UK walikuwa Socialists with Mixed Economy baada ya vita vya Dunia ? Ingawa Ujamaa huo kwa dunia nzima ulikuwa kwenye vitabu tu na sio realistically kama vile ambayo Ubepari unapatikana kwenye vitabu tu na hakuna nchi ambayo ni Capitalists 100 percent kilichopo ni how much the economy is planned

Na notion ya kwamba Russia nido washirika wetu wakati wewe ni sovereign huitaji kuonyesha huo Ushirika kwenye Bendera unless ushirika huo upo reciprocated (na wao wanaonyesha kwenye bendera yao)

Kuonyesha acknowledgement kwenye your country symbols shows dependency..., and I can Argue you can not be well defended kama hata katika hio defense yako ni dependent..., What happens huyo unayemtegemea siku akiwa adui ?

Ingawa mimi naliona hili kwa mapana na sio kwa nchi bali wa Continent as a whole We need Unification na kuwa kitu kimoja..., Na I can Argue AK 47 has been a Weapon of Mass Desctrution as far as African are concerned (A brother killing the other brother) the really enemies ndio wanatuuzia hizo mambo....
Kuhusu UK na hiyo historia yake haina tija bali tunaangalia uhusika wake katika historia ya Africa. Je, alikuja kama nani katika bara la Africa hicho ndicho kina tija hasa na tutamweka kwenye kundi kutegemea si kwa jinsi alivyo bali namna alivyochangamana na jamii ya Africa.
Taswira aliyojijengea haifanani na taswira aliyonayo USSR katika historia ya bara la Africa, USSR alionekana kama mshirika mwema wa siasa za ukombozi wa bara la Africa.
Kuhusu kuukumbuka wema uliotendewa ni mpaka na wewe aliyekutendea wema afanye kama uliyofanya wewe inategemea na mtazamo wako na imani inayokuongoza na mara nyingi hakuna uzania katika kupenda na kuurudisha upendo.
Ndiyo maana mara kadhaa ni rahisi kukuta mwanamke anamuweka status mume wake na hata kumchapisha katika mitandao ya kijamii namna anavyompenda mume wake lakini ni mara chache wanaume hu reciprocate upendo wanaoonesha wake zao na wao kwa kuweka machapisho juu ya wake zao katika mitandao ya kijamii, je, umewahi kujiuliza ni kwanini? je, unadhani wanaume wasio tupia picha za wake zao mtandaoni au kuwaweka status na profile picha hawana upendo kwa wake zao?
Ukweli ni kwamba kila mmoja ana namna yake ya kuonesha upendo kwa mshirika wake, wapo wanaopenda kufanya hivyo hadharani kila mmoja ashuhudie lakini kuna mwingine anafanya kwa namna ile anaona inafaa.
 
Mkuu, badala upiganie katiba ya nchi yako sambamba na mifumo mbalimbali ya kiuongozi na kiutawala ambayo haijakaa sawa, unavuka mipaka hadi kwenda kuwasahihisha wana msumbiji ambao wao wanajua kwa nn hiyo AK 47 iko hapo...
Naomba Uzi huu ufungwe kwa comment hii.
All the best
 
Congo wamebadili bendera je imewasaidia nchi kuwa na amani?
Bendera ndio inaleta Amani ?

Bendera ni symbol ambayo naweza kusema ina akisi mentality ya watu / kizazi / taifa sasa kama mentality yenu ni wao na sisi au lolote / Amani haiji bali kwa ncha ya upanga ni tofauti na yule anayewaza vinginevyo... (ndio maana strategy za Malcolm X ; By any Means Necessary zinaweza zikawa tofauti hata kwa matendo na fikra za Non Violence, Non Violence we shall Overcome.....

Point yako ni sawa usema simba kuwa na rangi nyekundu au Yanga Njano ndipo kunakowafanya washinde au washindwe... (That is beside the Point)...
 
Congo wamebadili bendera je imewasaidia nchi kuwa na amani?
congo 1.jpg

congo 2.jpg


Bendera ni Symbol sasa ulitaka ibaki ile ya Belgian Conco au ibaki yenye nyota sita (six Provinces) au ibaki ambayo haina rangi nyekundu kuonyesha kumbuku ya waliomwaga damu ? Bendera iliyoshiba ni ila inayoakisi hali halisi na yenye inclusivity ya Taifa... And on that Token kwa nchi inayolilia Amani nadhani bendera ya sasa ni perfect kabisa
  • Blue represents peace.
  • Red stands for "the blood of the country's martyrs",
  • yellow the country's wealth;
  • and the star symbol the future for the country.
Yaani it brings Hope while remembering the giants who fought and lost their lives in pursuit of Peace and bright Future....
 
Ukiongelea Amani kwa Msumbuji nadhani tafuta mwenyewe data (ingawa kukosekana Amani sio sababu ya bendera ni more of a mentality, na huenda ni mentality hio hio ndio inaona fahari ya kuwa na mtutu kama symbol ya defense) kuhusu Uchumi Bendera has got nothing to do with Uchumi..., It's just a Symbol
Even vita, has nothing to do with it.
Ni wasi wasi wako tu.
 
Ukiitoa AK47 utoe na hiyo rangi nyekundu...

Cc: Mahondaw
Nyekundu ni Historia kwamba walimwaga Damu (You can Not change the Past); Ila unaweza kutumia Past hio kama fundisho kwamba kila ukitaka kufanya uliyofanya yakasababisha kumwaga damu ukumbuke na kuacha kuyafanya....

Ila for the life of me... siwezi kuona karne hii ya 21 kwa nchi yenye civil wars na matatizo lukuki ya ugaidi AK 47 ina umuhimu gani symbolically. Kama ni defense na kwa nchi ya ugaidi basi ili kuepusha brainwashing what is needed is education....
 
Back
Top Bottom