Bendera ya Rais kwenye kikao cha CCM imefuata nini?

Bendera ya Rais kwenye kikao cha CCM imefuata nini?

we fala hata unamfahamu Nyerere zaidi kumwona kwenye picha na video zilizorekodiwa. Mnauliza mawaswali ya kipuuzi, tafuteni kazi ya kufanya nyie wapumbavu, yule ni rais na mkuu wa nchi hakuna mnaloweza kubadilisha zaidi ya kuumiza roho zenu kwa chuki ambazo mwisho haziwasaidii
Wewe unayejidai kumfahamu inaonekana ulikuwa ni mchepuko wake
 
View attachment 2720031

Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni marufuku kwa vyama vya siasa kutumia majengo ya Umma na serikali kuendeshea shughuli zao za kisiasa. Lakini CCM pamoja na kupora majengo kadhaa ya umma na kuyageuza ya kwao, bado wanatumia IKULU yetu kufanyia vikao vyao.

Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.

Samia hapo haongozi hicho Kikao kama Rais wa watanzania bali kama Mwenyekiti wa chama chake CCM.
Mwenyekiti wa ccm Aliyepo hapo kwenye kikao ana cheo gani?
 
View attachment 2720031

Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni marufuku kwa vyama vya siasa kutumia majengo ya Umma na serikali kuendeshea shughuli zao za kisiasa. Lakini CCM pamoja na kupora majengo kadhaa ya umma na kuyageuza ya kwao, bado wanatumia IKULU yetu kufanyia vikao vyao.

Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.

Samia hapo haongozi hicho Kikao kama Rais wa watanzania bali kama Mwenyekiti wa chama chake CCM.
Hio bendera ya raisi iko wapi?
 
Rais kwa mujibu wa Katiba ya JMT hakuna nukta ambayo hawi rais akiwa ndani ya Jamhuri.

Bendera yake ni uthibitisho wa hadhi na mamlaka ya uraisi popote anapoenda.
Umeelewa hoja wewe?

Kwani hapo yupo kama Rais ama mwenyekiti wa CCM?

Bila ya hiyo Bendera ya Rais kuwepo hapo asingetambulika kama yeye pia ni Rais?
 
Msichanganye madesa.

Rais siyo mwenyekiti wa mtaa. Ameapa kwa katiba ambayo inaelekeza UWEPO wake popote awapo nchini
Siyo kweli wewe.

Kwenye Harusi huwa anakwenda na hiyo bendera??

Ina maana kwenye misiba ya watu huwa anakwenda na Bendera ya Rais?

Huko huwa anakuwa siyo Rais?
 
View attachment 2720031

Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni marufuku kwa vyama vya siasa kutumia majengo ya Umma na serikali kuendeshea shughuli zao za kisiasa. Lakini CCM pamoja na kupora majengo kadhaa ya umma na kuyageuza ya kwao, bado wanatumia IKULU yetu kufanyia vikao vyao.

Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.

Samia hapo haongozi hicho Kikao kama Rais wa watanzania bali kama Mwenyekiti wa chama chake CCM.
Hatuendeshi nchi kwa katiba, tunatumia utashi.
 
View attachment 2720031

Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni marufuku kwa vyama vya siasa kutumia majengo ya Umma na serikali kuendeshea shughuli zao za kisiasa. Lakini CCM pamoja na kupora majengo kadhaa ya umma na kuyageuza ya kwao, bado wanatumia IKULU yetu kufanyia vikao vyao.

Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.

Samia hapo haongozi hicho Kikao kama Rais wa watanzania bali kama Mwenyekiti wa chama chake CCM.
Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom