Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Anajitambua na anajua haki zake kama mtanzaniaUnalalamika sana[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajitambua na anajua haki zake kama mtanzaniaUnalalamika sana[emoji1787]
Wewe unayejidai kumfahamu inaonekana ulikuwa ni mchepuko wakewe fala hata unamfahamu Nyerere zaidi kumwona kwenye picha na video zilizorekodiwa. Mnauliza mawaswali ya kipuuzi, tafuteni kazi ya kufanya nyie wapumbavu, yule ni rais na mkuu wa nchi hakuna mnaloweza kubadilisha zaidi ya kuumiza roho zenu kwa chuki ambazo mwisho haziwasaidii
Mwenyekiti wa ccm Aliyepo hapo kwenye kikao ana cheo gani?View attachment 2720031
Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni marufuku kwa vyama vya siasa kutumia majengo ya Umma na serikali kuendeshea shughuli zao za kisiasa. Lakini CCM pamoja na kupora majengo kadhaa ya umma na kuyageuza ya kwao, bado wanatumia IKULU yetu kufanyia vikao vyao.
Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.
Samia hapo haongozi hicho Kikao kama Rais wa watanzania bali kama Mwenyekiti wa chama chake CCM.
Stupidwe lofa umejulia wapi matumizi yake, we inabidi mlaumu tu mamako kuzaa mburula km wewe
Sasa ndio akalie kulalamika lalamika?Anajitambua na anajua haki zake kama mtanzania
Hapo inajijulisha kwamba yeye ni mkuu wa Chama lakini na humo humo pia wajue yeye ni Mkuu wa Nchi !! 😂😂🙏🙏Chama dola...
Ni Mkuu wa Nchi ( Rais ) na ni Commander in chief of the armed forces !!Mwenyekiti wa ccm Aliyepo hapo kwenye kikao ana cheo gani?
Hio bendera ya raisi iko wapi?View attachment 2720031
Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni marufuku kwa vyama vya siasa kutumia majengo ya Umma na serikali kuendeshea shughuli zao za kisiasa. Lakini CCM pamoja na kupora majengo kadhaa ya umma na kuyageuza ya kwao, bado wanatumia IKULU yetu kufanyia vikao vyao.
Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.
Samia hapo haongozi hicho Kikao kama Rais wa watanzania bali kama Mwenyekiti wa chama chake CCM.
Hoja dhaifu hii.Mwisho mtauliza na walinzi wa rais kwenye mkutano wa CCM wamefuata nini?
Nyuma yake.Hio bendera ya raisi iko wapi?
Umeelewa hoja wewe?Rais kwa mujibu wa Katiba ya JMT hakuna nukta ambayo hawi rais akiwa ndani ya Jamhuri.
Bendera yake ni uthibitisho wa hadhi na mamlaka ya uraisi popote anapoenda.
Msichanganye madesa.Umeelewa hoja wewe?
Kwani hapo yupo kama Rais ama mwenyekiti wa CCM?
Bila ya hiyo Bendera ya Rais kuwepo hapo asingetambulika kama yeye pia ni Rais?
Angechukuwa bendera ya PolisiChama dola...
Siyo kweli wewe.Msichanganye madesa.
Rais siyo mwenyekiti wa mtaa. Ameapa kwa katiba ambayo inaelekeza UWEPO wake popote awapo nchini
Hatuendeshi nchi kwa katiba, tunatumia utashi.View attachment 2720031
Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni marufuku kwa vyama vya siasa kutumia majengo ya Umma na serikali kuendeshea shughuli zao za kisiasa. Lakini CCM pamoja na kupora majengo kadhaa ya umma na kuyageuza ya kwao, bado wanatumia IKULU yetu kufanyia vikao vyao.
Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.
Samia hapo haongozi hicho Kikao kama Rais wa watanzania bali kama Mwenyekiti wa chama chake CCM.
Hapo sawa!!Hatuendeshi nchi kwa katiba, tunatumia utashi.
Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.[emoji419][emoji375]View attachment 2720031
Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni marufuku kwa vyama vya siasa kutumia majengo ya Umma na serikali kuendeshea shughuli zao za kisiasa. Lakini CCM pamoja na kupora majengo kadhaa ya umma na kuyageuza ya kwao, bado wanatumia IKULU yetu kufanyia vikao vyao.
Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.
Samia hapo haongozi hicho Kikao kama Rais wa watanzania bali kama Mwenyekiti wa chama chake CCM.
Mbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.Rais akiwa popote ni rais tu lazima atambulike akikaa chamani kwake hajabadirika kutokuwa rais!.
TulieniMbali ya hayo kwenye kikao cha CCM wameweka Bendera ya Rais kwenye kikao hicho. Hawa watu wanapenda sana kudharau mambo ya umma kwa kuyachanganya na chama chao.
Sent using Jamii Forums mobile app