Mwl Nyerere ambae ni mwl wa Mkapa alishawishi Tanzania iingie katika mfumo wa vyama vingi..
Mnafiki huyu, hasidi aso na haya
Usilazimishe mawazo yako ndio yawe ndio uhalisia wa mambo na wala mkapa hakumaanisha kama unavyotafsiriKwa maana nyingine Mkapa anathibitisha kwamba NEC ni tawi la CCM na hao CCM ndio huhesabu kura na kuamua yupi wamgawie ngapi.
Kwa maoni yangu,ni sahihi.Kukosea,hatimae kupevuka na walao kutafakari ulipotoka ukaweza si tu kujuta kimya kimya,bali pia ukaliweka wazi kwa uliowaongoza,ndio ubinadamu na hutoa funzo kwa viongozi waliopo na wanaokuja.Return Of Undertaker,
Ana haki ya asili ya kujutia makosa yake. Ni jambo jema na funzo kwa viongozi wa sasa. Kila mtu ana haki ya kujutia makosa yake. Unataka afe na jambo analodhani ni kosa bila kushauri vizazi vya sasa?
Natamani hizi comment humu angekuwa anaziona Nkapa na yule bwana siambiliki ili nae tuje kuona kitabu chake atasema nini?Madaraka ni kama uraibu wa vilevi. Mtu anafanya ubabe akiwa nayo na akiyaachia ndio anaona ukweli.
Ukilewa unaweza kufanya mambo ya ajabu halafu ukiwa sober unajiuliza niliwezaje kufanya vile?
Mimi nashauri Mh. Rais Mstaafu Mkapa anapokuwa anato ushauri wa kufanya baadhi ya mambo ambayo hata yeye mwenyewe angeweza kuyafanya wakati wa utawala wake pindi alipokuwa madarakani, awe anaenda mbele kidogo kwa kueleza pia sababu ambazo yeye zilimsababisha asikifanye.Return Of Undertaker,
Why did His Excellency Ben Mkapa fail to give hiyo "TUME HURU YA UCHAGUZI" ; kwa sababu he had all the tools and powers at his exposal to do that! Is His Excellency regretting or trying to push the ball in someone else's court?