fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
- #21
Mateso waliyopewa wapalestina wewe hukuvimbewa mavi?October 7 ulikumbuka kuanzisha uzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mateso waliyopewa wapalestina wewe hukuvimbewa mavi?October 7 ulikumbuka kuanzisha uzi?
Sawa mjaza makaburi michanga! La Netanyahu hutalijaza. Unajihisi umeanzisba mada ya maana sana.wewe hujui chochote,ni ushabiki wa kijinga ndio unaokutuma kuandika upuuzi huu
Muda utasema siku moja na wewe utakuja hapa ukijamba kila dk 3Sawa mjaza makaburi michanga! La Netanyahu hutalijaza. Unajihisi umeanzisba mada ya maana sana.
🍺Pooza Koo kwanza mpendwaunione au usinione wapalestina Mungu atawalipis siku moja
Leo ni yamesomwa madomo ya mwaka gani?acha upuuzi jadili mada usione mtu kaandika kitu unakimbilia udini mimi ni mkatoliki pure,msitetee ushetani
Usicheze na watu wanaoonewa🍺Pooza Koo kwanza mpendwa
2024Leo ni yamesomwa madomo ya mwaka gani?
unamlaani bure, walaani waliosababisha netanyahu aingie vitani kufagia magaidi, mbaya zaidi magaidi wanajificha kwa watoto, wanawake na wazee, hatari sanaKwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Kilaza wewe endelea kukariri maandishi ya mwarabu yanayoanzia nyuma. Nilijua tuu nitakunasa2024
Ni kweli, lakini Kaa kwanza hapa chini🌳Usicheze na watu wanaoonewa
Tatizo lako ni kuvimbewa ugali wa juzi ndio maana huwezi kujua haki ni nini unawaza maviPeleka huko kwenye taraweya mkamjadili huko hapa unatujazia seva tuu. Au msomeeni ili kurujuani yenu kama inafanya kazi
shida yao yako ni kujambia mdomoniKilaza wewe endelea kukariri maandishi ya mwarabu yanayoanzia nyuma. Nilijua tuu nitakunasa
Hayo si ndio maneno mnayofundishwa huko madrasa? Sishangai maana mkiishiwa hoja ndio defence zenu dhaifushida yao yako ni kujambia mdomoni
wewe huna akili,madrasa inahusu nini hapa,kama hamas waliua wayahudi inahusu nini watoto wadogo wakipalestina? wazee,waandishi wa habari,madokta,manesi? acheni upuuzi tujadili hakiHayo si ndio maneno mnayofundishwa huko madrasa? Sishangai maana mkiishiwa hoja ndio defence zenu dhaifu
hoja sio nasaba,hoja ni haki ya wapelestina,kwani wewe wayahudi una nasaba nao mbona umejibu hapa?NDugu unatabisha moyo wako kwa watu ambayo si nasaba yako, ndugu zao hapo me wanakula maisha we kajamba nani ndio unawajali sana, kila mtu huvuna alichopanda, subiri mavuno yatimie.
unajua jinsi wapalestina wameonewa,wamedhulumiwa haki zao,wameuawa mwaka hadi mwaka? jiulize hamas imeanzishwa kwanini?unamlaani bure, walaani waliosababisha netanyahu aingie vitani kufagia magaidi, mbaya zaidi magaidi wanajificha kwa watoto, wanawake na wazee, hatari sana
Hakuna taifa la Mungu,mataifa yote ni ya Mungu,ni ujinga na upumbavu kudhani kwamba kuna taifa la Mungu na mataifa mengine ni ya shetani?Kwa utumishi uliotukuka wa Benjamini Netanyau kwa taifa la Israel, Mungu amependezwa naye. Netanyau hatokufa bali atapalizwa Mbinguni Roho na Mwili.
Tatizo lako ni kuvimbewa ugali wa juzi ndio maana huwezi kujua haki ni nini unawaza
Uo uharo wako kaarishie mbali. Walimchokoza wa nini mtu alikuwa ametulia mnakuja kuteka vijana wao wadogo wakiwa disco na kuwaua wakiwemo vijana wawili wa kitanzania halafu mnapigana kwa kuwatanguliza wanawake na watoto mbele ili mpate attention ya jamii ya kimataifa?wewe huna akili,madrasa inahusu nini hapa,kama hamas waliua wayahudi inahusu nini watoto wadogo wakipalestina? wazee,waandishi wa habari,madokta,manesi? acheni upuuzi tujadili haki