Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

Hivi ni upofu ama upumbavu wa kushabikia kitu unajua fika hamasi wanajificha kwenye watoto na wamama
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
mungu wa kiarabu alishashindwa siku nyingi sana kwa myahudi. allah mungu wa mudi hana nguvu za kumhukumu netanyahu. hebu nikuulize, nani alimchokoza mwenzake october 7? ukileta hilo jibu ndio utajua mungu wa kiarabu ni sifuri kabisa, hana msaada, anahitaji msaada ndio maana anapiganiwa na wanadamu.
 
Uo uharo wako kaarishie mbali. Walimchokoza wa nini mtu alikuwa ametulia mnakuja kuteka vijana wao wadogo wakiwa disco na kuwaua wakiwemo vijana wawili wa kitanzania halafu mnapigana kwa kuwatanguliza wanawake na watoto mbele ili mpate attention ya jamii ya kimataifa?
huo uharo wako kauharie ulipo,acha kuleta bangi hapa hao watoto wadogo wanaouawa ni hamas? kwani hamasi ilikuwaje ikaanzishwa? kama unawashwa matako kaa kimya
 
Hivi ni upofu ama upumbavu wa kushabikia kitu unajua fika hamasi wanajificha kwenye watoto na wamama
sikia wewe hamas wametokea wapi? jwani hamas wanapambana kwa ajiki ya nini? jifunze historia kabla hujatoa mavi mazito kwa kula udaga
 
Uo uharo wako kaarishie mbali. Walimchokoza wa nini mtu alikuwa ametulia mnakuja kuteka vijana wao wadogo wakiwa disco na kuwaua wakiwemo vijana wawili wa kitanzania halafu mnapigana kwa kuwatanguliza wanawake na watoto mbele ili mpate attention ya jamii ya kimataifa?
kabla ya kutekwa hao vijana unajua ni wapalestina wangapi wameuawa kwa kudai haki yao? je ni wapestina wangapi wapo jela? wapestina wangapi wana ***** kwenye magereza ya wayahudi?
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Mkiua wayahudi mnaenda kula bikra 72 peponi, mkiuawa mnasema mnaonewa.
Dini hizi hovyo kabisa.
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Netanyahu anafanya wayahudi walichofanyiwa na Hitler,anataka waishe wote kule Gaza hataki abakia yyt na akimaliza Gaza atampiga Iran km alivyomuondoa Assad and Saddam Hussein kupitia Kwa mmarekani,and kwakua yupo karibu na US ataendelea kuwepo madarakani daima
 
Walimchokoza wenyewe acha wapigwe wapigike kwerikweri maana Kuna wakati motivation spikaz wanaharibu sana wateja wao
 
kabla ya kutekwa hao vijana unajua ni wapalestina wangapi wameuawa kwa kudai haki yao? je ni wapestina wangapi wapo jela? wapestina wangapi wana ***** kwenye magereza ya wayahudi?
Nendeni mkamjadili baada ya MAGHARIBI hapa tuna mbo yanayotuhusu kama nchi. Acha wafu wawazike wafu wao
 
mungu wa kiarabu alishashindwa siku nyingi sana kwa myahudi. allah mungu wa mudi hana nguvu za kumhukumu netanyahu. hebu nikuulize, nani alimchokoza mwenzake october 7? ukileta hilo jibu ndio utajua mungu wa kiarabu ni sifuri kabisa, hana msaada, anahitaji msaada ndio maana anapiganiwa na wanadamu.
ama hakika wewe ni zuzu kweli,hivi unajua ni kwa miaka mingapi wapalestina wanaonewa na wayahudi? au kwakuwa huna akili ya kuwaza na kufikiri ukweli kwa njaa basi unaropoka tu au kwakuwa hujala siku 5 kwa njaa basi unajamba hovyo?
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Hata hajali, na wewe ukijichanganya anapita na wewe
 
Hakuna taifa la Mungu,mataifa yote ni ya Mungu,ni ujinga na upumbavu kudhani kwamba kuna taifa la Mungu na mataifa mengine ni ya shetani?
Kama mataifa yote na watu wote ni wa Mungu, kwanini wapalestina walifanya ugaidi dhidi ya watu wa Mungu ile October 7?
 
Kama mataifa yote na watu wote ni wa Mungu, kwanini wapalestina walifanya ugaidi dhidi ya watu wa Mungu ile October 7?
kwani kama hamas walifanya huo uovu kwanini wayahudi wanaua watoto? waandishi wa habari? madokta? manesi? wazee? acheni ujinga nyie kutetea uovu
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Ushaambiwa taifa la mungu Hilo? Yawezekana ametumwa na mungu wao awauwe wapalestina Yemen nk
 
Back
Top Bottom