Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Vipi kuhusu wanaofadhili hiyo jinai kwa kumpa silaha na kinga za kidiplomasia (Marekani na nchi za ulaya magharibi) ?
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Yani sijaelewa mkuu, unaposema kaburi la Netanyahu halitajaa mchanga maanayake nini, kwamba akifa wakichimba kaburi kumzika,wakati wanapo tupia mchanga kumfukia yani ndio halitajaa uomchana amavipi sijaelewa.
 
Yani sijaelewa mkuu, unaposema kaburi la Netanyahu halitajaa mchanga maanayake nini, kwamba akifa wakichimba kaburi kumzika,wakati wanapo tupia mchanga kumfukia yani ndio halitajaa uomchana amavipi sijaelewa.
hiyo ni lugha ta picha ila ukweli ni kwamba natanyahu atateseka sana kwa uovu anaoufanya
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Nan alihanzisha uchokoz mkuu
 
ni huyo huyo Mungu unayemjya wewe
Hapana sio huyo. Mungu ninayemjua mm ni yule aliyesema Iweni na huruma na upendo na siku zote itafuteni amani. Huyo niliyemtaja hapo i.e. allah, yeye anasema jicho kwa jicho, jino kwa jino na amewaandalia mabikra 72 na mito ya pombe wale wanaompigania kana kwamba yeye hawezi kujipigania/kujitetea mwenyewe; halafu anawadanganya eti atawapa Tawfiq kuingia Jannah na Firdaus kumbe amewaingiza chaka.
 
ametulia kwakuwa kaushazeeka,hana nguvu,hana pesa,na wala hapendwi na wananchi
mbona sheikh yassin alikuwa ni mzee lakini alikuwa ni mzee wa intifada mpaka israel ikampiga kombora? Sema akina abbas hawataki vurugu ni watu wa amani ndio hao kina saed eraket wapenda mazungumzo ya amani
 
Hapana sio huyo. Mungu ninayemjua mm ni yule aliyesema Iweni na huruma na upendo na siku zote itafuteni amani. Huyo niliyemtaja hapo i.e. allah, yeye anasema jicho kwa jicho, jino kwa jino na amewaandalia mabikra 72 na mito ya pombe wale wanaompigania kana kwamba yeye hawezi kujipigania/kujitetea mwenyewe; halafu anawadanganya eti atawapa Tawfiq kuingia Jannah na Firdaus kumbe amewaingiza chaka.
sio kosa lako maana hata hiyo dini ya kiislamu huijui na hata dini ya kikristo ambayo ndio dini yangu huijui,unaropoka kama ambavyo umevimbewa kwa msosi na bia za bure shubamiti
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Huyu ni chamtoto kuna kitu kina itwa Devid acha kabisa alichinjs mpaka Mungu akamwambia huwezi jenga hekalu langu mikono yako ina dam nyingi sana
 
Siku ambayo Mungu atajibu wewe au mimi sitajua,ila kwa kuwa wewe unamdhihaki atakujibu wewe kwa kupoteza kila situ na ndipo atapolia kilio cha hatari shubamiti
Hilo sahau kabisa. Ni mungu gani huyo anaendelea kusubiri mpaka kidume awamalize kuwafyeka ndipo ajibu?
 
We boya ni qumer eh? kwahiyo wale 1200+ waliouawa na wengine 1200+ waliotekwa walikuwa majobless? au hawakuwemo watoto wadogo?
unajua wapalestina wangapi wameuawa?au kwa vile,una mduku kwenye kwapa?
 
Huyu ni chamtoto kuna kitu kina itwa Devid acha kabisa alichinjs mpaka Mungu akamwambia huwezi jenga hekalu langu mikono yako ina dam nyingi sana
huo ni ujinga mtupu ipo siku huo ukweli utawekwa wazi
 
Back
Top Bottom