fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
- #61
ametulia kwakuwa kaushazeeka,hana nguvu,hana pesa,na wala hapendwi na wananchiwafanye mazungumzo ya amani watulie, mbona kina abbas na fatah yao huko ramallah wametulia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ametulia kwakuwa kaushazeeka,hana nguvu,hana pesa,na wala hapendwi na wananchiwafanye mazungumzo ya amani watulie, mbona kina abbas na fatah yao huko ramallah wametulia?
wakati unakula kiti moto mkeo huko nyumbani anachezewa kinyeoNipo hapa nakula kitimoto kwa mangi kg 2 njoo uchukue hata tufinyango mbili upoze machungu
Hili ni dua la kuku halimpati mwewe.Hana acc humu wala hajui hiki kilugha
subiri tu na uwe mvumilivu,siku ya siku tutatafutanaHili ni dua la kuku halimpati mwewe.
Kama unavyochezewa hapi kinyeo chako na netanyanhu?wakati unakula kiti moto mkeo huko nyumbani achezewa kinyeo
we subiri siku utaliwa cotaKama unavyochezewa hapi kinyeo chako na netanyanhu?
Ni Mungu yupi huyo atakayefanya kazi ya kulipa kisasi kwa wavamizi? Labda ni allah auunione au usinione wapalestina Mungu atawalipis siku moja
subira huvuta kheriKwani Hama's na Hezbollah pamoja na jangiri mwenzao Iran wameshindwa kumpeleka kwenye kaburi ambalo halitajaa mchanga?.
ni huyo huyo Mungu unayemjya weweNi Mungu yupi huyo atakayefanya kazi ya kulipa kisasi kwa wavamizi? Labda ni allah au
Kama unaliwa 7 hiyo ni michezo yako huko masjid shamsil maarifwe subiri siku utaliwa cota
Hakuna kitu kama hicho. Tuna maliza mwaka sasa tangu kidume aanze kutembeza kichapo.Je huyo mungu alienda likizo au bado amelala?subiri tu na uwe mvumilivu,siku ya siku tutatafutana
Siku ambayo Mungu atajibu wewe au mimi sitajua,ila kwa kuwa wewe unamdhihaki atakujibu wewe kwa kupoteza kila situ na ndipo atapolia kilio cha hatari shubamitiHakuna kitu kama hicho. Tuna maliza mwaka sasa tangu kidume aanze kutembeza kichapo.Je huyo mungu alienda likizo au bado amelala?
utasubiri sana kama ambavyo unasubiri mwanao abikiriweMkuu bado sana iran anasubiria kuliwa kama mwali mbichi.
Wewe ulitaka wauawe kina nani? Kama hamas waliua watoto, waandishi, wazee, matabibu n.k wa kiyahudi ile Oct7 basi ni sawa kwa IDF kuua makundi hayo kwa upande wa Palestina. Vita haina macho, kwahiyo ukianzisha vita tegemea lolote.kwani kama hamas walifanya huo uovu kwanini wayahudi wanaua watoto? waandishi wa habari? madokta? manesi? wazee? acheni ujinga nyie kutetea uovu
una takwimu hamas waliua waandishi? au umevimbiwa ugali wa mhogo?Wewe ulitaka wauawe kina nani? Kama hamas waliua watoto, waandishi, wazee, matabibu n.k wa kiyahudi ile Oct7 basi ni sawa kwa IDF kuua makundi hayo kwa upande wa Palestina. Vita haina macho, kwahiyo ukianzisha vita tegemea lolote.