Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

Huyu ni chamtoto kuna kitu kina itwa Devid acha kabisa alichinjs mpaka Mungu akamwambia huwezi jenga hekalu langu mikono yako ina dam nyingi sana
Dah! Hadi Mungu akaogopa jinsi Daudi alivyochinja magaidi! Hiyo inaitwa to go beyond and above expectations. Safi sana.
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karimwana
Ungewalaumu HAMASI kwanza. Kipindi Hamasi wanaua wayahudi mliimba alahakbari, fimbo ilipogeuka mnaanza kulaani wanaojitetea.
Mungu wa Israel ni Mungu wa Majeshi. Vita ni sehemu ya maisha ya wateule.
Mwana kulittafuta Mwana kuliget
 
Hakuna Mungu wa majeshi aliye mbaguzi,kwani huyo Mungu wenu wa majeshi huwa hajui kuwa aliumba wapalestina wanaouawa kama kuku? acheni ujinga nyie
Waulize wa Egypt alichowafanyia pale bahari ya Shamu na kabla ya kuondoka waliacha msiba wa kila kiumbe wanyama walio wafuga na watu pia
 
Dah! Hadi Mungu akaogopa jinsi Daudi alivyochinja magaidi! Hiyo inaitwa to go beyond and above expectations. Safi sana.
Na Mungu akamwapia katika kitu Cha enzi hatakosekana mrithi Simba wa kabila la Yuda
 
hakika wewe una shida mie ni mkatoliki kwa kuzaliwa mie sio muislamu,uovu wanaofaniwa wapelestina hauhusu dini ni udhalimu na ujahili wa natanyahu
Wewe ni mkatoliki halafu unaisema Israel 😀😀😀😀 unachekesha asubuhi asubuhi au unataka kujiripua?
 
Wewe ni mkatoliki halafu unaisema Israel 😀😀😀😀 unachekesha asubuhi asubuhi au unataka kujiripua?
nani alikwambia waisraeli ni wakatoliki,kama huna habari hakuna muisraeli ambae ni mkristo acha huo ukatoliki
 
nani alikwambia waisraeli ni wakatoliki,kama huna habari hakuna muisraeli ambae ni mkristo acha huo ukatoliki
Kama unatka kuwa mkristo Kaa chini tukufundishe sio kutukana tukana, Yesu katufundisha unyenyekevu
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
HIS TIME WILL COME, MUCH SOONER THAN THAT,

IDF MOJA YA MAJESHI DHAIFU LAKINI MAKATILI KUWAHI KUTOKEA DUNIANI
 
Kama unatka kuwa mkristo Kaa chini tukufundishe sio kutukana tukana, Yesu katufundisha unyenyekevu
wapi yesu kafundisha kuua watoto,wazee,waandishi wa habari,kudhulumu ardhi ya watu? eti unifundishe yesu kafundisha nini lol abda yesu wa galapo
 
Hivi unajua jamaa ana nuclear bombs sio chini ya 103 ila anakausha... angekua nazo iran unadhani israel ingekuwa bado ipo dunian?
 
Hivi unajua jamaa ana nuclear bombs sio chini ya 103 ila anakausha... angekua nazo iran unadhani israel ingekuwa bado ipo dunian?
kha mtu mwenye nuclear anashindwa kupigana na ngo ya hamas leo mwaka mzima hajui.mateka wako wapi,acheni kumpa sifa za kijinga natanyahu
 
usipotoshe hoja hapa hatutaji dini ya mtu tunataja haki ya wapalestina,huo upofu wako juu ya aina ya mavazi ya waislamu,ndio unaokunyima fursa ya kujua ukweli kwamba wanauawa wapelestina ambao wengi wao pia ni wakristo,lakini kwakuwa huhanya yapata mwezi mzima,inabidi natanyahu aje akuchokonoe unye kwa urahisi
1000315942.jpg
 
usipotoshe hoja hapa hatutaji dini ya mtu tunataja haki ya wapalestina,huo upofu wako juu ya aina ya mavazi ya waislamu,ndio unaokunyima fursa ya kujua ukweli kwamba wanauawa wapelestina ambao wengi wao pia ni wakristo,lakini kwakuwa huhanya yapata mwezi mzima,inabidi natanyahu aje akuchokonoe unye kwa urahisi
1000315943.jpg
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Wewe uliona wapi makombora yakimkwepa mwanamke mjamzito? Netanyahu anatoa fundisho la muda mrefu dhidi ya uvamizi wowote kwa Israel. Kaburi kutojaa mchanga ndio vizuri ili awahi kufufuka.
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Nani aliwah kufa vizur mkuu
 
Back
Top Bottom