Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

mnatumia jina la Mandela kudaka wenye akili fupi.
hakuna ardhi ya Palestine hapo mashariki ya kati,mwenye kuanzisha vuguvugu la kudai,Dai fake la ardhi ya Palestine wazazi wake wote ni wamisri.
 
Mazayuni ni waongo wa ajabu.

Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.

Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.
Na nyie si mkaue watoto wao kama mna ubavu!. Toka lini nyie mmeanza kuwa na roho nzuri namna hiyo?
 
Ni sahihi kusema kuwa Netanyahu jeuri badala ya Israel, kwasababu mara nyingi amekua akiyashinikiza matakwa yake binafsi yanayopingana na viongozi wenzake.
Mh! Bado hujanielewa. Kama anao uwezo wa kushinikiza i.e. kutoa guvu ya hoja hadi wenzake wakamkubalia baada ya hiyo Hoja kupita (bila kujali ilianza kama hoja ya mtu binafsi au vipi) sasa hapo inageuka na inakuwa ni jambo letu na sio jambo langu tena.
Kwa hiyo anachosema na kutekeleza mzee Neta ni hapo hilo jambo letu.
 
Nimekuelewa vizuri tu ila huwenda wewe ndio hujanielewa mkuu.
Kuna kushawishi baraza kwa hoja na kuna kushinikiza baraza kwa madaraka uliyo nayo.
Netanyahu ameshinikiza baraza hajalishawishi.
Hivyo wao kishingo upande wamekubali kwasababu Netanyahu PM ameshinikiza.
 
Hizo
Mazayuni ni waongo wa ajabu.

Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.

Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.
Hizo hadithi za jikoni siyo za kuleta JF.

Ungekuwa na akili japo kidogo ungewahurumia wananchi wasio na hatia wa Lebanon na Palestina wanaoteswa na kuuawa kwa sababu ya haya magaidi ya Hezbollah na Hamas yanayofadhiliwa na Iran. Bila ya Iran, leo hii Palestine ingekuwa nchi kamili, na Lebanon pangekuwa ni mahali salama pa kuishi. Kipigo dhidi ya haya makundi ya kigaidi yaliyotengenezwa na Iran, kinaungwa mkono kwa siri na karibia mataifa yote ya Kiarabu. Nchi za kiarabu zinaimini kuwa makundi haya ya kigaidi yaliyo hatari kwa tawala za Serikali zao, ni Israel pekee ndiye ana uwezo wa kuyadhibiti, ndiyo maana wanaiunga mkono Israel kwa siri.

Nchi za Kiarabu,majonzi yao ni kwaajili yaraiawema wanaokufa bila hatia, lakini hakuna mwenye kiyahurumia hayo makundi ya kigaidi ya Jamas, Bezbollah, Houth, IS.
 
Kama wangekua wanamtaka wasingeandamana ajihuzuru.
Mwaka huu kuna maandamano kibao yamefanyika kumtoa Netanyahu.
Mkuu; kwani Netanyahu aliingia hapo kwenye nafasi hiyo kwa watu kuandamana? BTW ; wanaoandamana ni kina nani?? Isije kuwa ni kundi la wahuni fulani tu wamechoka maisha (skin heads). Hayo yapo karibu kila nchi duniani. Waandamani walikuwa wanamtaka nani ndo awe Waziri mkuu badala ya Netanyahu???? Usije kuwa ni kuondoa mzigo kichwani ukauweka begani halafu ukaanza kutamba eti mzigo nimeutua nimepumzika. Kwani PM waliopita kabla ya Neta wao ilikuwa vp.
Halafu mkuu mbona tunayo mifano hai ya hapa kwetu Tz.? Bado hatujifunzi tuu?? anakuwepo rais tunasema "oh huyu dah! hapana aisee" anakuja mwingine tunasema "duh! afadhali aliyepita huyu ni zaidi....." na tunasahau kukumbuka kwamba wote hao tunawachagua sisi wenyewe na kwa hiari yetu. Je, Huyo Neta alijiweka madarakani yy mwenyewe?
 
Huko lebanon vifo vimefika 700 mdogo mdogo gaza ya pili inatokea na kiongozi mwingine wa hezbollah wa maswala ya anga kaliwa kichwa jana
 
Si nilikwambia jana ukakomaa kusema ana hali mbaya ndio maana US na Uk wakaomba suruhu. Hivi kama hali iko kama ulivyodai jana, si angeikimbilia hiyo nafasi halafu aseme ameombwa na hao viongozi.?

Kunyweni maji tu, kiu ni kali sana hapo jangwani
Huwa netanyahu hakubali hadharani Hila akifika nyumbani ndio anatuma watu wakasuluhishe
 
Kama walikubali, haijalishi ni shingo upande au shingo iliyonyooka. Kimataifa (sisi tulioko huku nje)hiyo ni hoja iliyokubalika na Baraza. Hao walioko kwenye baraza kama hawajui nafasi yao au wajibu wao na wanakubali kuburuzwa hiyo sisi hatujui.
Kwani hata hapa Tz si iko hivohivo? mf. Mbunge anaenda kikaoni halafu anaketi tuu hatoi hoja na wala hachangii hoja ila anashiriki kupiga makofi.
 
Huko lebanon vifo vimefika 700 mdogo mdogo gaza ya pili inatokea na kiongozi mwingine wa hezbollah wa maswala ya anga kaliwa kichwa jana
Yajayo yanahuzunisha na kutisha(kwa kobaz) na yanafurahisha na kuliwaza (pro. Myahudi) zaidi esp. wakati Israeli atakapoingiza jeshi la ardhini muda sio mrefu ujao.
 
Za ndaani kabisa.
Waw! Zimetoka hadharani sio? Tutarajie nini mkuu ilhali wakubwa wote wa Hezbollah 95% wameshalambwa vichwa? Hezbollah is almost crippled if not incapacitated and debilitated to a high degree.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…