Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, aseeAlale pema peponi Dena Amsi
Alikuwa rafiki yangu sana.... Nimepiga naye mtungi sana tu...
Mungu amrehemu
Nimesikia radio Tumaini nikahisi mtangazaji amekosea! Hiki ni kishindo kwa nchi. Tunaomba Mungu nchi yetu ibakie moja kama tulivyopita salama baada ya kuondoka Baba wa Taifa. Pumzika kwa amani mzee wetu, kiongozi wetu, mtu mwenye msimamo ....Mzee Benjamini William Mkapa ...
Msiba upi huwa ni mdogo?
Tutakukumbuka kwa kauli yako Konki ya jangwani 2015 bila kusahau kututangazia kifo cha muasisi wa taifa hili tukufu la Tanzania.
Kafungue kesi mahakamani kushtaki serikali kwa hayo uliyolalamika.