secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Bado nilikuwa sijaanza kusoma kitabu cha Mzee Mengi sasa tena kimekuja cha Mkapa nina homework kubwa.Unajua mtu anapokufa naturally kuna stage za kifo anazipitia,hapo ndo watu huanza kuandika vitabu baada ya kuona dalili