Hata uwe MBABE na MBINAFSI wa viwango vyote, HAKIKA KUFA UTAKUFA TU!
Hata wanadamu wakupe SIFA zote unazostahili na zote za KINAFIKI kama apewazo Rais wa sasa, Bw. Magufuli, HAKIKA KUFA UTAKUFA TU!
Wanaweza kujitungia sheria zote za KUJILINDA ili WASISHITAKIWE kwa makosa yao (kulinda uovu wao - kibinadamu), lakini hakuna sheria itakayotungwa duniani ama mbinguni kuzuia VIFO VYAO.
Namtakia kila la kheri Mzee Mkapa katika hatua inayofuata ya maisha yake ktk Ulimwengu mwingine tusioujua sisi tulio hai ktk dunia hii...
Neno la Mungu (Biblia inasema), BAADA YA KIFO NI HUKUMU.
Hakuna ajuaye iwapo Mzee Mkapa ata - REST IN PEACE (hukumu ya haki) AU ata - REST IN PAIN (hukumu ya matendo na maisha yasiyo ya haki, yasiyo mtii Mungu).
Poleni sana mtakaokerwa na hiki nilichokiandika. Lakini HUU NDIO UKWELI kwa ajili ya kila mtu, nikiwemo Mimi.