Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Tunaweza poteza viongozi wengi sana kwa namna hii..
Alionekana kuwa na afya njema kwa umri wake...Ulijuaje Kama alikuwa na afya njema tele?
Duh!Sijui kwann kafa huyu?angefanikiwa mtangazaji
Mbona Mh. J PM ana penda sana siri? Yaani hata hosipatali aliyo lazwa ni siri? Juzi tulimuona Mh. Ben Dodoma akiwa mzima mbona gasemi aliugua nini ghafla?View attachment 1515334
Rais Magufuli kwa masikitiko amesema mzee Mkapa amefariki katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar alikokuwa amelazwa.
Mkapa alikuwa Rais wa Tanzania kuanzia 1995 hadi 2005...
Afya njema unaijuaje kwa kuangaliaAlionekana kuwa na afya njema kwa umri wake ................
Kunywa chai ya shemeji yako urudi kulala urudishe na cm ya watu.
MKURUGENZI WA MAWASILIANO ANALETA TAARIFA ISIYOKAMILIKA NA ISIYO NA HADHI YAKE. SASA KWANINI HIYO HOSPITALI ISITAJWE KWA JINA? DAR ES SALAAM KUNA HOSPITALI NYINGI SANA! NI HOSPITALI IPI?View attachment 1515334
Rais Magufuli kwa masikitiko amesema mzee Mkapa amefariki katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar alikokuwa amelazwa.
Mkapa alikuwa Rais wa Tanzania kuanzia 1995 hadi 2005.
Rais Mkapa alikuwa mtoto wa William Matwani na Stephannia Nambanga.
Muda wa Utawala : 23 November 1995 – 21 December 2005
Makamu wa Rais wakati wa Utawala wake: Omar Ali Juma (1995–2001), Ali Mohamed Shein (2001-05)
Mtangulizi: Ali Hassan Mwinyi
Aliyemfuata: Jakaya Kikwete
Alishawahi kuwa Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu kuanzia 1992 – 1995, Waziri wa Habari na Utangazaji, 1990 – 1992
Mkapa alizaliwa 12 Novemba 1938 (umri 81) Ndanda, Masasi, Tanganyika
Ameaga dunia tarehe 24 Julai 2020 Dar es Salaam
Ameacha Mjane Anna Mkapa na watoto wawili.
Ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Makerere, Chuo Kikuu cha Columbia.
Fani yake ni mwandishi wa habari, mwanadiplomasia
View attachment 1515344
Cc. JIWEInna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Tuishi vizuri na watu.
Tuache majivuno...
Hataki muanze kuwatafuta ndugu zenu kwenye hiyo hospitali kuanza kuulizia ugonjwa ....kama kabanwa na kifua au la .....maana ugonjwa ni siri ya mgonjwa ......HOSPOTALI NI SIRIMKURUGENZI WA MAWASILIANO ANALETA TAARIFA ISIYOKAMILIKA NA ISIYO NA HADHI YAKE. SASA KWANINI HIYO HOSPITALI ISITAJWE KWA JINA? DAR ES SALAAM KUNA HOSPITALI NYINGI SANA! NI HOSPITALI IPI?