TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Ama kweli kifo ni fumbo kubwa, hakuna ajuae atakufa lini, lakinio kila mtu atakufa, tujiandae Kwa kutenda mambo mema, tupendane,usimfanyie bimaadamu mwenzako mabaya, usiwe majibuno, hakika sisi sote ni wake Mungu Na kwake tutatejea
 
Labda awamalize kina JK, kinana na Mangula.

Aliyekuwa na sauti ya mwisho CCM baada ya Nyerere alikuwa ni Mkapa then JK. Sasa Mkapa amefariki it’s obvious anaeenda kuwa na ushawishi CCM ni Jakaya Kikwete...
Hakuna tena mtu mwenye ujasiri wa kutaka hadharani kusema kama mkapa. Mfano juzi juzi akiongelea haja ya kuwa na tume huru ya uchaguzi. JK na wenzake ni wanafiki tu
 
Mkapa Mungu amempumzisha akiwa hana ugomvi na Watanzania.

Kitabu chake My Life, My Purpose kimeacha mengi mazuri na alitumia kitabu hicho kutubu makosa yake.

1. Aliomba radhi kwa mauaji ya 2001 Zanzibar.
2. Ameshauri tume huru ya uchaguzi
3. Anependekeza mjadala wa kitaifa kuhusu elimu yetu.

Kwangu hayo, ni mambo mazuri ambayo ameacha alama yake.

Apumzike kwa amani
 
Kama kweli sisi watanzania SI WANAFIKI basi ni muda muafaka sasa wa kuyachukua yote aliyoyasema Mkapa mwenyewe katika kitabu chake kama challenges za uongozi na kuyafanyika kazi kama njia bora ya kumuenzi.

Kukaa siku 7 hata siku 365 na robo msibani / Maombolezo haisaidii kitu kama mawazo yake hasa anayoyajutia kipindi cha uongozi wake hayatafanyiwa kazi na viongozi wa sasa. ( Reference is made..... - My life - My purpose)

Kubwa kabisa alilolitamka Marehemu ni uwepo wa TUME HURU YA UCHAUGUZI - pia alijutia saana MAUAJI ya watu wasio na HATIA kule Zanzibar.

Hili la Tume Huru kama sisi tu wakweli basi ndilo la kuanza kulifanyika kazi mara moja.
 
Tutakukumbuka kwa kauli yako Konki ya jangwani 2015 bila kusahau kututangazia kifo cha muasisi wa taifa hili tukufu la Tanzania.
Eti mi numeshaisahau hiyo kauli, sijui uzee
 
Kibaya sio kutangulia kama umri unaruhusu. Kibaya ni kijana kutangulia na jinsi anavyotangulia. Simanzi ni pale mtu anapoondoka bila kurealise potential yake. Kwa mfano mtoto wa CDF japo sikumjua, nilisikitika kwakuwa alikuwa kijana mdogo with his whole life ahead of him. Pia jinsi alivyoondoka nilijiweka kwenye nafsi yake, nikaumia.

Mzee Mkapa amepitiliza maisha ya kuishi. Tumeshauona mchango wa nguvu zake hapa duniani. It´s ok apumzike.
Mtoto wa CDF yupi
 
Kama kweli sisi watanzania SI WANAFIKI basi ni muda muafaka sasa wa kuyachukua yote aliyoyasema Mkapa mwenyewe katika kitabu chake kama challenges za uongozi na kuyafanyika kazi kama njia bora ya kumuenzi.

Kukaa siku 7 hata siku 365 na robo msibani / Maombolezo haisaidii kitu kama mawazo yake hasa anayoyajutia kipindi cha uongozi wake hayatafanyiwa kazi na viongozi wa sasa. ( Reference is made..... - My life - My purpose)

Kubwa kabisa alilolitamka Marehemu ni uwepo wa TUME HURU YA UCHAUGUZI - pia alijutia saana MAUAJI ya watu wasio na HATIA kule Zanzibar.

Hili la Tume Huru kama sisi tu wakweli basi ndilo la kuanza kulifanyika kazi mara moja.
Mkapa on presidential term-limits

Watanzania wakimsifia Mkapa kwa mengi, wakubali na maneno yake kuhusu viongozi kuheshinu term limits.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom