weka FincaWadau, nina kampunga kama 220M, ni wapi naweza kafix kwa ziadi ya asilimia 15 per annum?
Nimecheck;
~ UTT ni kati ya 12 hadi 14
~ NMB 7
~ CRDB 7
~ Access bank 14.5
~ Finca 14.5
Je, benki gani nyingine inayoaminika inaweza toa rate kama 16%? Natak kuwekeza huko huku nikiangalia baishara ya kufanya.
Natangaluza shukrani
Jaribu NMB Bonus accountWadau, nina kampunga kama 220M, ni wapi naweza kafix kwa ziadi ya asilimia 15 per annum?
Nimecheck;
~ UTT ni kati ya 12 hadi 14
~ NMB 7
~ CRDB 7
~ Access bank 14.5
~ Finca 14.5
Je, benki gani nyingine inayoaminika inaweza toa rate kama 16%? Natak kuwekeza huko huku nikiangalia baishara ya kufanya.
Natangaluza shukrani
Mkuu wangu kwa maelezo yako unaonekana hiyo hela utaihitaji ndani ya muda mfupi baada ya kuiwekeza. Cha kufanya peleka kwenye call deposits bank, au peleka UTT kwenye mfuko wa liquid fund kiasi kwamba unaweza chukua mpunga wako muda wowote. Ila kama unataka hiyo hela ikulatie regular income basi peleka pia UTT kwenye bond fund watakupatia mpunga kama Mil 1.9 kwa mwezi na hela yako siku ukitaka yote unachukua within 10 days.Wadau, nina kampunga kama 220M, ni wapi naweza kafix kwa ziadi ya asilimia 15 per annum?
Nimecheck;
~ UTT ni kati ya 12 hadi 14
~ NMB 7
~ CRDB 7
~ Access bank 14.5
~ Finca 14.5
Je, benki gani nyingine inayoaminika inaweza toa rate kama 16%? Natak kuwekeza huko huku nikiangalia baishara ya kufanya.
Natangaluza shukrani
waongo hao hawatoii hiyo riba, hakuna account ya hovyo kama hiyo wanadai haina makato sio kweli wanakata kama kawaidaa...Jaribu NMB Bonus account
Mkuu wangu kwa maelezo yako unaonekana hiyo hela utaihitaji ndani ya muda mfupi baada ya kuiwekeza. Cha kufanya peleka kwenye call deposits bank, au peleka UTT kwenye mfuko wa liquid fund kiasi kwamba unaweza chukua mpunga wako muda wowote. Ila kama unataka hiyo hela ikulatie regular income basi peleka pia UTT kwenye bond fund watakupatia mpungaWadau, nina kampunga kama 220M, ni wapi naweza kafix kwa ziadi ya asilimia 15 per annum?
Nimecheck;
~ UTT ni kati ya 12 hadi 14
~ NMB 7
~ CRDB 7
~ Access bank 14.5
~ Finca 14.5
Je, benki gani nyingine inayoaminika inaweza toa rate kama 16%? Natak kuwekeza huko huku nikiangalia baishara ya kufanya.
Natangaluza shukrani
Tupe uzoefu mkuu hao finca, ni muda gani na rate ikoje?waongo hao hawatoii hiyo riba, hakuna account ya hovyo kama hiyo wanadai haina makato sio kweli wanakata kama kawaidaa...
the best option ni Finca na hao Acces Binafasi mm nafanya fixed na finca bank,jamaa wapo vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
tembelea websit yao FINCA Microfinance Bank LimitedTupe uzoefu mkuu hao finca, ni muda gani na rate ikoje?
Uko sawa kweli kichwani? Unatoa namba kirahisiNi check dm au 0762407301
Ubishi utakuponza alafu wenye hela hawabishagi ujingaNi eishafanya analysis,, asilimia husika ni Kweli siyo uwongo .Ila natafuta pazuri zaidi.
Hamna mwenye pesa hapo imeandikwa hiyo 220m ili awaokote watu humuUko sawa kweli kichwani? Unatoa namba kirahisi
Wazee wa kazi-wakora wakikunasa wakupeleke mafichoni wakulazimishe uwape password ya ATM na mobile money wazisombe hizo hela utasikitika au?
Hizo hela sidhani kama unazo, mbwembwe tu hizo.
Au kazipata toka kwenye taasisi za mashogaCAG UYU HUKU KAPATIKANA MMOJA.
Uwez ukawa 200tsh af una hata idea
WatamporaZitunze tu ndani, huku ukifikiria cha kufanya
Akipeleka hiyo pesa FINCA au microfinance yoyote ndogo, Hiyo pesa anarushwa au ataenda kuipatia mahakamani, weka kwenye Big bank crdb, nmb, nbc, absa hata kama riba ni ndogo hizo bank nyingine utakuja hapa kutoa mrejesho
Labda ya mbinguniWadau, nina kampunga kama 220M, ni wapi naweza kafix kwa ziadi ya asilimia 15 per annum?
Nimecheck;
~ UTT ni kati ya 12 hadi 14
~ NMB 7
~ CRDB 7
~ Access bank 14.5
~ Finca 14.5
Je, benki gani nyingine inayoaminika inaweza toa rate kama 16%? Natak kuwekeza huko huku nikiangalia baishara ya kufanya.
Natangaluza shukrani
Huu ndio ufanyaji kazzi wa QZQZ asset management h
Source | https://eveninsight.com/qz-asset-management-review/