GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Endapo nitaweka million 100 fixed account kwa mwaka 1, nitapata faida shilingi ngapi?
Asante🙏
Asante🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faida haifiki hata milioni kumi kwa mwaka😃Wengi Wanacheza 6% mpk 8% kwa mwaka
Bora utt amis!!?Nje ya mada:
Fixed Deposit Ni biashara kichaa
Unaye muuliza ana uelewa nayo?Bora utt amis!!?
Nieleweshe mkuuUnaye muuliza ana uelewa nayo?
Kwanin?Nje ya mada:
Fixed Deposit Ni biashara kichaa
Faida inategemea kiwango chako cha mtaji ulicho deposit.Faida haifiki hata milioni kumi kwa mwaka[emoji2]
Kwani mtu awekeze UTT -AMIS?Kawekeze UTT-AMIS
TCB wanatoa 11%.Endapo nitaweka million 100 fixed account kwa mwaka 1, nitapata faida shilingi ngapi?
Asante🙏
Mfano ukiwekeza 5M kwa mwezi unapata 60k, kwa mwaka 720k.Kwani mtu awekeze UTT -AMIS?
Hujui unacho ongea ndugu, hakuna kutu kama hichoMfano ukiwekeza 5M kwa mwezi unapata 60k, kwa mwaka 720k.
N. B: Inategemea na mfuko uliowekeza kwa maelezo zaidi wacheki UTT kwenye accounts zao za Instagram na twitter au kwenye website yao.
Sawa ndugu.Hujui unacho ongea ndugu, hakuna kutu kama hicho
😃Nje ya mada:
Fixed Deposit Ni biashara kichaa