GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #21
πππKaweke UTT mkuu,mfuko wa bond fund.
πππFaida inategemea kiwango chako cha mtaji ulicho deposit.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
πππKawekeze UTT-AMIS
πππTCB wanatoa 11%.
Which means Kwa mwaka utapata 11m.
πMawazo kabla ya kupata hela yenyewe...
Ikiingia sasa..hehehe
πππMfano ukiwekeza 5M kwa mwezi unapata 60k, kwa mwaka 720k.
N. B: Inategemea na mfuko uliowekeza kwa maelezo zaidi wacheki UTT kwenye accounts zao za Instagram na twitter au kwenye website yao.
Wewe umeniwahiKaweke UTT mkuu,mfuko wa bond fund.
πππWeqe umeniwahi
Mkuu mchongo ushatiki?Endapo nitaweka million 100 fixed account kwa mwaka 1, nitapata faida shilingi ngapi?
Asante[emoji120]
Hebu acha basi hayo mkuuπ€£
Achana na bank nenda kaweke utt kwakuwa una pesa nying kaweke bond fund hutojutaEndapo nitaweka million 100 fixed account kwa mwaka 1, nitapata faida shilingi ngapi?
Asante[emoji120]
Dah mkuu waswahili wanasema macho kuona, usituache kwenye ufalme wako[emoji12]Hebu acha basi hayo mkuu[emoji1787]