Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Kipindi mimi nafungua ilikuwa ukiwa na ID tu umaliza kila kitu bila ya kuwa na barua ya utambulisho! Sijajua utaratibu wa sasa. Wacheki customer service wakupe muongozo.Kiongozi hii bank unaenda kwa mwenyetiki kuchukua barua ama mnamalizana Bank huko huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app