Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa?

Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa?

Naelewa ugumu unaoupata. Na ndio ukweli huo. Hakuna benki rafiki nchi hii. Benki zinapokata hela mteja kwa kuulizia salio kwenye ATM, au internet banking, ni benki hizo tena? Ni genge la wezi tu wenye leseni za BOT. Hebu fikiria makampuni ya simu yaanze kukata muda wa maongezi ama data kila unapoulizia salio!
Kwenye mitandao ya Sim wanakata ukiuliza salio


Labda wanaotumia app Kama m-pesa app au tigo-pesa app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barclays bank ipo na iko imara na hakuna bank imara Tanzania kama barclays bank

thats a global bank, inajiendesha sana sana na mtaji wake kutoka nje but CRDB controls over 80% of all the banking transactions in tanzania plus a subsidiary in BURUNDI, though sio bank inaomilikiwa na tanzania,

EQUITY BANK haikati chochote kwa mwezi na makato yake ni madogo sana, kwa mfano ukitoa tsh 30K utakatwa tsh 750, but ni kwa wale mawakala wa mtaani ukitoa ATM utajuta
 
Inategemea na account uliyofungua, kila account ina makato yake, ukienda kufungua account waambie nataka kufungua aacount ambayo makato yake ni madogo kuliko account zote.
Uzuri wa Barclays unapokea fedha kutoka paypal na unazitoa kabisa kwenye ATM, benki nyingine hazina hiyo huduma, ni Barclays peke yake nchi nzima ndiyo mwenye hiyo kitu.

usiseme ni barclays tu, have you tried EQUITY? wana mtandao wa simu kabsa unaitwa EQUITEL, u can receive money from paypal in seconds, i heard about skrill but amnot sure
 
thats a global bank, inajiendesha sana sana na mtaji wake kutoka nje but CRDB controls over 80% of all the banking transactions in tanzania plus a subsidiary in BURUNDI, though sio bank inaomilikiwa na tanzania,

EQUITY BANK haikati chochote kwa mwezi na makato yake ni madogo sana, kwa mfano ukitoa tsh 30K utakatwa tsh 750, but ni kwa wale mawakala wa mtaani ukitoa ATM utajuta
Are you sure unachokiongea 80% of Banking transactions hivi ulichokiandika umekisoma vzuri
 
Are you sure unachokiongea 80% of Banking transactions hivi ulichokiandika umekisoma vzuri

i amnot sure, nlikua nnayo hio pepa ya bank shares in tanzania nimemisplace but i remember something like report, 80% CRDB, maybe 60 or 53, sikumbuki vizuri
 
and kuongezea pia apo, its the most profitable bank in tanzania
Hujui chochote kuhusu Banking sector kwa last year CRDB ilikuwa ya pili angalia Bank kama stanchart ana branch4 tuu lakini katengeneza 38bln shilings na wewe una branch zaidi ya 150 umetengeneza 112bln sasa kwenye ROI nani ana competitive advantage
20200518_221400.jpg
 
Hujui chochote kuhusu Banking sector kwa last year CRDB ilikuwa ya pili angalia Bank kama stanchart ana branch4 tuu lakini katengeneza 38bln shilings na wewe una branch zaidi ya 150 umetengeneza 112bln sasa kwenye ROI nani ana competitive advantage View attachment 1453665
Hivi stanchart ana matawi manne tu nchi nzima?!
 
Hivi inakubalika kuweka pesa kiasi cha Millioni 100 kwani mtandao wa Simu ?
Nilisikia kama vile mwisho M 10.
Sina uhakika lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mitandao ya simu Risk ni kubwaa sana ya kupoteza hela na kwa mtu mwenye hela na anajua maana ya hela huwezi kuweka savings zako labda 10M kwenye simu that will be ridiculous and very Risk
 
Mtandao wa simu kutoa laki 3 ni sh 5000+
Bank ni kati ya sh 1200 hivi
Kama wewe ni mdundulizaji ambaye kipato chako ni kidogo na hutaki kunufaisha mtandao wa simu wala bank kwa makato uchwara, nunua card maalum za kulipia mtandaoni. Hazina makato yoyote isipokuwa tu wakati wa kutoa hela kwenye ATM. Mimi natumia BANCABC PREPAID CARD na EXIM BANK PREPAID MASTER CARD kwa 10000. Sema shida ipo wakati wa kudeposit hazina mawakala wengi.
 
Back
Top Bottom