Benki ya CRDB yakabidhi madarasa mawili shule ya msingi Chuda, jijini Tanga

Blasio Kachuchu

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
366
Reaction score
243

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto) kwa pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kilambata (wapili kulia) wakibadilishana hati ya makabidhino ya madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41. Kushoto ni Afisa Elimu ya Awali na Msingi, Kassim Kaoneka pamoja na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Mbwana Hassan.

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto) kwa pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kilambata (wapili kulia) wakisaini hali ya makabidhino ya madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41. Kushoto ni Afisa Elimu ya Awali na Msingi, Kassim Kaoneka pamoja na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Mbwana Hassan.

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto) akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhino ya madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41.


Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto) kwa pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kilambata (wapili kulia) wakisaini hati ya makabidhino ya madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41.


Muonekano wa Madarasa hayo yaliyokabidhiwa leo kwa Shule ya Msingi Chuda, Tanga.

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto), Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kilambata pamoja na Afisa Elimu ya Awali na Msingi, Kassim Kaoneka (walioketi katikati) wakiungana na wanafunzi wenye uhitaji maalumu na walimu kuipongeza Benki ya CRDB kwa msaada wa madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41.​
 
Hii safi sana kurudisha kwa jamii.
 
That's CSR , hongereni sana CRDB ila nilijua tu lazima kutakua na kabango au kapicha ka CRDB kwenye sehemu ya hilo jengo😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…