Tetesi: Benki ya CRDB yanusurika kuporwa

Tetesi: Benki ya CRDB yanusurika kuporwa

Aisee umenikumbusha mbali sana.
Mie napenda pale mwishoni pale Rais anapookolewa....yaani napapenda sana pale...nasisimuka kila eneo nikifika pale.
Sure,me huwa naiangalia tena na tena,nimedokezwa kuna Part II ya the London has fallen imetoka hivi karibuni,ndo nataka niisake
 
hii ni taarifa ya uongo. hakuna majambazi waliovamia isipokua nimeambiwa walikamatwa kabla ya kuvamia.source ndugu yangu anafanya biashara hapo opposite na benki.
Kumbe walikamatwa kabla ya tukio.....!!!
 
Huko mbagala kunahitajika kuwe na Kanda Maalum mbona kila siku ni ujambazi tu?Ila inaonekana kuna jambo kweli limetokea nikiwa Buguruni msululu wa magari ya wagonjwa na pilisi yanafuatana kuelekea huko!
 
Wapendwa Wateja wetu!
Kuna Habari zinasambazwa Kwenye mitandao kuhusu tawi la benki ya CRDB Mbagala. Habari hiyo sio ya kweli na tunawaomba wateja wetu na watanzania kutosambaza taarifa ambazo hawana uhakika nazo au hawajui chanzo cha taarifa hizo. Usambazaji wa taarifa za namna hiyo ni kosa kisheria.
Ninawashauri Wateja wetu kutumia kituo chetu cha Huduma kwa Wateja kupata taarifa za uhakika. Kituo kinafanya kazi saa 24 na namba ya kituo ni 0714 197700. Asanteni!

Imetolewa na Idara ya Masoko ya benki ya CRDB
 
Wapendwa Wateja wetu!
Kuna Habari zinasambazwa Kwenye mitandao kuhusu tawi la benki ya CRDB Mbagala. Habari hiyo sio ya kweli na tunawaomba wateja wetu na watanzania kutosambaza taarifa ambazo hawana uhakika nazo au hawajui chanzo cha taarifa hizo. Usambazaji wa taarifa za namna hiyo ni kosa kisheria.
Ninawashauri Wateja wetu kutumia kituo chetu cha Huduma kwa Wateja kupata taarifa za uhakika. Kituo kinafanya kazi saa 24 na namba ya kituo ni 0714 197700. Asanteni!

Imetolewa na Idara ya Masoko ya benki ya CRDB
Asante sana Madenge kwa hii taarifa.
 
Naona mbagala imekuwa hatari kwa taasisi za kibenki. Juzi juzi tu Access ilivamiwa leo CRDB!
 
jambilo;
Huachi kuzichokoza nyuki mzingani?? Hivi ikisikika jina la mmoja ni wa dini hiyo utasemaje?? Wale wameenda kujitoa mhanga banaa aah!

mkuu nimechangia tu kulingana na mshangao wa mke wangu miss chaga na cjasema moja kwa moja ni ugaidi bali nimesema kuna mwelekeo tu.
vilevile cnaga uoga huo huwa napenda kunyoosha maneno mkuu
 
Wabongo bna yani hamuangalii maudhui ya mtu zaidi ya kufatilia makosa na kurekebisha ile hali mme elewa
Acha upumbavu wewe kijana. Unawezaje kuangalia maudhui wakati hiyo sentensi imeandikwa Kiswahili ambacho kimechanganywa na kisambaa na kimatumbi!!???? HATUJAELEWA.
 
Kesi ipi jf wanaokabiliwa mama makaliomakubwa?hii ni tetesi bado haina uhakika,
Aaaah kinyeo kipana nawe, tatizo unashinda jf tu hujui nini kinaendelea, pia usipende kuyatafsiri mambo kama uyaonavyo, kuwa GREAT THINKER basi hata siku mojamoja bn
 
Kama hamna picha tupieni ile video ya Diamond na AKA wakivamia bank na iwe dedication kwa kamanda sirro alisema anapenda sana nyimbo za diamond bin laden.
 
Mimi tawi langu ndiyo hapo crdb mbagala wakiingia kwenye akaunti yangu watachukua hela yangu yote
Unafikiri akaunti yako ni kisanduku ndani ya benki? Hata fedha yote ikichukuliwa kwenye Tawi hilo balance kwenye akaunti yako itabakia salama. Hiyo ni liability ya Benki...... watajuana na Insuarance companies
 
Back
Top Bottom