Tetesi: Benki ya CRDB yanusurika kuporwa

Benki ya CRDB tawi la Mbagala imevamiwa na majambazi,Mbagala hakuendeki mpaka muda huu polisi imeizingira benki majambazi yapo ndani ya benki, kujisalimisha hayataki.
mbona kuna tetesi haukuwa uporaji bali mteja na mlinzi walizozana ndani ya benki ndio polisi wakaingilia kati.
 
Hao majambazi wenyewe wanajua kuwa kupanga hilo ni suicide. Uliziaulizia kidogo ndio utaelewa nilichokisema. Na sio wa bongo tu, hata serbia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…