Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

Huko kooote kuanzia, QT, Private Candidate, nk mbona wamejaa wanafunzi wazazi wanasoma bila shida na wanafanya vizuri tu? Kuna Ulazima gani wa kuwachanganya na wale ambao hawajaamua kuwa wazazi? Tabia "chafu" ni contagious, sio vizuri kuchanganya haya makundi japo sio wote walichagua kuzalishwa wengine walibakwa!(waliobakwa kuna njia za kuwakinga na mimba wakiwahi kwenye huduma za afya)
Huduma za afya za mama kujifungua bado ni shida ndio huduma ya kuwasaidia watoto waliobakwa itakuwepo?

Watu mnaandika vitu kama vile Tanzania imebadilika na kua Marekani.

Hoja kwamba kuwachanganya watoto wenye mimba na wasio na mimba itasababisha watoto wasio na mimba kutamani kua na mimba ni hoja ya hovyo sana na inatolewa na watu wasiotumia akili kufikiri. Kwani watoto wanaishi Dunia yao peke yao hawaoni watu wenye mimba hadi watakapowaona shuleni watatamani kua na mimba pia?

Hoja ya kuwafukuza watoto shule kisa wana mimba ni hoja ya hovyo sana. Nchi jirani na sisi kama Kenya, Malawi, n huo ujinga haupo mbona hatuoni watoto wote wamepata ujauzito?

Kua na watu wasiofikiri na ukawapa nafasi ya kuongoza nchi haya ndio matokeo yake.
 
Sasa hivi mnaangaliwa kila mnachofanya. Chukueni pesa na msifuate maagizo ya mabeberu.
Lol...wanatuangalia sababu tumeonyesha jeuri. Nyerere was also regarded the same. It took time for western countries to understand his philosophy.
Mabeberu sio watu wazuri hata kwa wanaowapigia debe kama hawana cha kufanya
 
Kwaiyo wanafunzi hawatasitishwa masomo endapo watapata mimba?

Kama sheria ya kukataza mwanafunzi mjamzito asisome ilikua inapingana na haki za binadamu na ndio sababu iliyochangia kuzuiwa kwa mkopo. Basi kama kweli wamedhamilia kutoa mkopo basi lazima serikali imekubali kutengua sheria yake

Mkuu watsitisha na watapangiw ashule za kwenda kusoma zinaitwa za stadi za kazi izo shule.
 
Wasijeishia kupiga mapicha na mkopo usije!
 
Lol...wanatuangalia sababu tumeonyesha jeuri. Nyerere was also regarded the same. It took time for western countries to understand his philosophy.
Mabeberu sio watu wazuri hata kwa wanaowapigia debe kama hawana cha kufanya
Wanatuangalia kwa sababu tunawanyima watu wetu haki ya kuishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom