Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Naukumbuka wimbo wa *Candle in the wind*ALIJUA NI KAMA RWANDA, ZILE TAMBO ZA MATAGA ZA SISI NI NCHI HURU HAZISIKIKI TENA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naukumbuka wimbo wa *Candle in the wind*ALIJUA NI KAMA RWANDA, ZILE TAMBO ZA MATAGA ZA SISI NI NCHI HURU HAZISIKIKI TENA.
Haya maneno hayana chochote iyo demokrasia huyo mmarekani anaifanya? Angalia alivyovamia nnchi za watu na kuua watu wasiokuwa na hatia na kama hujui anaitumia kama fimbo yakutokupiga maendeleoChezeya beberu wewe! Ohh China ndo rafiki wa kweli misaada yao haina mashariti, beberu katupia korona Kule wahangaika Mayo mpaka kesho, huku beberu anawacheka tu. Wale vibaraka waliokuwa wanategemea China hawana pa kushika zaidi ya kujisalimisha kwa beberu.
Waswahili husema usitukame mamba kabla ya kuvuka mto, magufuli aliongea shit nyingi sana dhidi ya beberu, beberu alikaa kimya tu
Sasa beberu anataka uchaguzi Huru na wa haki, na deokrasia, zile tambo zao sijui sisi ni dona kantri au sijui sisi ni sovereign country hatupangiwi sizisikii tena
Ameisha mtuma msajiri kuhakiki vyama vitavyo shiriki uchaguzi mkuu, huenda uhakiki ukaonyesha chadema haina viongozi hivyo hawatashiri uchaguzi mkuuAnasubiri mahakama iwatie hatiani hiyo keshokutwa, halafu atatoka na 'album' mpya!
Tunamkubali beberu, kwa kuwa anatutetea dhidi ya mkoloni mweusi ccm, hayo mengine hayatuhusuHaya maneno hayana chochote iyo demokrasia huyo mmarekani anaifanya? Angalia alivyovamia nnchi za watu na kuua watu wasiokuwa na hatia na kama hujui anaitumia kama fimbo yakutokupiga maendeleo
I'm asking of you a learned and informed brother to educate me by showing the evidence like learned brethren normally do.At first I thought I was arguing with a learned and informed person, kumbe I was wrong. Ndio maana nikabadili mtazamo wangu juu yako.
Sasa unataka nikuwekee official statistics, this shows how little learner and uinformed person you are!
Ni wazo zuri ila it will take you days or months if not years to kuelewa ili tuanze kujadiliana hapa.
Ndio maana nikasema, tufanye nimeshindwa kuleta data hivyo nilichokisema awali ni uongo kwa sababu serikali hii ya wanyonge hua haikopi, inajitosheleza kwa kila kitu. Makusanyo ya ndani yanatosha kulipa mishahara, kulipa madeni, kuendesha serikali na kujenga miundombinu. Ikitokea serikali imekopa ni kwa bahati mbaya sana.
Ahsante.
Unajua masharti hao wakiwa wanatoa hao watu na ndo maana wametufanya tusiendelee yani mnashanikia hao watu wanaotunyonya alafu wanavunga wanaleta misaada, mnashabikia vitu msivyovijua sijui Watanzania tutajitambua liniTunamkubali beberu, kwa kuwa anatutetea dhidi ya mkoloni mweusi ccm, hayo mengine hayatuhusu
Magufuli mjanja sana, kawachukua kina Mbatia kaenda kuwapa chai ikulu then anawaandikia barua mabeberu uchaguzi utakuwa huru, wakati chama kikuu cha upinzani amekikwepa kama hakijui vile, asijidanganye mabeberu hawajaona hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Why don't you seize this rare opportunity to humiliate your opponent?At first I thought I was arguing with a learned and informed person, kumbe I was wrong. Ndio maana nikabadili mtazamo wangu juu yako.
Sasa unataka nikuwekee official statistics, this shows how little learner and uinformed person you are!
Ni wazo zuri ila it will take you days or months if not years to kuelewa ili tuanze kujadiliana hapa.
Ndio maana nikasema, tufanye nimeshindwa kuleta data hivyo nilichokisema awali ni uongo kwa sababu serikali hii ya wanyonge hua haikopi, inajitosheleza kwa kila kitu. Makusanyo ya ndani yanatosha kulipa mishahara, kulipa madeni, kuendesha serikali na kujenga miundombinu. Ikitokea serikali imekopa ni kwa bahati mbaya sana.
Ahsante.
Haya maneno hayana chochote iyo demokrasia huyo mmarekani anaifanya? Angalia alivyovamia nnchi za watu na kuua watu wasiokuwa na hatia na kama hujui anaitumia kama fimbo yakutokupiga maendeleo
Trump apokea ujumbe wa Rais Magufuli, uchaguzi huru ukisisitizwa Trump apokea ujumbe wa Rais Magufuli
Anahamishiwa GeitaWamefyata mkia hahaha
Vp Kuhusu mtoto mpendwa Bashite
Kasamehewa?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule asahau kwenda MarekaniWamefyata mkia hahaha
Vp Kuhusu mtoto mpendwa Bashite
Kasamehewa?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kafyata mkia chief ?Wamefyata mkia hahaha
Vp Kuhusu mtoto mpendwa Bashite
Kasamehewa?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaonaje ukirudia kusoma hii habari na kuona kama mwandishi ameandiaka juu ya Tanzania kuwaruhusu "wazazi" kusoma kwenye madarasa aya wanafunzi wasio wazazi!Wamefyata mkia hahaha
Vp Kuhusu mtoto mpendwa Bashite
Kasamehewa?!
Sent using Jamii Forums mobile app
No wayAnahamishiwa Geita