Benki ya Dunia waimiminia zaidi fedha Ukraine $1bn (£770m)

Benki ya Dunia waimiminia zaidi fedha Ukraine $1bn (£770m)

Sio ulaya wewe pale wakiamua nimakampuni yanapewa tenda sio Kwenu Tz wanajenga wananchi serikali inamalizia kupaua
Mkuu,hawa wanadhani ile Nchi itajengwa kwa hela za Tozo.Kuna pesa ya kutosha tena hiyo hiyo ya Russia iliyokuwa frozen ndiyo itaijenga Ukraine kwa haraka sana.Hata baada ya miaka 3,Ukraine itakuwa inatuzidi sisi hapa mara 100 japokuwa watakuwa bado wanaendelea na kujenga Nchi yao upya.
 
Ukraine haitajengwa na pesa za tozo,hilo unapaswa ulitambue.Baada ya miaka 5 ya vita watakuwa wametuzidi mara 100 sisi hapa ambao hatujawahi hata kuwa na vita
[emoji1787][emoji28][emoji23][emoji38]......wametudanganya hawatwambii tozo yenyewe ikowap inafanya nn pesa
 
Ukraine haitajengwa na pesa za tozo,hilo unapaswa ulitambue.Baada ya miaka 5 ya vita watakuwa wametuzidi mara 100 sisi hapa ambao hatujawahi hata kuwa na vita
Huo ulinganifu uetoka wapi? kuna swali kama hilo nimeuliza? eastern europe ni maskini tuone nchi ambazo hazijapigana vita kama zitakuwa tajiri baada ya miaka hiyo mitano
 
Ukraine uchumi wake unaimarika pamoja na vita lakini baba yako mrusi anadidimia kiuchumi haji juu tena
Uchumi unakuaje wakati wa vita?This is insane,yaani mpaka Sasa zaidi ya watu million 10 wamekimbia nchi halafu uchumi ukue?
 
Hao bank ya dunia hawajawahi kutoa ela bure hao wayukreini watalipa hizo ela miaka miamoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si bora wao wanajua walau hata wanakopeshwa kwa sababu gani? Wewe hapo unalipa mikopo ya IMF na WB na hata hujui kwa nini ilikopwa au unadhani hapo hulipi madeni[emoji3][emoji3]
 
Uchumi unakuaje wakati wa vita?This is insane,yaani mpaka Sasa zaidi ya watu million 10 wamekimbia nchi halafu uchumi ukue?
Swali zuri., pamoja na vita lakini demands za wa Ukraine ziko pale pale mahela wanayomiminiwa kila leo na zaid kwamba ukraine vita ikiisha leo basi watajenga na kuirudisha nchi yao wamekiri Lakini russia tumeambiwa hapa mtandani kwa kila siku ya vita wanatumia $20m, jumlisha na vikwazo ambavyo kila leo west wanakaa na kubuni ni kipi hasa cha kuwabana, miradi mingi ambayo waliwekeza ualaya na fedha nyingi walizowekeza sasa zimetaifishwa, si hasha Ukraine wanatumia hela za Putini huyo huyo anayewapiga vita
 
Swali zuri., pamoja na vita lakini demands za wa Ukraine ziko pale pale mahela wanayomiminiwa kila leo na zaid kwamba ukraine vita ikiisha leo basi watajenga na kuirudisha nchi yao wamekiri Lakini russia tumeambiwa hapa mtandani kwa kila siku ya vita wanatumia $20m, jumlisha na vikwazo ambavyo kila leo west wanakaa na kubuni ni kipi hasa cha kuwabana, miradi mingi ambayo waliwekeza ualaya na fedha nyingi walizowekeza sasa zimetaifishwa, si hasha Ukraine wanatumia hela za Putini huyo huyo anayewapiga vita
Bado hujajibu swali,nguvu kazi ya uzalishaji Ukraine imekimbia,wanawake wameondoka,wanaume belowa 50 wanalazimishwa kushika silaha kuipigania nchi!Shughuli nyingi za uzalishaji zimesimama,misaada inayopewa Ukraine ni Kwa ajili ya silaha,fedha za kulipa wanajeshi,watu wa afya na huduma nyingine ndogo ndogo za kibinadamu!
Sasa Kwa mazingira hayo,utasemaje uchumi wa Ukraine umekua Kwa asilimia hizo wakati huu wa vita?
Hapo pia hujaangalia miundombinu iliyoharibiwa!
Au wewe una tafsiri tofauti ya uchumi?Uchumi sio misaada!Hata hiyo misaada inayopewa ni kidogo kulinganisha na mapato ya Ukraine Kwa mwaka kabla ya vita!
Nchi iliyovamiwa na Raia wake zaidi ya theluthi kuikimbia nchi haiwezi kuwa na ongezeko la uchumi!
Kuhusu Russia,shughuli za uchumi zinaendelea nchini kwake japo vikwazo vimemrudisha nyuma!Hilo alilitegemea na ndio maana halijamrudisha nyuma!Russia anasema operation itaendela mpaka malengo yake yafikiwe!
 
Back
Top Bottom