Benki ya Dunia yaikopesha Tanzania Tsh. Trilioni 1.2 za Miradi ya Maji na Afya

Benki ya Dunia yaikopesha Tanzania Tsh. Trilioni 1.2 za Miradi ya Maji na Afya

Hii nchi ni kama haina mwenyewe make na raia tushageuka kuwa mashabiki wa wapigaji, kwamba mkopo wa WB unaenda kufanya kazi ya usafi wa mazingira vijijini, aisee inachekesha sana kuhuzunisha sana.

Nchi inaliwa sana hii na mbaya zaidi sisi raia tunashangilia ila hii mikopo haitalipwa na Mwigulu wala Samia wala Majaliwa bali ni sisi choka mbaya ndio tutapandishiwa bei ya vitu kulipa hii mikopo.

Haiingii akilini kwamba hizo pesa zipo zitakazoenda vijijini kuboresha usafi wa mazingira.

View attachment 2533055
Saizi iko chini ya walamba asali huoni hata Mbowe anaimba kwaya mpaka Zito anamuonea wivu!
 
Nina Imani mpaka Samia anaondoka madarakani, huduma za afya zitakuwa zimefika Kila Kona, maji ndio usiseme, yatajaa Kila mahali kama mate mdomoni

..manunuzi ya ma-V8 ni 500 bil kila mwaka.

..halafu tunakwenda kukopa 689 bil kwa ajili ya afya.

..Na huenda fedha hizo hatutapatiwa zote ndani ya mwaka mmoja.
 
Hayo ni mafanikio makubwa kwa nchi yetu Mungu aendelee kumpa nguvu na ujasiri tutafika kwenye malengo
 
Back
Top Bottom