Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Huyo Chige ni mjinga tu anaefikiri ni msomi sana kumbe hata mimi darasa la saba namzidi!

Shida ya vijana hawa wanaojifanya kumkosoa Magufuli hawaelewi wamkosoa wapi na kwa vipi, ndio sababu wako tayari kumshabikia Membe kuliko Lisu sababu tu Membe hayuko pamoja na Magufuli!

Unarudi kujiuliza swali, akitoka Magufuli ndio ccm imetoka?
Umenena,nawajua vizuri tu vijana wa CDM...nawafahamu kwelikweli...
Unajua Nini?!!
Ushamba unawasumbua....samahani kulisema hili;
WENGI WAO NI WALE VIJANA WALIOTOKA VIJIJINI SI MIAKA MINGI,hasa waliopata bahati ya kufika mlimani na kwengineko....wakimaliza vyuo na ile CHANGAMOTO ya KAWAIDA ya maisha ya nchi za kiafrika....wanapagawa fulani hivi....

Kumbuka kiburi chao Cha kujifunza kuvaa tshirt na jinsi,suruali mchongoko na raba Kali kilitokana na SERIKALI HII WANAYOITUKANA kuwapa mikopo kutoka pale HESLB....KILA BAADA YA MIEZI 3 WANANGIZIWA HIZO HELA NYINGI ZA BUMU.....

Narudia tena,Leo zimekata...haziko tena,na kurudi kijiini akatumie ELIMU yake hataki,akipita pale MLIMANI CITY na kuona samakisamaki aliyoizoea kuingia huko nyuma,sasa HAWEZI TENA...


HUFANYA YEPI?
Hupagawa kihasira na ndio huingia humu jf kumshambulia rais na TAASISI yake,chama chake,vijana wa CCM.
Yaani huwatumia hao KUPOZA FRUSTRATIONS ZAO....huwafanya PUNCHING BAG.....

Ndo Mana braza mkubwa mwandishi wa habari freelancer msukuma PASKO akashauri "yy anazeeka" si uwoga kuwa makini na NJIA YA RELI😀😀....
MAANA YAKE NI NINI?!
Ari ya ujana NDIYO inayowasumbua vijana wa CDM......
1.Wajitambue
2.Wabadilike
3.Waache MAZOEA

WALIJENGE TAIFA KWA MAUMIVU NA SI SHORTCUTS.....

Tutangulie na magufuli 2020.
 
Bwebwe zote za nini sasa kama unasema uchumi unapaa halafu sina uhakika wa chakula?
Kutokula wewe haimaanishi mimi sili. Marekani ni nchi namba moja kwa uchumi duniani unafikiri wote wanakula na kulala pazuri? Unafikiri kwa nini baadhi ya wamarekani wanalalamika na kuandamana kuwa ajira zimepungua? Fuatilia utajua nini maana ya uchumi wa nchi kukua. Usipojituma na kufanya kazi hata marekani huli mkuu .
 
Hawa mabeberu mimi siwaamini sana labda wanatutania tu ili tubweteke watucheke
 
Narudia hoja ile ile inayowakera Misukule ya Jiwe!!! Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:-

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:-
For the current 2021 fiscal year, low-income economies are defined as those with a GNI per capita, calculated using the World Bank Atlas method, of $1,035 or less in 2019; lower middle-income economies are those with a GNI per capita between $1,036 and $4,045;
Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).

per capita.png


Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-

per capita 2.png


Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

per capita 3.png


Sio siri tena kwamba, kwa takwimu hizo hapo juu, inathibitisha kwamba Magu ameharibu uchumi, na hatimae kudhihirisha kwamba Mtaji Mkubwa wa Magufuli ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake na kuwa tayari kushangilia kila wanachosikia!!
 
Vipi nasikia familia yako imeisha kwa corona,! (si Magufuli alikataa usijifungie ndani.)

Au mlikimbilia kwa marais wenye akili Kenyata, Kagame na Museven?
C'RAP!
 
Wanatamani wampigie simu pompeo, ili Tanzania tutolewe
Mabeberu yamewatangaza nanyi mmekubaliana nao. Kweli dume ni dume tu. Ila aliyetangaza kasema ni Lower Middle Income, lakini nyie mnasema tafsiri yake ni "Uchumi wa Kati" sijui hiyo tafsiri mnaipata kitabu gani?
 
Mabeberu yamewatangaza nanyi mmekubaliana nao. Kweli dume ni dume tu. Ila aliyetangaza kasema ni Lower Middle Income, lakini nyie mnasema tafsiri yake ni "Uchumi wa Kati" sijui hiyo tafsiri mnaipata kitabu gani?
Mbona unatumia NGUVU Sana...kila mwenye macho ameona na tafsiri ni uchumi wa Kati chini...

Hatuwezi kukubeza hapo tulipofika...ni HATUA...we kulinganishwa na Kenya issue ndogo?!!!
Kamanda M7 hayupo levels hzo😂😂
 
Narudia hoja ile ile inayowakera Misukule ya Jiwe!!! Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:-

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).

View attachment 1495304

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-

View attachment 1495306

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1495307

Sio siri tena kwamba, kwa takwimu hizo hapo juu, inathibitisha kwamba Magu ameharibu uchumi, na hatimae kudhihirisha kwamba Mtaji Mkubwa wa Magufuli ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake na kuwa tayari kushangilia kila wanachosikia!!
Yaani mimi sielewi kosa la Jpm ni nini mpaka matwakimu yote haya yanakuja? Wote hayo tumeyaona. Kosa ni kusema tujipongeze? Ameishusha hiyo GNI? Benki ya dunia wametoa takwimu sawa au si sawa? Ni kweli Tanzania imewekwa kwenye nchi yenye uchumi wa kati au si kweli? Au hizi takwimu zimepikwa?
 
Kutokula wewe haimaanishi mimi sili. Marekani ni nchi namba moja kwa uchumi duniani unafikiri wote wanakula na kulala pazuri? Unafikiri kwa nini baadhi ya wamarekani wanalalamika na kuandamana kuwa ajira zimepungua? Fuatilia utajua nini maana ya uchumi wa nchi kukua. Usipojituma na kufanya kazi hata marekani huli mkuu .
Marekani umewahi kusikia wanalalamika kuhusu maji, barabara, matibabu, shule n.k? sisi tunajidanya wenyewe, kuhusu suala la kujituma hilo halikuhusu sababu sijawahi kukuomba chochote na sitakaa nikuombe mimi binafsi wala familia yangu. Ongea vitu vyenye pointi, huo uchumi wako wa kati unasadifu maisha ya wananchi?
 
Mabeberu yamewatangaza nanyi mmekubaliana nao. Kweli dume ni dume tu. Ila aliyetangaza kasema ni Lower Middle Income, lakini nyie mnasema tafsiri yake ni "Uchumi wa Kati" sijui hiyo tafsiri mnaipata kitabu gani?
Lower middle income inamaanisha nini mkuu? Mnaelewa hivi vitu kweli au ndio hesabu za Statistics mlizikwepa? Mnakumbuka hesabu za Range? Nenda kasome uliposoma na ukapata hiyo tafsiri yako utaelewa.
 
Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1494576

Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
Mkuu wewe ni kiboko.
 
Yaani mimi sielewi kosa la Jpm ni nini mpaka matwakimu yote haya yanakuja? Wote hayo tumeyaona. Kosa ni kusema tujipongeze? Ameishusha hiyo GNI? Benki ya dunia wametoa takwimu sawa au si sawa? Ni kweli Tanzania imewekwa kwenye nchi yenye uchumi wa kati au si kweli? Au hizi takwimu zimepikwa?
Unaweza kuonesha ni wapi nimesema Magufuli ana makosa?! Watu for years now tumekua tukisema JPM anavuruga uchumi! Leo hii tumetumia data zile zile ambazo mnazikubali kuonesha ni kweli amevuruga, kwenu inakuwa nongwa!!

Btw, kwani huyo Magufuli ni nani hadi asikosolewe?! Anakosolewa Mungu seuze yeye!!

Acheni habari zenu bhana... nyie endeleeni kufurahia kwamba hatimae uchumi umekua na hivi sasa mpo uchumi wa kati lakini msitake kila mtu awe kama nyie!!
 
Yaani mimi sielewi kosa la Jpm ni nini mpaka matwakimu yote haya yanakuja? Wote hayo tumeyaona. Kosa ni kusema tujipongeze? Ameishusha hiyo GNI? Benki ya dunia wametoa takwimu sawa au si sawa? Ni kweli Tanzania imewekwa kwenye nchi yenye uchumi wa kati au si kweli? Au hizi takwimu zimepikwa?
Jamaa ametoa statistical data in a big picture (tulipotoka na tunapoenda na speed tunayoitumia)kama hujaelewa utakua na shida kubwa sana ambayo ni nje ya huu mjadala.
 
Lower middle income inamaanisha nini mkuu? Mnaelewa hivi vitu kweli au ndio hesabu za Statistics mlizikwepa? Mnakumbuka hesabu za Range? Nenda kasome uliposoma na ukapata hiyo tafsiri yako utaelewa.
Angalia sasa... ndo tatizo lenu hili! Sasa unachobisha nini kuhusu low middle income?! Au ndo wewe usiyeelewa nini maana low middle income na matokeo yake watu wakiongea kinyume na mnavyoamini mnaona wana chuki!

Hakuna cha statistic wala hesabu za range!!!
 
Narudia hoja ile ile inayowakera Misukule ya Jiwe!!! Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:-

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).

View attachment 1495304

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-

View attachment 1495306

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1495307

Sio siri tena kwamba, kwa takwimu hizo hapo juu, inathibitisha kwamba Magu ameharibu uchumi, na hatimae kudhihirisha kwamba Mtaji Mkubwa wa Magufuli ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake na kuwa tayari kushangilia kila wanachosikia!!
Kwa hiyo wewe msukule wa Mbowe, hizi data zako ndio zinafanya WB wawe wamedanganya ama?
 
Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "

Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali

Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati

Sisi ni matajiri

Soma pia: World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

============


Piga kelele kwa Magufuli OyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeEeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Jamaa ametoa statistical data in a big picture (tulipotoka na tunapoenda na speed tunayoitumia)kama hujaelewa utakua na shida kubwa sana ambayo ni nje ya huu mjadala.
Yaani hawa jamaa ni tatizo kweli kweli! Wengine wanakomaa eti data za kupika wakati wanaona kabisa source ni WB! Labda ni kutoelewa kwamba unapofanya trend analysis lazima uangalie data za nyuma kwa sababu ndizo zita-determine your current and future performance
 
Back
Top Bottom