Benki ya Dunia: Zaidi ya dola milioni 680 zimewekwa na watanzania katika mabenki ya kigeni kutokana na kuongezeka kwa mikopo na misaada kutoka nje

hata bitcoin sijui inafanyaje kazi, kuna watu mnapenda sana kuamini uongo

Zitto ulitwambia unayo list ya watu walioficha pesa nje sasa ni wakati wako kuiweka hadharani sasa na benki ya dunia wamekusaidia sasa wataje
 
Ukuku huu Kuna baadhi yetu hapa tumekuwa wachangiaji tu wa hela za wenzetu zimewekwa mara huku Mara kule sisi hatuna,nimechoka kujadili wenye mihela nami nayataka hayo mahela nijadiliwe mwe!!!!
 
Umeandika kwa hisia kali sana. Sisi ndiyo nimekuwa wajinga tunatumia Sheria ya AML kuwatesea wakosoaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…