mimi binafsi sheria ya money laundering kwangu huwa naiona ujinga mtupu
pesa mabilioni zikitoka nchi zetu kwenda kwao sio money laundering wanazipokea wanaziweka kwenye benki zao ziimarishe uchumi wao
Za kwao zikija kwetu tunakomaliwa hadi tukome kuwa ni za money laundering au lazima tuzitolee maelezo
Mungu angenipa uraisi kitu cha kwanza ningefanya ni kuifuta sheria ya money laundering na pili mtu hata awe na mabilioni ya pesa akileta toka nje sihangaiki kumhoji hata kama kabeba kwenye kiroba
hawa watu wanatuchezea sana wanatufanya sisi migambo wa kuwalindia pesa zao zisiingie hovyo kwetu wakati zetu hawatulindii zisiingie hovyo kwenye benki zao.
to hell with money laundering laws