Benki ya Exim ya China kuichukua bandari ya Mombasa endapo Kenya itashindwa kurejesha mkopo iliochukua ili kujenga reli ya kisasa (SGR)

Tatizo la Afrika siyo wachina wala wazungu ni viongozi wetu wenyewe, tusitegemee mchina wala mzungu aje Afrika kutusaidia never kuja kwao ni kutafuta faida ya ziada na kuipeleke kwao.

Tusipoanza kubadilika sisi wenyewe kifikra na kimitazamo na kuwa na viongozi wazalendo haswa wanaopenda nchi zao na watu wao Afrika itaendelea kuwa bara la mataifa mengine kuja kujichumia.
 
Ile MIKATABA 17 ya enzi za jamaa iliyoandikwa kichina mnajua ilizungumzia nini?,yawezekana sisi ni PART OF CHINA MAINLAND sasa hivi
 
Mengine sawa lakini hilo la kuendesha wenyewe kwetu mtihani. Tumeshuhudia reli ya kati, reli ya tazara na ATC yenyewe.

Wenyewe tukiendesha haya mashirika na reli zitakuwa chalikama ya awali.

Haya yange binafsishwa tu kwa masharti ya kuyaendesha kwa kazi iliyokusudiwa.
 
Mkuu humu JF watu wanafki sana...hata kama Rais wetu ana mapungufu kwenye kweli na sifa zake yapaswa apewe.

Nilitegemea nikute comment kama yako mwanzoni kabisa ili kuonyesha utofauti Wa SGR ya Kenya na SGR ya Tanzania.
 
Kwa Kenya hihiii ya Ukuru Kenyata kipenzi cha wana chadema?
 
Pessimistic, prayer of doom, wakatishaji tamaa, etc watu design yako, mnaoona negatives tu, hamkosekaniki, unfortunately huwa mnashindwa.
 
Reli ya Tazara imepita Selou kwa sehemu kubwa ...waliuwa Tembo kibao...Tembo walikuwepo zaidi ya laki tatu sasa hivi aibu
Tembo wamepunguwa kwa tamaa zenu za mano yao si kwa akili reli imepita. Ulisikia lini treni imegonga tembo?
 
Hayo maswali ndiyo hatutaki kwani yana harufu ya ubeberu ndani yake.
 
wakati wanaijenga 70's ..nani aliwasimamia...
Tayari imeshagawanywa hii hapa...

China GDP per capita 8,826.99 USD (2017)

Linganisha na yetu...

Tanzania GDP per capita 936.33 USD (2017)

Nani zaidi hapo?
 
Khaa kwa hiyo mkuu basi jpm keshakubali ushoga maana juzi kakopa WB
WB hawa kuwa na kikwazo cha ushoga. Kikwazo chao ni watoto wa like wanaopata mimba kutokuruhusiwa kusomea tena.

Na wakaambiwa wakitaka kuendelea wakasome private.
 
Sharti lipo kwenye huo mkopo. Si unaona apo sharti kuwa wakishindwa kulipa mkopo basi wanachukuliwa bandari yao tu. Ukishajua kuwa utapoteza mali yako ndio utafanya bidii kuulipa mkopo wa watu, ila ukiambiwa kama ukishindwa kulipa mkopo basi ukubali kuolewa na hali ya kuwa ni chakula cha watu basi hutofanya bidii ya kuulipa.

Mkopo unapendeza iwe kama hivi, unachukua hela ya watu ukishindwa kurudisha basi na wewe upoteze mali tu.
 
Tunajenga kwanza suala la uendeshaji baadae, hata ulaya na USA reli ni ya serikali treni ndio watu binafsi, wanalipia kutumia reli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…