Benki ya FNB - Tanzania imesitisha kufungua akaunti za Forex

Benki ya FNB - Tanzania imesitisha kufungua akaunti za Forex

Pamoja mkuu.
Najua mihemko kwa vile walio nitangulia wamekushambulia sana badala ya kukuelekeza cha kufanya.
Watanzania tunapenda kulaumu na kuponda bila kutoa suluhisho au kusaidia kutatua tatizo, wasamehe tu mkuu.
Wala mi sina tatizo na mashambulizi; ukitaka kujua wabongo hamnazo - angalia wanavyomshambulia Ontario... hawana sababu zozote za msingi ila wanavyomshambulia utadhani jamaa kawachukulia dada zao!! Wakati in real sense jamaa anajitahidi kutufungua kufanya anachoweza ili kusaidia wengine, na tusisahau hakuna aliekamilika.
 
Bro ukipata Alternative ya hii kitu naomba tushirikishane maana na mimi nimestuck hapo ulipostuck wewe, A safe and fast way ya kuprocess mihamala ya Forex kwa sasa imekuwa mtihani pia kwangu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo njia nyingi ambazo ni SAFE ila sina uhakika ipi kati ya hizo ni FAST. Binafsi nataka ku-stick na PAYPAL na SKRILL ambazo nimezi-link na kadi zangu za benki; hizi huwa zinachukua kati ya siku 2 hadi 5. Option ya M-PESA naona bado brokers wengi hawajaiweka sawa.
 
Wala mi sina tatizo na mashambulizi; ukitaka kujua wabongo hamnazo - angalia wanavyomshambulia Ontario... hawana sababu zozote za msingi ila wanavyomshambulia utadhani jamaa kawachukulia dada zao!! Wakati in real sense jamaa anajitahidi kutufungua kufanya anachoweza ili kusaidia wengine, na tusisahau hakuna aliekamilika.
Hahaha ontario naona umekuja na gia nyingine.......nimeipenda hii
 
Hahaha ontario naona umekuja na gia nyingine.......nimeipenda hii
Haters mmeanza kujitokeza eh!!! Sisi tunawapenda sana. 😁 It's wonderful unajua, hating someone for no reason.
 
Haters mmeanza kujitokeza eh!!! Sisi tunawapenda sana. [emoji16] It's wonderful unajua, hating someone for no reason.
Hahaha mimi sikuHate mkuu...kwanza nakuadmire
I gotta respect the hustle bro
marketing strategies zako bwana Ontario ni very remarkable
#respect
 
Hahaha mimi sikuHate mkuu...kwanza nakuadmire
I gotta respect the hustle bro
marketing strategies zako bwana Ontario ni very remarkable
#respect
Mimi sio Ontario na simuwakilishi kwa namna yoyote; I just admire him as you do.
 
na unawithdraw kwa card directly from brocker?
Una uelewa mdogo sana! Actually huwa hakuna account kwa ajili ya forex! Fungua acount bank yeyote ile ila mradi hiyo account iruhusu online transaction unakuwa umemaliza kazi! Mimi mbona natumia CRDB na NMB kufanya forex na sijawahi kukutana na ugumu wowote?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom