Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
hapana, rejea maelezo ya mleta mada.forex ni illegal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana, rejea maelezo ya mleta mada.forex ni illegal
orait oraitKudeposit: Bank-Skrill-Broker
Kuwithdraw: Broker-Skrill-Bank
Mleta mada anasema kuwa wahudumu wa benk tajwa hapo juu wamemueleza kuwa forex ni illigalhapana, rejea maelezo ya mleta mada.
Wapi kasema ni illigal?Mleta mada anasema kuwa wahudumu wa benk tajwa hapo juu wamemueleza kuwa forex ni illigal
------------------ Lakini zoezi halikufanikiwa kwasababu niliambiwa kuwa hivi sasa wameamua kutofungua tena akaunti za FOREX. Wanasema chanzo ni kuwa akaunti nyingi za FOREX zilizofunguliwa na watu before zilikuwa zinatumika kidogo sana halafu watu wanazitelekeza, kwa hiyo inakuwa ni hasara kwa benki.
She said, namnukuu - "Benki imeamua kufanya maamuzi ya kutofungua akaunti ambazo zinahusika na FOREX kwasababu nyingi. Kwanza FOREX ni illegal (Mimi nikaguna, halafu nikauliza 'Ni illegal hapa TZ au' - akajibu ni illegal tu), halafu pili ni kweli tulikuwa tunapokea wateja ambao walikuwa wanatumia benki yetu katika shughuli zinazohusisha FOREX, ila wengi wao wanazitumia kwa muda mfupi kisha wanazitelekeza, inabaki kuwa ni hasara kwetu. Hao hao utakuta baada ya muda wanarudi tena wanaomba tuzifufue akaunti zao. So, tukafika mahali kama benki tukaamua kuwa hatutofungua 'akaunti za FOREX', otherwise mtu atuambie anafungua akaunti kwa shughuli nyingine tofauti na FOREX" Mwisho wa kunukuu.Wapi kasema ni illigal?
Sawa,whatever you say bwana OntarioMimi sio Ontario na simuwakilishi kwa namna yoyote; I just admire him as you do.
Kudeposit: Bank-Skrill-Broker
Kuwithdraw: Broker-Skrill-Bank
Wapenda Forex/kusoma motivation books mnapendaga kutumia neno HATER.Haters mmeanza kujitokeza eh!!! Sisi tunawapenda sana. [emoji16] It's wonderful unajua, hating someone for no reason.
Kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba brokers wengi wanakubali kudeposit straight from bank lakini kuwithdraw watakuruhusu kutoa kile ulichodeposit tu(ni kama wanafanya refund), na kinachobaki kama faida wanashauri utumie e-wallets ndipo anaingia skrill hapo, wengine watajazia.Hivi kuweka Skrill kama middle-men hapo una solve nini... Kwanini usitumie bank-broker straightforward. Nini kinashindikana hapo, ama changamoto ni ipi mpaka kuongeza mzunguko wa transaction. Issue ni security, transaction costs ama nini hasa???
Dah bora utumie safaricom kisha ulink na akaunt ya skrill kidogo kutakuwa na unafuufxtm wana option ya dusupay ambapo unadeposit na kutoa kwa airtel money... tatizo kutoa wanatumia rate ya 2150
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wivu tuHa ha ha... yaani ukitaka kuwatibua wabongo jifanye umesoma sana!!! [emoji14] [emoji16][emoji16][emoji16] Huwa wanakereka sana, sijui kwanini eti??
Natumia njia hii pia.Kudeposit: Bank-Skrill-Broker
Kuwithdraw: Broker-Skrill-Bank
Unaweza tumia skrill kama benki ndogo pia.Hivi kuweka Skrill kama middle-men hapo una solve nini... Kwanini usitumie bank-broker straightforward. Nini kinashindikana hapo, ama changamoto ni ipi mpaka kuongeza mzunguko wa transaction. Issue ni security, transaction costs ama nini hasa???
Kudeposit kwa kadi inachukua one week!Hivi kuweka Skrill kama middle-men hapo una solve nini... Kwanini usitumie bank-broker straightforward. Nini kinashindikana hapo, ama changamoto ni ipi mpaka kuongeza mzunguko wa transaction. Issue ni security, transaction costs ama nini hasa???