Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,600
Kudeposit kwa kadi inachukua one week!
Uongo.
Mimi natumia CRDB MasterCard.
Deposits huwa ni instant execution.
Labda withdrawal ndio huchukua siku mbili hadi tatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudeposit kwa kadi inachukua one week!
Nadhani Bank za Tanzania zitakuwa zimezuiwa kufanya miamala ya forex, Nilijaribu kudeposit kwa kutumia card yangu ya Equity na CRDB kwenda hotforex sikufanikiwa, wakati nilikuwa nafanya deposit bila shida.Hivi kuweka Skrill kama middle-men hapo una solve nini... Kwanini usitumie bank-broker straightforward. Nini kinashindikana hapo, ama changamoto ni ipi mpaka kuongeza mzunguko wa transaction. Issue ni security, transaction costs ama nini hasa???
Nadhani Bank za Tanzania zitakuwa zimezuiwa kufanya miamala ya forex, Nilijaribu kudeposit kwa kutumia card yangu ya Equity na CRDB kwenda hotforex sikufanikiwa, wakati nilikuwa nafanya deposit bila shida.
Kama una withdraw ela zaidi ya dola 500 skrill si nzuri kwa makato, bora utoe direct kutoka kwa broker kwenda bank acc. Ila kama ni below 400 basi skrill is good option.
Mkuu samahani, ni bank gani inapokea pesa kutoka Skrill, inachukua muda gani na makato yapo vipiKudeposit: Bank-Skrill-Broker
Kuwithdraw: Broker-Skrill-Bank
Bank zote zinapokea hela kutoka Skrill ila mradi usajili card yako kufanya online transactionsMkuu samahani, ni bank gani inapokea pesa kutoka Skrill, inachukua muda gani na makato yapo vipi
Equity hawapokei ila ku deposit Skrill ipo vizuri. Nikitoa hela haifiki lakini inakatwa kwenye Skrill account, sasa sijui hela inaendaga wapi au nini kinazuiaBank zote zinapokea hela kutoka Skrill ila mradi usajili card yako kufanya online transactions
Tumia barclays (ABSA bank)Mkuu samahani, ni bank gani inapokea pesa kutoka Skrill, inachukua muda gani na makato yapo vipi
Mkuu hii ABSA, ukitoa hela Skrill inaingia ndani ya muda gani na makato yao yapo vipi mzeeTumia barclays (ABSA bank)
How money laundering?????Utapewa Money Laundering Sasa hivi kijana ... Kaa chini fikiria hayo majibu vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app