Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Yapo maswali mengi hapa:
Je, Tanzania kuna magaidi?!
Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ingelipukia Dar halafu askari wapo kweye foleni kwakuwa mwendokasi hawaruhusi kupita! patamu hapoView attachment 2360276
Yapo maswali mengi hapa:
Je, Tanzania kuna magaidi?!
Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?
View attachment 2360276
Yapo maswali mengi hapa:
Je, Tanzania kuna magaidi?!
Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?
Kama unaona haliandiki unayoyataka kwanini usiandike wewe kwa ushahidi ulionao? Yaani ninyi watu wengine furaha yenu nikuona watu wengine wakiumia au kuumizwa hata bila hatia, hizo Ni Roho za kishetani zinazopaswa kukemewa kwa nguvu zote mpaka pepo Hilo la kishetani litokeMwananchi limekuwa gazeti la kijinga
Limebaki kuwasafisha kina makamba kila siku
Si huyu?View attachment 2360276
Yapo maswali mengi hapa:
Je, Tanzania kuna magaidi?!
Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?
Akili za ndezi hizi. Kwani magaidi tu ndiyo hutega mabomu?View attachment 2360276
Yapo maswali mengi hapa:
Je, Tanzania kuna magaidi?!
Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?
😁Ila Mitandaoni kuna watu wa tofauti sana, sasa Mkuu unambishia mwenzio kitendo cha mtu kutaka kulipua sehemu yenye watu wengi kwa bomu sio ugaidi ?Akili za ndezi hizi. Kwani magaidi tu ndiyo hutega mabomu?
ddddddxxxxxxzzzxxxxxxxxxdddddddfddddssßßInaonekana usalama kwenye benki zetu sio wa kuridhisha, wale askari huwa wanamaa milangoni tu na SMG zao mikononi mpaka wakati mwingine wanaanza kusinzia.
Pawepo na vyombo vya ku detect vilipuzi kama ilivyo bandarini na airport, ila huyo aliyetaka kulipua benki ina maana alitaka kuzilipua mpaka noti, huo moto wa mlipuko si ungeziunguza noti?
Si udaku hadi video ipo likiwa detonated na jw+polisimwananchi == gazeti la udaku
Nani yuko nyuma yakeView attachment 2360276
Yapo maswali mengi hapa:
Je, Tanzania kuna magaidi?!
Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?