Benki ya NMB yanusurika kulipuliwa na bomu

Benki ya NMB yanusurika kulipuliwa na bomu

... title ya hii habari haijakaa sawasawa; at least "Tawi la Benki ya NMB Shinyanga Lanusurika Kulipuliwa kwa Bomu". Nilishafikiria kwenda kutoa ka-amana kangu huko fasta.
 
😁Ila Mitandaoni kuna watu wa tofauti sana, sasa Mkuu unambishia mwenzio kitendo cha mtu kutaka kulipua sehemu yenye watu wengi kwa bomu sio ugaidi ?

Kwahiyo Civics ya form 2 ile inadanganya watoto shuleni kuhusu ugaidi ?
Hata mimi nimeshangaa griti thinka hajui maana ya terrorism ni kitendo cha kuleta taharuki na hofu
 
Back
Top Bottom