dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 23,782 Reaction score 54,213 Sep 18, 2022 #21 ... title ya hii habari haijakaa sawasawa; at least "Tawi la Benki ya NMB Shinyanga Lanusurika Kulipuliwa kwa Bomu". Nilishafikiria kwenda kutoa ka-amana kangu huko fasta.
... title ya hii habari haijakaa sawasawa; at least "Tawi la Benki ya NMB Shinyanga Lanusurika Kulipuliwa kwa Bomu". Nilishafikiria kwenda kutoa ka-amana kangu huko fasta.
spidernyoka JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 7,557 Reaction score 20,477 Sep 18, 2022 #22 Basi Nenda said: 😁Ila Mitandaoni kuna watu wa tofauti sana, sasa Mkuu unambishia mwenzio kitendo cha mtu kutaka kulipua sehemu yenye watu wengi kwa bomu sio ugaidi ? Kwahiyo Civics ya form 2 ile inadanganya watoto shuleni kuhusu ugaidi ? Click to expand... Hata mimi nimeshangaa griti thinka hajui maana ya terrorism ni kitendo cha kuleta taharuki na hofu
Basi Nenda said: 😁Ila Mitandaoni kuna watu wa tofauti sana, sasa Mkuu unambishia mwenzio kitendo cha mtu kutaka kulipua sehemu yenye watu wengi kwa bomu sio ugaidi ? Kwahiyo Civics ya form 2 ile inadanganya watoto shuleni kuhusu ugaidi ? Click to expand... Hata mimi nimeshangaa griti thinka hajui maana ya terrorism ni kitendo cha kuleta taharuki na hofu