Benki za Biashara Tanzania zinaogelea kwenye faida. Je, nini kimefanyika awamu ya sita?

Benki za Biashara Tanzania zinaogelea kwenye faida. Je, nini kimefanyika awamu ya sita?

Mtakumbuka kwamara ya mwisho mabank yetu ya biashara hapa Tanzania kurekodi faida ya kihistoria ya tangu uhuru ilikuwa ni mwaka 2015 pale ambapo yaliporekodi Jumla ya faida ikiwa ni baada ya kodi ya Tshs 438BL,

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita mabank haya hayajaweza kuivunja rekodi hii zaidi sana wakati flani faida zao zilishuka mpaka kufikia Jumla ya Tshs 286 yaani mwaka 2017 hii ni Jumla ya faida kwa mabank yote ya biashara nchini,

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tena kwa kipindi cha Jan -Sept tu mabank hayohayo kwenye nchi hii hii yameivunja ile rekodi iliyowekwa na Mzee Jakaya Kikwete ya Tshs 438BL kwa zaidi ya 7.53% na hii ni robo tatu tu ya mwaka,

Kwalugha rahisi miezi michache ya Rais Samia mabank yamevunja rekodi ya faida ya tangu uhuru ambayo ilivunjwa na Mzee Jakaya Kikwete kwa Tshs 438BL leo Samia ameivunja kwa Tshs 471BL na hii ni kwa miezi tu, tunaposema Rais Samia hakamatiki tunamaa hii ndungu zangu Watanzania,

Kwa tathimini iliyofanywa kwa mabank 13 ya kibiashara nchini kati ya 14 yanayotengeneza faida NMB na CRDB wamebeba 80% ya faida yote ya Tshs 471BL kwa kuwa na faida ya Jumla ya Tshs 379BL,Wakati huohuo NPL yaani Non Performing Loans au mikopo " Chechefu " ikishuka na kufikia chini ya 35.7% kwa baadhi ya mabank huku thamani yake ikupungua kutoka tshs 395.69BL mwaka 2020 hadi tshs 392.4BL kwa lugha ya kibank (arrears -zimepungua )

Sababu kubwa yaongezeko hili kubwa la Faida kwa mabank ya biashara nchini zinatajwa kuwa ni Sera nzuri za ki-Uchumi za Serikali ya awamu ya Sita pamoja na miongozo mathubuti toka BOT kama mlezi wa mabank haya hasa kwenye kupunguza vipimo vya risk kwenye utoaji mikopo ikiwa ni pamoja na kutoa fedha maalumu "Stimulating fund " kiasi cha Tshs 1trl ili kuziongezea ukwasi Bank zetu za biashara zilizokaukiwa hii imesaidia sana kuinua sekta ya fedha ambayo utoaji mikopo umepanda toka 2.5% 2020 hadi 9.8% hivi sasa,

Kwamsiofahamu zaidi ya 80% ya faida yote ya mabank ya biashara inabebwa na mikopo na Ukiona mabank yanapata faida sana maana yake yamekopesha sana na wateja wao wameweza kurejesha mikopo yao ( EMI) kwa wakati na ndio tunasema NPL imeshuka au mikopo isiyolipika|chechefu imepungua na ndio sababu faida imepanda na kwa maana hiyo biashara mtaani inakua au inakwenda vizuri ndio maana mteja X aliyekopa bank Y ameweza kuchukua mkopo Bank na kununua bidhaa na kisha kuuza na mwisho kupeleka marejesho ya Bank kwa wakati yaani ( Purchasing Power-Uwezo wa kununua ) umeongezeka Tanzania, Hongera Sana Rais Samia hakika unaupiga mwingi,


Nzuri sana hii
 
Duuu naona mapicha picha tu chini ya hawa ndugu zangu wa kijani
 
Mtakumbuka kwamara ya mwisho mabank yetu ya biashara hapa Tanzania kurekodi faida ya kihistoria ya tangu uhuru ilikuwa ni mwaka 2015 pale ambapo yaliporekodi Jumla ya faida ikiwa ni baada ya kodi ya Tshs 438BL,

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita mabank haya hayajaweza kuivunja rekodi hii zaidi sana wakati flani faida zao zilishuka mpaka kufikia Jumla ya Tshs 286 yaani mwaka 2017 hii ni Jumla ya faida kwa mabank yote ya biashara nchini,

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tena kwa kipindi cha Jan -Sept tu mabank hayohayo kwenye nchi hii hii yameivunja ile rekodi iliyowekwa na Mzee Jakaya Kikwete ya Tshs 438BL kwa zaidi ya 7.53% na hii ni robo tatu tu ya mwaka,

Kwalugha rahisi miezi michache ya Rais Samia mabank yamevunja rekodi ya faida ya tangu uhuru ambayo ilivunjwa na Mzee Jakaya Kikwete kwa Tshs 438BL leo Samia ameivunja kwa Tshs 471BL na hii ni kwa miezi tu, tunaposema Rais Samia hakamatiki tunamaa hii ndungu zangu Watanzania,

Kwa tathimini iliyofanywa kwa mabank 13 ya kibiashara nchini kati ya 14 yanayotengeneza faida NMB na CRDB wamebeba 80% ya faida yote ya Tshs 471BL kwa kuwa na faida ya Jumla ya Tshs 379BL,Wakati huohuo NPL yaani Non Performing Loans au mikopo " Chechefu " ikishuka na kufikia chini ya 35.7% kwa baadhi ya mabank huku thamani yake ikupungua kutoka tshs 395.69BL mwaka 2020 hadi tshs 392.4BL kwa lugha ya kibank (arrears -zimepungua )

Sababu kubwa yaongezeko hili kubwa la Faida kwa mabank ya biashara nchini zinatajwa kuwa ni Sera nzuri za ki-Uchumi za Serikali ya awamu ya Sita pamoja na miongozo mathubuti toka BOT kama mlezi wa mabank haya hasa kwenye kupunguza vipimo vya risk kwenye utoaji mikopo ikiwa ni pamoja na kutoa fedha maalumu "Stimulating fund " kiasi cha Tshs 1trl ili kuziongezea ukwasi Bank zetu za biashara zilizokaukiwa hii imesaidia sana kuinua sekta ya fedha ambayo utoaji mikopo umepanda toka 2.5% 2020 hadi 9.8% hivi sasa,

Kwamsiofahamu zaidi ya 80% ya faida yote ya mabank ya biashara inabebwa na mikopo na Ukiona mabank yanapata faida sana maana yake yamekopesha sana na wateja wao wameweza kurejesha mikopo yao ( EMI) kwa wakati na ndio tunasema NPL imeshuka au mikopo isiyolipika|chechefu imepungua na ndio sababu faida imepanda na kwa maana hiyo biashara mtaani inakua au inakwenda vizuri ndio maana mteja X aliyekopa bank Y ameweza kuchukua mkopo Bank na kununua bidhaa na kisha kuuza na mwisho kupeleka marejesho ya Bank kwa wakati yaani ( Purchasing Power-Uwezo wa kununua ) umeongezeka Tanzania, Hongera Sana Rais Samia hakika unaupiga mwingi,


Mama lao 2021-2030
 
Inawezekana maana Mgodi wa GGM ulikuwa unataka kukopa Triliion za fedha kutoka Bank za Nje ya Tanzania Serikali ikataaa hivyo zikaungana benk ikiwemo NMB&CRDB zikaikopesha GGM.So faida hiyo aitokani kwa kukua kwa Biashara za Watanzania wa kawaida.
Kumbe
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Unaunganisha kwa wizi au ni ofa za kawaida za TIGO?
 

Wachumi mtusaidie hili, Hivi mabenki yetu ya biashara kupata faida ya TZS 471B kwa miezi tisa tu,Wakati huko nyuma yalipata TZS 286B kwa mwaka ina maana gani kwa Uchumi wa nchi yetu?Je! ni Vyuma kulegea?​

===
Mtakumbuka kwa mara ya mwisho hapa Tanzania mabenki yetu ya biashara kurekodi faida ya kihistoria ilikuwa ni mwaka 2015 pale ambapo yalirekodi Jumla ya faida ya TZS 438BL hii ni baada ya kulipa kodi ya Serikali,
===
Mtakumbuka pia kwamiaka mitano mfululizo iliyopita mabenki haya hayajaweza kabisa kuivunja rekodi hii zaidi sana wakati flani faida zao zilishuka mpaka kufikia Jumla ya Tshs 286BL mwaka 2017 hii ilikuwa ni Jumla ya faida kwa mabenki yote ya biashara nchini kwa mwaka huo,
===
Leo chini ya Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan tena kwa kipindi kifupi cha Jan -Sept mabenki hayo hayo kwenye nchi hii hii yameivunja ile rekodi iliyowekwa na Dk Jakaya Kikwete kwa faida ya Tshs 438BL kwa zaidi ya 7.53% na hii ni kwa robo tatu tu ya mwaka,
===
Kwalugha rahisi miezi michache ya Rais Samia mabenki yamevunja rekodi ya faida ya tangu uhuru ambayo ilivunjwa kwa mara ya mwisho na Mzee Jakaya Kikwete kwa thamani ya faida ya Tshs 438BL leo Samia ameivunja kwa thamani ya faida ya Tshs 471BL na hii ni kwa miezi tu, tunaposema Rais Samia hakamatiki tunamaa hii,
===
Kwa tathimini iliyofanywa kwa mabenki 13 ya kibiashara nchini kati ya 14 yanayotengeneza faida kila mwaka ni NMB na CRDB tu ndio wamebeba 80% ya faida yote ya Tshs 471BL kwa kuwa na faida ya Jumla ya Tshs 379BL,Wakati huohuo NPL yaani Non Performing Loans au mikopo " Chechefu " ikishuka na kufikia chini ya 35.7% kwa baadhi ya mabank huku thamani yake ikupungua kutoka tshs 395.69BL mwaka 2020 hadi tshs 392.4BL kwa lugha ya kibenki (arrears -zimepungua )
===
Sababu kubwa yaongezeko hili kubwa la Faida kwa mabenki yetu ya biashara nchini zinatajwa kuwa ni Sera nzuri za ki-Uchumi za Serikali ya awamu ya Sita Chini ya Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na miongozo mathubuti toka BOT kama mlezi wa mabenki haya hasa kwenye kupunguza vipimo vya risk kwenye utoaji mikopo ikiwa ni pamoja na kutoa fedha maalumu "Stimulating fund " kiasi cha Tshs 1trl ili kuziongezea Ukwasi baadhi ya Benki zetu za biashara zilizokaukiwa hii imesaidia sana kuinua sekta ya fedha ambayo utoaji mikopo kwa mujibu wa BOT umepanda toka 2.5% 2020 hadi 9.8% hivi sasa,
===
Kwamsiofahamu zaidi ya 80% ya faida yote ya mabenki ya biashara inabebwa na mikopo na Ukiona mabenki yanapata faida sana maana yake yamekopesha sana na wateja wao wameweza kurejesha mikopo yao ( EMI) kwa wakati na ndio tunasema NPL imeshuka au mikopo isiyolipika|chechefu imepungua na ndio sababu faida imepanda na kwa maana hiyo biashara mtaani inakua au inakwenda vizuri ndio maana mteja X aliyekopa katika benki Y ameweza kuchukua mkopo Benki na kununua bidhaa na kisha kuziuza na mwisho kupeleka marejesho ya Benki kwa wakati yaani ( Purchasing Power-Uwezo wa kununua kwa Watanzania ) umeongezeka , Hongera Sana Rais Samia hakika unaupiga mwingi,


Labda sasa benki zimeanza kuikopesha serikali hela zake kama ilivyokua enzi ya awamu ya 4.😂😂 Hebu wajuzi watuhabarishe kama kwa vipi benki sasa ni faida tu
 
Policy za samia ndio zibadili faida ndani ya miezi 6?? Sababu ya haya mabadiliko ni hii document ya BOT. Sera za Samia na faida zake zitaonekana mwaka wa Fedha ujao sio huu. Tusimpambe sana

View attachment 1998044
Policy za samia ndio zibadili faida ndani ya miezi 6?? Sababu ya haya mabadiliko ni hii document ya BOT. Sera za Samia na faida zake zitaonekana mwaka wa Fedha ujao sio huu. Tusimpambe sana

View attachment 1998044
Haya yalishindwaje kutokea mwaka jana, Kumbuka mabenki haya yanatoa "Working capital Loan " ambayo inalipwa bila grace period,

Ukipewe leo mkopo unarejesha tarehe kama ya leo mwezi ujao,

EMI= PRINCIPLE +INTEREST

Faida ya haya mabenki ni papo kwa papo sio mpaka mwaka uishe
 
Mimi sio mchumi isipokuwa kwa akili yangu ya kawaida tafsiri yake ni kwamba uchumi unafunguka, uwekezaji unaongezeka vikiambatana na ongezeko la mzunguko wa fedha kupitia ajira na huduma kupitia uwekezaji utakaofanywa na mikopo hiyo iliyozaa faida hiyo.

Nadhani ni hatua nzuri kiuchumi.
Perfectly and well out. Hayo ndiyo matokeo ya conducive business environment and investment climate.

Mwendazake alikuwa HOSTILE na foreign investors na alikuwa reckless tyrant hata kwa local business people.

He had to DIE by any means for our country to escape becoming another Zimbabwe. Praise to our God
 
Back
Top Bottom