Benki za Biashara Tanzania zinaogelea kwenye faida. Je, nini kimefanyika awamu ya sita?

Benki za Biashara Tanzania zinaogelea kwenye faida. Je, nini kimefanyika awamu ya sita?

Sawa nimeelewa maana yake, lakini DATA ninayoiomba huwezi kuipata kwenye branches ni lazima watoe top Management!!
Unafanya sample survey Bank chache utaelewa kilichoandikwa,
Au kama unajamaa yako banker also ask him|her
 
Unafanya sample survey Bank chache utaelewa kilichoandikwa,
Au kama unajamaa yako banker also ask him|her

This information is readly available within the bank's top management kwanini ufanye utafiti? You do not seem to understand my request!
 
This information is readly available within the bank's top management kwanini ufanye utafiti? You do not seem to understand my request!
Acha ubishi unachoambiwa ndio ukweli, Mabenki yanategemea mikopo zaidi
 
inawezekana maana Mgodi wa GGM ulikuwa unataka kukopa Triliion za fedha kutoka Bank za Nje ya Tanzania Serikali ikataaa hivyo zikaungana benk ikiwemo NMB&CRDB zikaikopesha GGM.So faida hiyo aitokani kwa kukua kwa Biashara za Watanzania wa kawaida.
Kama Kuna kaukweli,kibongo bongo biashara zinakufaa huku mitaani,tunashindwa kurejesha mikopo ,hizi tafti za Hawa jamaaa hazina uwalisia wa maisha halisi ya mtanzania
 
Nadhania sababu ni kuwa COVID-19 imepungua makali duniani. Biashara zilizokuwa zinakwama zimeendelea, usafirishaji ulikwama either exports au imports ila sasa unafunguka zaidi. Hii recovery itaendelea kidogo mpaka tuwe stable kisha ishuke chini kiasi alafu hapo ndio ikue kimikakati au ishuke kwa uzembe.
 
Mtakumbuka kwamara ya mwisho mabank yetu ya biashara hapa Tanzania kurekodi faida ya kihistoria ya tangu uhuru ilikuwa ni mwaka 2015 pale ambapo yaliporekodi Jumla ya faida ikiwa ni baada ya kodi ya Tshs 438BL,

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita mabank haya hayajaweza kuivunja rekodi hii zaidi sana wakati flani faida zao zilishuka mpaka kufikia Jumla ya Tshs 286 yaani mwaka 2017 hii ni Jumla ya faida kwa mabank yote ya biashara nchini,

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tena kwa kipindi cha Jan -Sept tu mabank hayohayo kwenye nchi hii hii yameivunja ile rekodi iliyowekwa na Mzee Jakaya Kikwete ya Tshs 438BL kwa zaidi ya 7.53% na hii ni robo tatu tu ya mwaka,

Kwalugha rahisi miezi michache ya Rais Samia mabank yamevunja rekodi ya faida ya tangu uhuru ambayo ilivunjwa na Mzee Jakaya Kikwete kwa Tshs 438BL leo Samia ameivunja kwa Tshs 471BL na hii ni kwa miezi tu, tunaposema Rais Samia hakamatiki tunamaa hii ndungu zangu Watanzania,

Kwa tathimini iliyofanywa kwa mabank 13 ya kibiashara nchini kati ya 14 yanayotengeneza faida NMB na CRDB wamebeba 80% ya faida yote ya Tshs 471BL kwa kuwa na faida ya Jumla ya Tshs 379BL,Wakati huohuo NPL yaani Non Performing Loans au mikopo " Chechefu " ikishuka na kufikia chini ya 35.7% kwa baadhi ya mabank huku thamani yake ikupungua kutoka tshs 395.69BL mwaka 2020 hadi tshs 392.4BL kwa lugha ya kibank (arrears -zimepungua )

Sababu kubwa yaongezeko hili kubwa la Faida kwa mabank ya biashara nchini zinatajwa kuwa ni Sera nzuri za ki-Uchumi za Serikali ya awamu ya Sita pamoja na miongozo mathubuti toka BOT kama mlezi wa mabank haya hasa kwenye kupunguza vipimo vya risk kwenye utoaji mikopo ikiwa ni pamoja na kutoa fedha maalumu "Stimulating fund " kiasi cha Tshs 1trl ili kuziongezea ukwasi Bank zetu za biashara zilizokaukiwa hii imesaidia sana kuinua sekta ya fedha ambayo utoaji mikopo umepanda toka 2.5% 2020 hadi 9.8% hivi sasa,

Kwamsiofahamu zaidi ya 80% ya faida yote ya mabank ya biashara inabebwa na mikopo na Ukiona mabank yanapata faida sana maana yake yamekopesha sana na wateja wao wameweza kurejesha mikopo yao ( EMI) kwa wakati na ndio tunasema NPL imeshuka au mikopo isiyolipika|chechefu imepungua na ndio sababu faida imepanda na kwa maana hiyo biashara mtaani inakua au inakwenda vizuri ndio maana mteja X aliyekopa bank Y ameweza kuchukua mkopo Bank na kununua bidhaa na kisha kuuza na mwisho kupeleka marejesho ya Bank kwa wakati yaani ( Purchasing Power-Uwezo wa kununua ) umeongezeka Tanzania, Hongera Sana Rais Samia hakika unaupiga mwingi,


Wafanyabiashara wakikopa ina maana investment zinaongezeka/biashara inaongezeka. Uchumi unachemka, faida inapatikana na kodi inalipwa, ajira zinaongezeka, kodi ya PAYE nayo inapatikana, serikali inapata pesa, serikali ikipata pesa inatoa huduma nzuri kwa wananchi, wananchi wanakuwa na afya njema wanafanya kazi zaidi. Vipato vya wananchi vinaongezeka, wanafanya saving na wana invest, wanalipa kodi, fuko la serikali linazidi kuwa nono, nchi inajengwa! Multiplier effect.
 
Wafanyabiashara wakikopa ina maana investment zinaongezeka/biashara inaongezeka. Uchumi unachemka, faida inapatikana na kodi inalipwa, ajira zinaongezeka, kodi ya PAYE nayo inapatikana, serikali inapata pesa, serikali ikipata pesa inatoa huduma nzuri kwa wananchi, wananchi wanakuwa na afya njema wanafanya kazi zaidi. Vipato vya wananchi vinaongezeka, wanafanya saving na wana invest, wanalipa kodi, fuko la serikali linazidi kuwa nono, nchi inajengwa! Multiplier effect.
Kimbunga hii imekaa vizuri zaidi,
 
Mtakumbuka kwamara ya mwisho mabank yetu ya biashara hapa Tanzania kurekodi faida ya kihistoria ya tangu uhuru ilikuwa ni mwaka 2015 pale ambapo yaliporekodi Jumla ya faida ikiwa ni baada ya kodi ya Tshs 438BL,

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita mabank haya hayajaweza kuivunja rekodi hii zaidi sana wakati flani faida zao zilishuka mpaka kufikia Jumla ya Tshs 286 yaani mwaka 2017 hii ni Jumla ya faida kwa mabank yote ya biashara nchini,

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tena kwa kipindi cha Jan -Sept tu mabank hayohayo kwenye nchi hii hii yameivunja ile rekodi iliyowekwa na Mzee Jakaya Kikwete ya Tshs 438BL kwa zaidi ya 7.53% na hii ni robo tatu tu ya mwaka,

Kwalugha rahisi miezi michache ya Rais Samia mabank yamevunja rekodi ya faida ya tangu uhuru ambayo ilivunjwa na Mzee Jakaya Kikwete kwa Tshs 438BL leo Samia ameivunja kwa Tshs 471BL na hii ni kwa miezi tu, tunaposema Rais Samia hakamatiki tunamaa hii ndungu zangu Watanzania,

Kwa tathimini iliyofanywa kwa mabank 13 ya kibiashara nchini kati ya 14 yanayotengeneza faida NMB na CRDB wamebeba 80% ya faida yote ya Tshs 471BL kwa kuwa na faida ya Jumla ya Tshs 379BL,Wakati huohuo NPL yaani Non Performing Loans au mikopo " Chechefu " ikishuka na kufikia chini ya 35.7% kwa baadhi ya mabank huku thamani yake ikupungua kutoka tshs 395.69BL mwaka 2020 hadi tshs 392.4BL kwa lugha ya kibank (arrears -zimepungua )

Sababu kubwa yaongezeko hili kubwa la Faida kwa mabank ya biashara nchini zinatajwa kuwa ni Sera nzuri za ki-Uchumi za Serikali ya awamu ya Sita pamoja na miongozo mathubuti toka BOT kama mlezi wa mabank haya hasa kwenye kupunguza vipimo vya risk kwenye utoaji mikopo ikiwa ni pamoja na kutoa fedha maalumu "Stimulating fund " kiasi cha Tshs 1trl ili kuziongezea ukwasi Bank zetu za biashara zilizokaukiwa hii imesaidia sana kuinua sekta ya fedha ambayo utoaji mikopo umepanda toka 2.5% 2020 hadi 9.8% hivi sasa,

Kwamsiofahamu zaidi ya 80% ya faida yote ya mabank ya biashara inabebwa na mikopo na Ukiona mabank yanapata faida sana maana yake yamekopesha sana na wateja wao wameweza kurejesha mikopo yao ( EMI) kwa wakati na ndio tunasema NPL imeshuka au mikopo isiyolipika|chechefu imepungua na ndio sababu faida imepanda na kwa maana hiyo biashara mtaani inakua au inakwenda vizuri ndio maana mteja X aliyekopa bank Y ameweza kuchukua mkopo Bank na kununua bidhaa na kisha kuuza na mwisho kupeleka marejesho ya Bank kwa wakati yaani ( Purchasing Power-Uwezo wa kununua ) umeongezeka Tanzania, Hongera Sana Rais Samia hakika unaupiga mwingi,


Hongera sana Rais Samia, We proud on you 😍
 
Wafanyabiashara wakikopa ina maana investment zinaongezeka/biashara inaongezeka. Uchumi unachemka, faida inapatikana na kodi inalipwa, ajira zinaongezeka, kodi ya PAYE nayo inapatikana, serikali inapata pesa, serikali ikipata pesa inatoa huduma nzuri kwa wananchi, wananchi wanakuwa na afya njema wanafanya kazi zaidi. Vipato vya wananchi vinaongezeka, wanafanya saving na wana invest, wanalipa kodi, fuko la serikali linazidi kuwa nono, nchi inajengwa! Multiplier effect.
😍
 
Nadhania sababu ni kuwa COVID-19 imepungua makali duniani. Biashara zilizokuwa zinakwama zimeendelea, usafirishaji ulikwama either exports au imports ila sasa unafunguka zaidi. Hii recovery itaendelea kidogo mpaka tuwe stable kisha ishuke chini kiasi alafu hapo ndio ikue kimikakati au ishuke kwa uzembe.
😍
 
upuuz mtupu..hizo bank labda mnazjaza madeni mnayozunguka kuomba omba uko nje....

hali ya maisha bado ni mbaya tena mbaya zaid, huduma za kijamii mitaani ni hovyo, mfan umeme&maji ni shida, miundombinu ya hovyo mpka mijini, mahospitali madawa& huduma bei juu, nazo bima hazifanyi kazi lengwa kama ilivyokusidiwa,

mikopo kwa wanafunzi bado hali ni tete, kwenye kilimo huko ndyo hata siongei kitu, leo hii kinaibuka kibwengo chenye ajira ya ualimu kisichojua uhalisia wa maisha ya wananchi na kuanza kusifia eti uchumi unainuka, sasa sjui uo uchumi wawap unaokuwa.

huyo bibi msafiri hakuna kitu anafanya
 
upuuz mtupu..hizo bank labda mnazjaza madeni mnayozunguka kuomba omba uko nje....

hali ya maisha bado ni mbaya tena mbaya zaid, huduma za kijamii mitaani ni hovyo, mfan umeme&maji ni shida, miundombinu ya hovyo mpka mijini, mahospitaki madawa bei juu, nazo bima hazifanyi kazi lengwa kama ilivyokusidiwa,

mikopo kwa wanafunzi bado hali ni tete, kwenye kilimo huko ndyo hata siongei kitu, leo hii kinaibuka kibwengo chenye ajira ya ualimu kisichojua uhalisia wa maisha ya wananchi na kuanza kusifia eti uchumi unainuka, sasa sjui uo uchumi wawap unaokuwa.

huyo bibi msafiri hakuna kitu anafanya
Mkuu punguza itikadi za vyama,

Hii haijatolewa na Serikali wamefanya Utafiti The Citizen wenyewe,

Kama unataka kupinga pinga The Citizen sio Rais Samia
 
Back
Top Bottom