Benki za kwenye simu ni zaidi ya Benki Kuu!

We nae, hiyo msg unayotumiwa ya songesha inapunguza akiba Yao , mfano Voda Wana akiba ya shilling elf 10 waliopata Finca microfinance kwaajili ya songesha, uki songesha 1000 wanakutumia msg lkn wao wanabaki na 9000 jaribu kuelewa
Hujaelewa ninachozungumza
 
Bank runs ndiyo zinaua benki. Fuatilia kilichotokea hadi kupelekea kuanguka kwa benki ya sillicon valley mwaka jana. Kama benki inamake faida itaendelea kuwepo hata kama kuna watu wanadefault
 
Ndio mara ya kwanza kuona kuna bznes haina hasara.
Asante kwa kunijuza



KAZI ni kipimo cha UTU
Kujifunza hakuna mwisho mkuu. Chukulia reserve bank ya US ambayo ina shareholder kabisa wanaopata gawio. Ile ni biashara isiyo na hasara hata kidogo.
 
Sasa kwann hy 1k isiwe hamna kitu kama mada yako ulivyoiweka?
Wakati wa kucash mkopo ulichukua 10000 kwa wakala. Wakati wa kurudisha, ili ulipe lazima uweke 11000 kwa wakala. Hizi ni pesa halisi. Lakini kampuni iliyokupa mkopo haikumove pesa hata senti.
 
Bank kuu hawawezi kufanya hicho unachokiwaza ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…