Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
- Thread starter
-
- #101
Hujaelewa ninachozungumzaWe nae, hiyo msg unayotumiwa ya songesha inapunguza akiba Yao , mfano Voda Wana akiba ya shilling elf 10 waliopata Finca microfinance kwaajili ya songesha, uki songesha 1000 wanakutumia msg lkn wao wanabaki na 9000 jaribu kuelewa
Bank runs ndiyo zinaua benki. Fuatilia kilichotokea hadi kupelekea kuanguka kwa benki ya sillicon valley mwaka jana. Kama benki inamake faida itaendelea kuwepo hata kama kuna watu wanadefaultSasa jiulize kwa nn zinakufa then linganisha na alichokiandika mtoa mada ndio utajua unapokopa bank, songesha, mgodi n.k wao wanatoa pesa physical Ila Kwako inakuja kama soft-money mana kilichowaunganisha mpaka ukapata mkopo n simu/akaunti na sio kwamba umepewa mkopo mkononi.
Kujifunza hakuna mwisho mkuu. Chukulia reserve bank ya US ambayo ina shareholder kabisa wanaopata gawio. Ile ni biashara isiyo na hasara hata kidogo.Ndio mara ya kwanza kuona kuna bznes haina hasara.
Asante kwa kunijuza
KAZI ni kipimo cha UTU
Benki kuu hukopesha pesa ambazo hawana. Tena afadhali hawa wanaingia gharama za kuchapa. Wa mitandaoni hata kujihangaisha kuchapa hakuna, ni zaidi ya benki kuu.
Wakati wa kucash mkopo ulichukua 10000 kwa wakala. Wakati wa kurudisha, ili ulipe lazima uweke 11000 kwa wakala. Hizi ni pesa halisi. Lakini kampuni iliyokupa mkopo haikumove pesa hata senti.Sasa kwann hy 1k isiwe hamna kitu kama mada yako ulivyoiweka?
Kwa hiyo benki kuu wanapata wapi pesa wanazokopesha?Hakuna kitu kama hicho
SawaWakati wa kucash mkopo ulichukua 10000 kwa wakala. Wakati wa kurudisha, ili ulipe lazima uweke 11000 kwa wakala. Hizi ni pesa halisi. Lakini kampuni iliyokupa mkopo haikumove pesa hata senti.
Bank kuu hawawezi kufanya hicho unachokiwaza ....Hizo kampuni ziko kama benki kuu. Hazipati hasara wao ni faida tu. Wanaandika wamekusongesha laki moja. Unaenda kwa wakala unaichukua. Ukilipa unaingiza kwa wakala labda laki na kumi. Wanachukua kumi na kugawana na voda.
Kwa mwezi labda 100milioni hazijalipwa. Lakini milioni 500 zimeingia kama faida. Wanatoa 100m kwenye 500m na kubakiwa na faida 400m.
Huu ni mfano wa wanavyoweza kopesha pesa bila kuwa nazo. Ni zaidi ya benki kuu, maana benki kuu inawabidi wachapishe hizo pesa.
TRA wanapokuambia wamekusanya trilioni 2 hizo pesa zinakuwa wapi?Kwa hiyo benki kuu wanapata wapi pesa wanazokopesha?