Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui unaloongelea japo una pointiHivi kuna mtu nyuma anaangalia kama watu kama Songesha, Nivushe na watoa mikopo kwenye simu kama hizo hela wanazokopesha wanazo keshi?
Kwa picha ya fasta fasta hawa jamaa ni zaidi ya benki kuu. Hawahangaiki hata kuchapa pesa kama benki kuu, wanachapa tu codes, tunakopeshana keshi wenyewe halafu wanadaka faida!
Bonge moja ya business. Ukiangalia hata mtu akishindwa kulipa wao hawawezi kupata hasara.
Ukisoma baadhi ya Comments humu unaweza kuona ni kwa namna gani kuna wajinga wengi mtaaniMleta uzi yawezekana na wewe una shahada ya uchumi na upo nyumbani mwaka wa tatu haujaajiriwa na unailaumu serikali
Sasa kwa mawazo haya nani atakuajiri.
Ww jamaa n kichwa ngumu kwa kweli.Wakala anaingiaje hapa? Wakala ananunua float kwa pesa zake. Anavyoenda kuibadili kuwa cash ni pesa yake anaibadili.
Sasa wewe unakopa Songesha lakini unaenda kuchukua pesa za wakala wa simu pesa ambaye anakupa pesa yake. Huendi kuchukua kwenye ofisi za Songesha. Hivyo Songesha wametoa mkopo bila kutoa pesa.
Hizo 500M kama faida zinakuwa zimetoka wapi?Kwa mwezi labda 100milioni hazijalipwa. Lakini milioni 500 zimeingia kama faida. Wanatoa 100m kwenye 500m na kubakiwa na faida 400m.
Tufanye hiyo elfu kumi umetokomea nayo hujalipa, waliokukopeshaje wataipata vp hy pesa ambayo ww umeipata physical.?Hivi ndio Benki wanavyotengeneza pesa kutoka from this air...., Banks n.k.wanaruhusiwa kukopesha hata zaidi ya pesa waliyonayo wewe ukikopa elfu kumi kwamba wamekupa sio lazima kwamba ile elfu kumi ipo kwenye safe kwa wakati huo ila wewe utakaporudisha elfu 10 na mia tano baada ya kuuza machungwa yako ni kwamba umewaongezea 500 kama faida na wao kuongeza elfu 10 katika mzunguko.... (FIAT Money pesa inazalishwa kwa njia ya credit ) na sio kwamba watu wanaamua kuchomoa printer yao kwamba tuongeze matrilioni kadhaa kwenye mzunguko.....
Ww nae ndio wale wale vichwani kumejaa majiMleta mada wakomalie waache majibu mepesi hao wataalamu wa uchumi, tena wanakutukana wewe kichwa kigumu na mbishi.
Kwa akili zao na elimu yao watoe ufafanuzi usio na mashaka
Katika mfumo wa kukopeshwa wanaangalia faida yao kupitia wewe mwenyewe. Nikupe mfanoTufanye hiyo elfu kumi umetokomea nayo hujalipa, waliokukopeshaje wataipata vp hy pesa ambayo ww umeipata physical.?
Sasa c ndo ili ihesabike kuwa h n faida maana ake hapo kuna nyongeza ya pesa kutoka kwenye pesa ya awali ambayo ilikuwa n mkopo.Katika mfumo wa kukopeshwa wanaangalia faida yao kupitia wewe mwenyewe. Nikupe mfano
Mi nauza unga kwa tsh 1000 kwa kilo. Lakini unga wangu hufika saiti ya soko kwa gharama ya tsh900 hivyo kila nikiuza kilo moja napata faida ya tsh 100. Sasa wewe ni mteja wangu na kwa wiki ninauhakika unanunuaga kilo kumi. Hivyo kila wiki ninauhakika wa kufaidika na wewe kwa tsh 1000. Hivyo nikakupa nafasi ya kukopa unga ulipe kwa liba na sheria ni kuwa mwisho wa kukopa kwa wiki nzima ni nusu kilo. Na wewe kutokana na changamoto za kimaisha unakuja kukopa kweli nusu kilo. Kwahiyo ntakup hiyo nusu kilo ambayo ni tsh500 kiasi kwamba hata ukitokomea nayo nilishafaidika na wewe kwa majuma ya nyuma ila ukinilipa unanilipa tsh 600 kama liba ya mkopo
KabisaMleta uzi yawezekana na wewe una shahada ya uchumi na upo nyumbani mwaka wa tatu haujaajiriwa na unailaumu serikali
Sasa kwa mawazo haya nani atakuajiri.
Hiyo riba ya kwenye mzunguko iko backed na real cash inayotoka kwa mtumiaji. Mtumiaji atatoa ile interest in real cash ambayo itaongezwa kwenye digital cash. Waliotengeneza hizo algorithm wapewe maua yao maana hakuna any money inayokuwa made just from no where.Pesa inayozunguka haijawahi kuwa backed na real money kikamilifu. Benki kuu yenyewe wanachapisha pesa inayokuja na riba. Hivyo pesa tu inapochapwa inakuwa imepangwa irudi zaidi ya iliyochapwa. Yaani mzunguko unategemewa kuwa mkubwa kuliko kiasi halisi cha pesa. Sasa kwa ilivyo hii mikopo ya simu ni zaidi ya benki kuu. Wanakupa mkopo bila ya kuwa na keshi halafu wanategemea faida.
Yani watanzania hatuna uelewa na mambo mengiHuu uzi umenifanya nicheke sana maana siamini ninayo yasoma humu.
Hawa wanaungana na mtoa uzi kutetea hoja yake kama sio wanafunzi wa kidato cha pili Nanjirinji sec school na okatokea ni watu wazima basi nchi hii itakuwa na wananchi wenye uelewa mdogo sana
Mkuu biashara ya ukopeshaji huwa haiwi backed na real money za kiasi kile kile. Ndiyo maana hakuna benki inaweza kuhimili bank run(Watu wote kutoa pesa zao kwa pamoja). Hata wakopesha mtandaoni hawawezi kuhimili. Sasa kiasi cha pesa zinazoback mikopo hutofautiana. Benki kuu haina chochote inachoback pesa wanazochapa na kukopesha. Inaonekana ipo hivyo kwa hawa wakopesha mitandaoni.Hiyo riba ya kwenye mzunguko iko backed na real cash inayotoka kwa mtumiaji. Mtumiaji atatoa ile interest in real cash ambayo itaongezwa kwenye digital cash. Waliotengeneza hizo algorithm wapewe maua yao maana hakuna any money inayokuwa made just from no where.
Pesa yote iliyo kwenye mobile wallets iko backed na really cash na maana mwisho wa siku watu wakisema wanatoa pesa yote na mawakala wanaenda kubadilisha float kuwa cash, mtandao utakachobaki nacho ni zile profit tu ambazo walizitengeneza na ambazo zilitokana na watumiaji ambao nao walitoa real cash.
Nitakupa mfano mmoja, ushawahi jiuliza kwanini hizi remittance apps kama NALA au Grey huwa zinafanya fund raising ya mtaji ili ziweze kufanya kazi, ni kwa sababu ela unayotuma via mfano NALA iko backed na really cash ambayo itakuwa settle baadaye kwa channels ambazo zimehusika kukufikishia pesa. Ingekuwa tu wanatengeneza digital money kwanini wafanye fund raising?
Ukisongesha 10k unaenda kuchukua kwa wakala 10K. Wakati wa kulipa labda unalipa 11K. Hiyo elfu moja inayoongezeka ndiyo faida inayozaa hizo 500mHizo 500M kama faida zinakuwa zimetoka wapi?
Nini kiwazuie wakopesha mitandaoni kukukopesha pesa ambazo hawana? Maana wanakuandikia mkopo lakini keshi unaenda kuchukua kwa wakala. Wao hawatoi hata mia.We JAMA bhana, benki kumbka inakua na reserve benki kuu, sio kwamba inakopesha tu, money can't be just created from thin air. Project za crypto currency mfano Bitcoin ndio zlizoweza kutengeneza Pesa from thin air lkn pia znamfumo unaozipa hizo cryto currency valua mfano Bitcoin ina "proof of work" which is achieved through mining , unajikuta umetumia bitminer kama 100 na umeme wa million hamsin kupata Bitcoin Moja, kwahiyo yenyew Kuna gharama kibao znazotumika kutengeneza Bitcoin Moja. Nothing is for free. Hawawez kukukopesha Pesa ambayo hawana. Benk wanafanya investments ili kuzalisha Pesa ambazo unaweka akiba , ndio maana tatizo linaloitwa "bank run" likitokea hawawez kua na Pesa kwa wakat huo. " Bank run ni wakat ambapo wateja wote wanataka kutoa Pesa zao kwa muda huo.
Serikali haiwezi kukuruhusu utengeneze pesa uingize kwenye mzunguko. Bank haiwezi kuhimili bank run kwa sababu pesa unayoweka wanaikopesha kwa watu wengine hivyo watu wote mkienda kutoa pesa inakuwa pesa yenu haipo imelala tu kwenye safe ikiwasubiri nyingine inakuwa imekopeshwa kwa watu na kwenye uwekezaji mwingine.Mkuu biashara ya ukopeshaji huwa haiwi backed na real money za kiasi kile kile. Ndiyo maana hakuna benki inaweza kuhimili bank run(Watu wote kutoa pesa zao kwa pamoja). Hata wakopesha mtandaoni hawawezi kuhimili. Sasa kiasi cha pesa zinazoback mikopo hutofautiana. Benki kuu haina chochote inachoback pesa wanazochapa na kukopesha. Inaonekana ipo hivyo kwa hawa wakopesha mitandaoni.
Kiakili nakuzidi mbali sana usijitutumueWw nae ndio wale wale vichwani kumejaa maji
Kitendo cha uwepo wa fractional reserve banking ndiyo sababu ya bank run na ni ushahidi kuwa serikali zinaruhusu watu waingize pesa kwenye mzunguko kutoka hewani. Bank ukiwa na mtaji wa 10bln unashangaa unaweza kuruhusiwa kukopesha hadi 50bn. Sasa kama siyo kuetengeneza pesa na kuziingiza kwenye mzunguko ni nini?Serikali haiwezi kukuruhusu utengeneze pesa uingize kwenye mzunguko. Bank haiwezi kuhimili bank run kwa sababu pesa unayoweka wanaikopesha kwa watu wengine hivyo watu wote mkienda kutoa pesa inakuwa pesa yenu haipo imelala tu kwenye safe ikiwasubiri nyingine inakuwa imekopeshwa kwa watu na kwenye uwekezaji mwingine.
Hapa ndiyo hoja yangu ipo. Kitu gani kinawazuia mpesa na wakopeshaji wa mitandaoni kuandika float ya 10m out of thin air. Watu wakakopa kwa kuchukua keshi kwa mawakala halafu mwisho wa mwezi ukajipatia keshi 2m bila kuwa na mtaji wowote hapo mwanzo.Mkuu ungekuwa walau una knowledge kidogo ya programing na algorithm achili mbali uchumi unavyofanya kazi ungeelewa.
Hebu nikupe mfano mdogo tu. Tuseme ninaanzisha microfinance yangu ambayo wewe unaweza kutumia app ukakopa ukapokea pesa kwa njia ya mpesa. My initial capital tuseme ni milion 10. Hivyo hiyo milioni 10,000 nitaipeleka ninunue float sawa na hiyo pesa kutoka kwa mpesa.
So, tuseme kila ukikopa laki moja na charge riba ya 20,000 kwa mwezi na tua ssume pesa yote imekopwa aktika huo mwezi.
Ikiwa ina maana wakopaji walichukua milion kumi yangu kama float wakaenda kutoa kwa wakala kwa kumpa float akawapa hard cash na hiyo hard cash kumbuka mtengeneza app alideposite kwa voda, so alichotoa wakala kitakuja kuwa settled na hard cash ya mtengenezaji aliwaachia voda.
Kama wakopeshaji wanachukuwa pesa kwa wakala. Nini kinawazuia watu kama Songesha kukopesha pesa hewa. Watu wakaenda kuchukua pesa cash kwa wakala halafu mwisho wa mwezi wakairudisha na riba(Pesa halisi) ambayo Songesha wanaiweka kibindoni japokuwa hapo mwanzo hawakuwa hata na mia ya kukopesha.Na baada ya mwezi kila alilyekopa ataenda kwa wakala na hard cash ikiwa ina ongezeko la 20, 000 ya alichokopa apewe float anitumie. So mwisho nitakuwa nina milion 12 ambapo ile milion 2 si kwamba imetoka from no where, imetoka kwenye ongezeko la hard cash ya milioni mbili ambalo wakopaji walideposite kwa kumpa wakala so nalo liko backed na hard cash bado.
Fractional reserve banking inatuambia mfumo haupo backed na hard cash.So mfumo mzima una chain ya pesa ambayo iko backed na hard cash.
Kwanza ukifuatilia hawa wakopaji wengi ni mabenki na hizi microfinacne ambazo wanaunga tu mifumo yao kwa hii mitandao ya simu na wala hawana umiliki wa hizo mobile wallet money so wanaweka float ili uweze kupata hiyo pesa.